Kinara wa NLP Kyalo Muli ataka Gavana Malombe achukuliwe hatua mauaji ya Kitui
Gavana Julius Malombe anakabiliwa na shinikizo kutoka kwa kiongozi wa NLP Augustus Kyalo Muli kuhusu ukimya wake huku mauaji na ukosefu wa usalama ukiongezeka Kitui.
Afrika Kusini: Sauti zapaazwa dhidi ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya wageni
Nchini Afrika Kusini, hofu inaongezeka miongoni mwa watu kutoka nchi zingine barani humo, kutokana na mvutano wa chuki dhidi ya wageni. Mashirika ya uhamiaji haramu yanalenga tarehe 30 Juni kudai…
Government grants VAT relief for housing sector
RABAT: THE government has announced plans to remove Value Added Tax (VAT) on the construction of affordable houses worth not more than 50m/- in a move aimed at boosting access…
Video: Kizaazaa chazuka huku Musalia Mudavadi akikataa kuzungumza kabla ya Moses Wetang’ula
Rais Ruto alizindua Shirikiana Sacco katika MMUST, akiungana na viongozi Barasa, Mudavadi, Oparanya, na Wetang'ula katika mazungumzo ya itifaki ya kukumbukwa.
Shahidi Imam Khamenei kuzikwa katika Haram ya Imam Ridha (AS) tarehe 9 Julai
Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei.
Sharif, ambaye nchi yake imekuwa mpatanishi wa mazungumzo kati ya Iran na Marekani, aliandika katika akaunti yake ya X siku ya Jumamosi kwamba hafla ya utiaji saini wa kielektroniki itafuata mara baada ya kukamilika. Ameongeza kuwa mazungumzo ya ngazi ya
Ofisi inayohusika na kuhifadhi na kuchapisha kazi za Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu imetangaza ratiba ya hafla za kuaga, mazishi, na kuzikwa kwa Shahidi Ayatullah Imam Sayyid Ali Khamenei.
Waziri Mkuu wa Pakistan: Makubaliano kati ya Iran na Marekani ‘yanatarajiwa ndani ya saa 24’
Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif amesema kuwa makubaliano kati ya Iran na Marekani kwa lengo la kukumaliza vita yapo "karibu zaidi kuliko wakati mwingine wowote," huku yakitarajiwa kukamilika ndani…
Iran yaadhimisha mwaka mmoja tangu Vita vya Siku 12
Maafisa wakuu wa Iran wameadhimisha mwaka mmoja tangu kuanza kwa Vita vya Siku 12, vilivyoanza tarehe 13 Juni mwaka uliopita kufuatia mashambulizi ya kichokozi ya anga ya utawala haramu wa…
Idadi kubwa ya walioambukizwa Ebola DRC na Uganda ni wanawake na wasichana
Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya…
Mradi wa reli ya Ankara–Riyadh waibua wasiwasi Israel
Pendekezo la kuanzisha ukanda mpya wa biashara na usafirishaji unaoendelezwa na Uturuki na Saudi Arabia limeibua wasiwasi miongoni mwa maafisa wa utawala wa Israel.
JKCI cuts overseas referrals, saves 95bn/-
DAR ES SALAAM: THE Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) has emerged as East and Central Africa’s leading centre for advanced heart care, saving the government more than 95bn/- in overseas…
Jumapili, 14 Juni 2026
Leo ni Jumapili 28 Mfunguo Tatu Dhulhija 1447 Hijria sawa na 14 Juni 2026.
Sifa kuu tatu za upendo wa kweli wa Mungu
Bwana Yesu asifiwe wapendwa katika Kristo! Ninaitwa Mchungaji Gasper Madumla. Karibu kwenye...
Mhariri na Mtangazaji wa Radio Free Africa, Clara Matimo, ameingia miongoni mwa wanahabari waliotunukiwa Tuzo ya Umahiri wa Uand…
Mhariri na Mtangazaji wa Radio Free Africa, Clara Matimo, ameingia miongoni mwa wanahabari waliotunukiwa Tuzo ya Umahiri wa Uandishi wa Habari za Hedhi Salama kutokana na mchango wake katika kuendeleza…
Misemo 10 itakayokuvunja mbavu ndani ya matatu za Kenya, pata uhondo
Wahudumu wa matatu wanajulikana kwa matamshi yao ambayo mara nyingi huzua ucheshi katika steji za matatu au wanapokabiliana na wateja wao. Hapa ni baadhi tu
Familia ya Jamaa wa Kisii aliyekufa miaka 2 baada ya kifo cha mkewe yasimulia matukio kabla hajafa
Familia ya Kisii imezungumzia nyakati za mwisho za kuhuzunisha za Ezra Obiero, ambaye aliugua saratani ya damu iliyomuua baadaye, miaka 2 baada ya kifo cha mkewe.
Mfanyabiashara mbobezi wa masuala ya uchukuzi, usafirishaji na biashara za bandari ambaye pia ni Mkurugenzi wa MB KUU Group of C…
Mfanyabiashara mbobezi wa masuala ya uchukuzi, usafirishaji na biashara za bandari ambaye pia ni Mkurugenzi wa MB KUU Group of Companies, Athumani Zuberi Mwesongo, amesema Tozo ya Maendeleo ya Miundombinu…
Serikali imesisitiza kufanyia kazi kwa haraka Mapendekezo yaliyotolewa na Timu ya Wataalamu iliyoundwa Kuishauri Wizara ya Madin…
Serikali imesisitiza kufanyia kazi kwa haraka Mapendekezo yaliyotolewa na Timu ya Wataalamu iliyoundwa Kuishauri Wizara ya Madini kuhusu namna ya Kuwaendeleza Wachimbaji Wadogo Kiuchumi na kueleza kuwa, utatuzi wa changamoto…
Iringa yaibwaga Kenya Tamasha la Raga
Baada ya siku nzima ya ushindani mkali, Tamasha la Touch Rugby Tournament limefikia tamati kwa kushuhudia mechi za fainali za mchezo wa raga, zilizovutia mashabiki wengi waliojitokeza kwenye Uwanja wa…
Funds to bypass treasury in new projects push
SINGIDA: THE government is moving to change how development funds are managed, with money allocated for water, road and energy projects set to flow directly to sector funds instead of…
Govt sets timelines for Shinyanga, Musoma airport operations after test flights
MARA/SHINYANGA: THE government has moved closer to restoring regular air services in Shinyanga and Musoma after successful test flights at the two airports, with operations expected to begin as authorities…
Singida yalipiza kisasi JKT TZ, ikichapwa Isamuhyo
TIMU ya JKT Tanzania imeshindwa kutamba nyumbani katika mechi ya Ligi Kuu baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Singida Black Stars kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam…
Simulizi mvua zilivyowaacha bibi, wajukuu kukosa makazi
Kutokana na kadhia hiyo, ni miezi kadhaa sasa familia hiyo imekuwa ikiishi katika kibanda cha...
Yanga yaizamisha Mashujaa Kigoma, ikiusogelea ubingwa Ligi Kuu
MABAO mawili likiwamo kali la dakika ya 27, lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mudathir Yahya na la nahodha Bakari Mwamnyeto yalitosha kuipa timu hiyo pointi tatu muhimu katika mechi…
CCM yawaonya wanaohamasisha uvunjifu wa amani
DODOMA: CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kitaendelea kuunga mkono juhudi za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, za kuharakisha maendeleo ya wananchi huku kikisisitiza kuwa amani, umoja na mshikamano ni msingi…
CCM: Kuna wanasiasa wanahamasisha vurugu
DODOMA: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amewataka Watanzania kuendelea kulinda amani, umoja na mshikamano wa taifa, akidai wana taarifa za kuaminika…
Kihongosi awataja Chadema kuhusika katika vurugu, wenyewe wamjibu
Kihongosi amesema Chadema kwa sasa kimeacha siasa badala yake limekuwa genge la wanaharakati wa...
Huu hapa ujumbe wa Lissu Dar, Msigwa akiomba radhi
Lissu, ambaye ametimiza mwaka mmoja gerezani tangu alipokamatwa Aprili 9, 2025 mjini Mbinga...
Wakati mwili wa mwanafunzi Rebeca John Miswungwi wa Chuo cha St John University kilichopo jijin Dodoma ukiagwa jana maswali wana…
Wakati mwili wa mwanafunzi Rebeca John Miswungwi wa Chuo cha St John University kilichopo jijin Dodoma ukiagwa jana maswali wanafunzi wenzake pamoja na ndugu wa mwanafunzi huyo wameibua maswali kuhusiana…
Mwisho wa enzi za Mzee Onyango
Uwepo wa Rais Mwinyi ulionyesha namna marehemu alivyokuwa na heshima kubwa katika jamii.
Kufuatia sintofahamu iliyokuwa inaendelea kwa wakazi na watumiaji wa njia zilizopo Katika nyumba za shirika la nyumba za mtaa wa…
Kufuatia sintofahamu iliyokuwa inaendelea kwa wakazi na watumiaji wa njia zilizopo Katika nyumba za shirika la nyumba za mtaa wa Fire na Mazengo wilaya ya Ilala jijini DSM, baada ya…
PM orders return of traders’ goods, warns regulators over abuses
DODOMA: Prime Minister Mwigulu Nchemba has ordered the immediate return of goods confiscated from small-scale traders and issued a stern warning to regulatory authorities against seizing traders’ capital under the…
Yanga moto chini ikiizima Mashujaa
Mabao ya ushindi ya Yanga leo yamefungwa na kiungo Mudathir Yahya na beki Bakari Mwamnyeto.
Ebola: Uganda yakashifu vikwazo vya usafiri vilivyotangzwa dhidi yake
Uganda imeshtumu vikwazo vya safari ya angaa vilivyowekwa na mataifa kadhaa ikiwemo Marekani, kufuatia maambukizi ya virusi vya Ebola, ambavyo vimeingia nchini humo kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia…
Yanga wakitaka lao usilete mdomo!
KIGOMA;YANGA wakitaka lao usilete mdomo! Pengine ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara kati ya Mashujaa ya Kigoma na Yanga ya Dar es Salaam uliomalizika muda…
CCM praises development pace, warns over alleged unrest plots
DODOMA: THE ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) has expressed satisfaction with what it described as a strong and steady pace of development projects across Tanzania, saying the country is experiencing…
Wakimbizi nchini Chad walinyanyaswa: Ripoti ya MSF
Ripoti ya Madaktari wasiokuwa na mipaka MSF, imebaini kuwa wafanayakazi wa ndani na wa nje, waliwanyanyasa wakimbizi nchini Chad, wakiwemo wasichana wenye umri chini ya miaka 18. Imechapishwa: 13/06/2026 –…
Mzozo wa Iran: Huenda makubaliano yakapatikana katika kipindi cha saa 24
Marekani na Iran huenda zikatia saini mkataba wa kusitisha vita, ndani ya saa 24 zijazo, kwa mujibu wa Pakistan, ambayo ni mpatanishi wa mzozo huu wa Mashariki ya Kati. Imechapishwa:…
Serikali imesema kiwango cha ajira za watoto nchini kimeendelea kupungua kutoka asilimia 33 mwaka 2014 hadi asilimia 25.8 mwaka …
Serikali imesema kiwango cha ajira za watoto nchini kimeendelea kupungua kutoka asilimia 33 mwaka 2014 hadi asilimia 25.8 mwaka 2024 kutokana na juhudi za pamoja za serikali na wadau wa…
Madiwani wa CCM Pwani wapatiwa mafunzo maalumu ya uwajibikaji
Mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika leo Juni 13, 2026 Wilayani Kibaha ambapo mgeni rasmi...
Ripoti yaainisha maeneo muhimu kuinua wachimbaji wadogo
Mwenyekiti wa kamati iliyoandaa mapendekezo hayo, Victor Tesha amesema mapendekezo hayo...
Ajali za pikipiki maarufu kama bodaboda zimeendelea kusababisha madhara makubwa mkoani Mwanza, ambapo watu 33 wamefariki dunia n…
Ajali za pikipiki maarufu kama bodaboda zimeendelea kusababisha madhara makubwa mkoani Mwanza, ambapo watu 33 wamefariki dunia na wengine 65 kujeruhiwa katika ajali 72 zilizotokea katika kipindi cha mwaka 2024/25.…
Waziri Mkuu apiga marufuku ukamataji bidhaa za wafanyabiashara
Agizo kama hilo alilitoa Desemba 8, 2025, akiwa mkoani Dodoma alipowataka viongozi wa majiji na...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amewataka wasomi wa Mkoa wa Mbeya kuwa ma…
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amewataka wasomi wa Mkoa wa Mbeya kuwa mabalozi wa kueleza mafanikio ya maendeleo yaliyofikiwa nchini. Mwaselela…
Zaidi ya washiriki 3,000 wanatarajiwa kushiriki jukwaa la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) litakalofanyika Oktoba …
Zaidi ya washiriki 3,000 wanatarajiwa kushiriki jukwaa la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) litakalofanyika Oktoba 20 hadi 22 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma, likijadili…
Dakika 1,080 Mtibwa Sugar bila ushindi ugenini
MTIBWA Sugar imeendeleza rekodi ya kutopata ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara ugenini, baada ya leo kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa…
Sinza set for 20-year urban makeover in new Dar redevelopment drive
DAR ES SALAAM: SINZA, one of Dar es Salaam’s densely populated residential suburbs, has been designated for a major 20-year redevelopment programme that will transform it into a mixed-use urban…