Roman Folz aletewa msaidizi, aanza kazi
Klabu ya Yanga imemtangaza rasmi, Patrick Mabedi kuwa Kocha Msaidizi wa timu hiyo, akijiunga na benchi la ufundi la Wananchi akiwa na uzoefu mkubwa katika soka la Afrika. Mabedi, raia…
Sh100 bilioni kukarabati, kupanua Hospitali ya Mnazimmoja, vikwazo vyatajwa
Dola za Marekani 43 milioni (zaidi ya Sh105 bilioni) zitatumika katika mradi wa ujenzi, upanuzi...
Mgombea ubunge wa jimbo la Chaani, Ayoub Mohamed Mahmoud na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo Juma Usonge Hamad wameahidi kuongez…
Mgombea ubunge wa jimbo la Chaani, Ayoub Mohamed Mahmoud na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo Juma Usonge Hamad wameahidi kuongeza kasi ya maendeleo pamoja na upatikanaji wa huduma bora za…
Matumizi ya simu, tablet na karatasi nyeupe yanavyoathiri macho kwa watoto
Wakati matumizi ya karatasi nyeupe, tablet na simu za mkononi yakitajwa kuwa hatari kwa afya ya...
Yanga yatangaza kocha mwingine mpya
Mabedi ana leseni daraja A ya Ukocha ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) ambayo...
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 13, 2025 – PINGAMIZI LA JAMHURI DHIDI YA LISSU LATUPWA
🔴TAARIFA YA HABARI SAA MBILI USIKU OKTOBA 13, 2025 - PINGAMIZI LA JAMHURI DHIDI YA LISSU LATUPWA
Chanzo cha maji Mto Kiwira kuhudumia watu 1.4 milioni
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu, Ismail Ussi amesema utekelezaji wa miradi...
Waandishi waeleza mikakati ya kutumia mafunzo ya UTPC
Waandishi wa habari kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wameeleza dhamira yao ya kutumia...
Alichokisema Wenje baada ya kutimkia CCM
Amesema madai ya Chadema kuzuiwa na Serikali kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025 siyo ya...
DC Rombo aonya walimu kufitiniana
Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, amewataka walimu wilayani humo kuacha tabia ya...
Othman aahidi kukomesha kiburi, jeuri cha watendaji wa Serikali
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo Othman Masoud Othman amesema akiingia...
Mwalimu awataka Liwale wasikubali korosho yao kuchezewa
Mgombea urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalim, amewataka wananchi wa...
Ukraine na Marekani kujadili kuhusu ulinzi
Maafisa wa ngazi za juu wa Ukraine na Marekani watajadili kuhusu ulinzi wakati Urusi imeongeza mashambulizi dhidi ya miundo mbinu ya nishati ya Ukraine
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ustahimilivu wa taifa dhidi …
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali imeendelea kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha ustahimilivu wa taifa dhidi ya majanga, kupitia utekelezaji wa sera, sheria, mikakati na miradi mbalimbali. Amesema kuwa…
Lissu alivyoibua malumbano kuhoji kiwango cha elimu ya shahidi
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameibua malumbano ya...
Wafungwa wakipalestina wapokelewa Ramallah
Israel imewaachia huru wafungwa kadhaa wakipalestina chini ya mpango wa makubaliano ya usitishaji vita Gaza
Taifa Stars, Iran heshima inasakwa Dubai
BAADA ya kupoteza mechi iliyopita dhidi ya Zambia kuwania nafasi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, Timu ya Taifa ‘Taifa Stars’ itashuka dimbani leo Jumanne kucheza mechi ya kimataifa ya…
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambae pia ni Mjum…
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Nyamagana Jijini Mwanza kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambae pia ni Mjumbe wa Baraza Kuu wa chama hicho na Mwenyekiti wa Kanda…
Mustakabali wa Gaza wajadiliwa Sharm el Sheikh
Viongozi wanakutana Sharm el Sheikh, Misri kujadili mustakabali wa Gaza baada ya vita vya miaka miwili kuliharibu kabisa eneo hilo
Rais wa Madagascar atimkia Ufaransa maandamano yakipamba moto
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina ameripotiwa kukimbilia Ufaransa baada ya mfululizo wa...
Trump aisifu Israel kwenye hotuba yake Knesset
Rais huyo wa Marekani ameipongeza Israel kwa ushindi katika uwanja wa vita dhidi ya Hamas, Hezbollah na Iran
UCHAMBUZI WA MJEMA: Tumtumie Nyerere kujitazama tulipotoka, tulipo na tunapokwenda
Oktoba 14 kila mwaka ni Nyerere Day ambayo hutumika kuadhimisha kifo cha mwasisi wa Taifa la...
Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said amewataka vijana nchini kujiwekea utama…
Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Mhandisi Zena Ahmed Said amewataka vijana nchini kujiwekea utamaduni wa kuweka akiba kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii ili kujihakikishia…
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania amani na usalama siku ya k…
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Gerson Msigwa amewahakikishia Watanzania amani na usalama siku ya kupiga kura na kuwataka wasikiliza sera za kila mgombea ili…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA: OKTOBA 13, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUWEKEWA UKINGO KWENYE BWAWA
🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA: OKTOBA 13, 2025 - WANANCHI WAOMBA KUWEKEWA UKINGO KWENYE BWAWA
Serikali yaweka mikakati ya kuboresha mifumo ya kukabiliana na majanga
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeweka mikakati madhubuti ya kuboresha mifumo ya...
Dakika 270 zampa mtoko Kakolanya
KIPA wa Mbeya City, Beno Kakolanya amesema katika mechi tatu walizocheza zimewapa picha ya ushindani mkali watakaokabiliana nao msimu huu, hivyo wanajipanga kuhakikisha hawatoki katika mstari wa malengo yao.
Cheche alia na mambo mawili Chama la Wana
KOCHA Mkuu wa Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga, Idd Cheche amesema kukosa umakini eneo la ulinzi na utumiaji sahihi wa nafasi za kufunga kimewaangusha katika mechi ya kwanza…
Budeba aeleza sababu Mbuni kuwaka Championship
KOCHA wa Mbuni FC, Leonard Budeba, amesema maandalizi makini na umakini wa wachezaji wake katika kufuata maelekezo ndiyo siri ya ushindi mnono wa mabao 4-0 walioupata dhidi ya Mbeya Kwanza…
Aman Josiah kutua Dodoma Jiji
DODOMA Jiji ipo hatua za mwisho kumchukua kocha Aman Josiah ili kuziba pengo la Vincent Mashami raia wa Rwanda wanayetaka kuachana naye ikitajwa sababu ya kukosa vigezo vya kukaa benchi…
Wenje ahamia CCM, Samia ampokea
Wenje amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM,Balozi Dk Asha-Rose Migiro.
Samia aahidi mitaji kwa wachimbaji wadogo, kupima maeneo ya wafugaji
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kwamba endapo atapata...
#HABARI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amejiuga na Chama cha Mapinduzi CCM leo, wakati …
#HABARI: Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Ziwa Victoria, Ezekiel Wenje, amejiuga na Chama cha Mapinduzi CCM leo, wakati wa Kampeni za CCM za kumnadi mgombea wake wa Urais Dkt.…
MOI yazindua mfumo wa kuweka miadi na madaktari kidijitali
Septemba 15, 2025, jijini Dar es Salaam, Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI)...
“…kipindi tunamzika Mzee wetu Mama ulisema hautatuacha Chato na hakika hili umeweza kulidhihirisha sana, na mimi leo niko mbel…
"...kipindi tunamzika Mzee wetu Mama ulisema hautatuacha Chato na hakika hili umeweza kulidhihirisha sana, na mimi leo niko mbele yenu wazazi wangu lakini niko mbele hapa nikiongea katika ardhi ambayo,…
#HABARI: Rais Dkt
#HABARI: Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alisema "Kaka yangu Magufuli ameondoka lakini Dada yenu sitaiacha Geita". Mgombea Ubunge wa Jimbo la Pangani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jumaa Aweso, amesema…
Dhamana ya Sh2.4 trilioni yachochea uwekezaji sekta ya kilimo nchini
Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inakuwa nchini ndani ya kipindi cha miaka mitano, Taasisi...
#HABARI: Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imetia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa soko jipya la…
#HABARI: Halmshauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, imetia saini mkataba wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa soko jipya la Kwa Sadala, utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni kumi huku…
CCM yaahidi maendeleo Kigoma
Katika siku ya mwisho mkoani humo, Dk Nchimbi amesema miaka mitano ijayo, Serikali itaimarisha...
Patrick Herminie: Rais mpya wa Ushelisheli ni nani?
Patrick Herminie alikuwa mwanachama wa People's Party, aligombea katika uchaguzi wa urais wa 2025 kama mgombeaji wa United Seychelles.
EALA yaitaka Nelson Mandela kuendeleza tafiti zinazozalisha ajira kwa vijana
Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) wameitaka Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya...
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu katika Mahakama Kuu …
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeahirishwa kwa muda. Kesi hiyo iliyooanza…
Umepanga kutoa zawadi ya nyumba, kiwanja harusini?
Umepanga kutoa zawadi ya nyumba, kiwanja harusini? basi zingatia haya ili kuepusha migogoro ya kisheria inayoweza kutokea kwa wanandoa waliopewa zawadi hiyo. #SheriaUpdates
#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu, Felista Njau, ameibukia Tarime mkoani Mara na kutoa wito kwa Watanzania kuendelea kumuun…
#HABARI: Mbunge wa viti maalum mstaafu, Felista Njau, ameibukia Tarime mkoani Mara na kutoa wito kwa Watanzania kuendelea kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisema ni wajibu wa taifa…
Kambaya atahadharisha siasa za fujo kuelekea uchaguzi mkuu
Kambaya amewataka wananchi wa Makurumla kutoingia kwenye mtego wa watu wanaohubiri mambo...
Je, mateka wanaoachiliwa ni akina nani?
Jeshi la Israel linasema mateka wa kwanza wamekabidhiwa na Hamas na wamerejea Israel.
TFS yaanza kutumia teknolojia kubaini moto kabla haujasambaa
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kupitia shamba la miti la Sao Hill, umeingia katika...