Waziri Mkuu apiga marufuku ukamataji bidhaa za wafanyabiashara
Agizo kama hilo alilitoa Desemba 8, 2025, akiwa mkoani Dodoma alipowataka viongozi wa majiji na...
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amewataka wasomi wa Mkoa wa Mbeya kuwa ma…
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Ndele Mwaselela, amewataka wasomi wa Mkoa wa Mbeya kuwa mabalozi wa kueleza mafanikio ya maendeleo yaliyofikiwa nchini. Mwaselela…
Zaidi ya washiriki 3,000 wanatarajiwa kushiriki jukwaa la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) litakalofanyika Oktoba …
Zaidi ya washiriki 3,000 wanatarajiwa kushiriki jukwaa la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) litakalofanyika Oktoba 20 hadi 22 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma, likijadili…
Dakika 1,080 Mtibwa Sugar bila ushindi ugenini
MTIBWA Sugar imeendeleza rekodi ya kutopata ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara ugenini, baada ya leo kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City ukiwa ni mchezo wa…
Sinza set for 20-year urban makeover in new Dar redevelopment drive
DAR ES SALAAM: SINZA, one of Dar es Salaam’s densely populated residential suburbs, has been designated for a major 20-year redevelopment programme that will transform it into a mixed-use urban…
KOMBE LA DUNIA 2026:
KOMBE LA DUNIA 2026: Qatar Vs Switzerland Katika meza ya uchambuzi ni James Samwel, George Job na mweyeji wao ni Hasheem Ibwe Uchambuzi wa mechi hii utaanza saa 2:00 usiku.…
#NBCPL: Kipindi cha pili kimeanza kwa kila timu kufika kwa mwenzake
#NBCPL: Kipindi cha pili kimeanza kwa kila timu kufika kwa mwenzake. 50’: Mashujaa 0-1 Yanga LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG (Feed generated with FetchRSS)
Wizara ya Uchukuzi imeanza kufanya matengenezo makubwa kwenye karakana ya ndege kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanja…
Wizara ya Uchukuzi imeanza kufanya matengenezo makubwa kwenye karakana ya ndege kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ili kuruhusu ndege zinazotua kwenye uwanja huo kufanyiwa matengenezo uwanjani…
Msigwa awaomba radhi wananchi Iringa, awaahidi kuingo’a CCM
Msigwa ameomba msamaha huo leo Jumamosi Juni 13, 2026 katika mkutano wa hadhara uliofanyika...
Dar reviews flood disaster plans in five high-risk wards
DAR ES SALAAM: THE Prime Minister’s Office, in collaboration with OpenMap Development Tanzania (OMDTZ), has reviewed and validated disaster preparedness and response plans for five flood prone wards in Dar…
#NBCPL: Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa kifua mbele kwa goli moja
#NBCPL: Yanga wanakwenda mapumziko wakiwa kifua mbele kwa goli moja. HT: Mashujaa 0-1 Yanga LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga #Mashujaa #YangaSC #MSHYNG (Feed generated with FetchRSS)
#NBCPL: Mpira umeanzia kwa Djigui Diarra, ukaguswa na Prince Dube kisha Mudathir Yahya akaupokea kwa umahiri na kuujaza nyavuni
#NBCPL: Mpira umeanzia kwa Djigui Diarra, ukaguswa na Prince Dube kisha Mudathir Yahya akaupokea kwa umahiri na kuujaza nyavuni. 41’: Mashujaa 0-1 Yanga LIVE #AzamSports1HD #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #MashujaaVsYanga…
BRAZIL v MOROCCO | Uchambuzi kwa ‘kimombo’ utakuwa chini ya Chiko Lawi na jopo lake Brian Tuka na Clive Kyazze
BRAZIL v MOROCCO | Uchambuzi kwa ‘kimombo’ utakuwa chini ya Chiko Lawi na jopo lake Brian Tuka na Clive Kyazze. Usikose usiku wa kuamkia kesho (saa 6:00 Usiku) kupitia #AzamSports4HD…
Mtibwa Sugar na dakika 1,080 bila ushindi ugenini, yafa tena Mbeya
Mtibwa Sugar licha ya kupoteza mchezo huo, lakini hawakuwa wanyonge kutokana na kumiliki mpira...
Ni Wema Day, atikisa mitandaoni
Katika chapisho hilo Wema aliweka picha iliyoonesha mguu wa mtoto mchanga aliyevalishwa soksi...
The Invisible Scars: A story of PTSD and silent pain
DAR ES SALAAM: THERE are wounds that cannot be seen by the eyes. Wounds that do not bleed, yet silently drain a person’s inner peace for years without anyone noticing.…
Mjadala kurefusha muda urais wazua mzozo Congo DR
Mvutano huo uliongezeka Ijumaa, Juni 12, 2026, baada ya upinzani kuitisha maandamano kupinga...
Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa Prof
Waziri wa Uchukuzi, Mheshimiwa Prof. Makame Mbarawa, ametoa maelekezo kwa taasisi za sekta ya usafiri wa anga nchini kuhakikisha Uwanja wa Ndege wa Shinyanga unakamilika kwa wakati ili kuanza kutoa…
PM hails private sector role in education
DAR ES SALAAM: Prime Minister Dr Mwigulu Nchemba has reaffirmed the government’s commitment to strengthening collaboration with the private sector in education, citing its contribution to improving the quality of…
UN: Ni wakati wa kukomesha ubaguzi wa rangi ya ngozi kila mahali
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Uelimishaji kuhusu Ualbino na mwaka huu wa 2026 inatoa wito wa kukomesha ubaguzi wa rangi ya Ngozi. Kaulimbiu yam waka huu “Ninajivunia Ngozi Yangu,…
Idadi kubwa ya waliothibitika kuambukizwa Ebola ni wanawake na wasichana DRC na Uganda
Wanawake na wasichana wanawakilisha asilimia 53.4 ya wagonjwa wa Ebola waliothibitishwa kwa vipimo vya maabara katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Uganda, sawa na wagonjwa 244 kati ya…
Serikali kuboresha eneo la matengenezo ya ndege Kia
Kihenzile amesema maboresho hayo yatawezesha ndege za ATCL pamoja na ndege za mashirika mengine...
Kampuni za Kichina kutoa ajira 1,000 kwa vijana wa Tanzania
Tukio hilo linaandaliwa kwa ushirikiano kati ya Chama cha Kampuni za Kichina Tanzania (China...
BEYON D AID: How TZ’s 2026/27 budget builds self-funding economy
DODOMA: HAVING analysed previous national budgets from 2010 onward and listened to Minister for Finance Ambassador Khamis Mussa Omar’s presentation, tabled before the Speaker of the House and parliamentarians on…
Kamanda wa Khatamul-Anbiya (SAW): Hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran
Kamanda wa Makao Makuu ya Majeshi ya Iran, Khatamul-Anbiya (SAW) amesema kuwa hivi karibuni ulimwengu utasikia mwangwi wa ushindi wa Iran, na ushindi wa muqawama dhidi ya adui mchokozi na…
Rais wa Somalia aituhumu Israel kwa kutumia mzozo kati ya Somalia na Somaliland kwa maslahi yake
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud leo amelaani hatua ya Israel ya kuitambua rasmi Somaliland, na kuituhumu Tel Aviv kuwa inatumia mzozo kati ya Mogadishu na eneo hilo lililojitenga na…
Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
Rais wa Cuba atangaza mageuzi mapya ya kiuchumi ili kukabiliana na mzingiro wa kijinai wa Marekani
Zainabu ataka mjadala wa kitaifa kuhusu wafanyakazi wa majumbani
Kwa mujibu wa mbunge huyo, wafanyakazi wa majumbani ni sehemu muhimu ya maendeleo ya familia...
Kenya : Malezi ya watoto wenye usonji – Autism
Kwa wazazi wengi nchini Kenya ,kumlea mtoto mwenye usonji ,Autism ,si malezi ya kawaida ni malezi yenye mzigo mzito, gharama na inanyanyapaisha. Carol Korir ametuandalia ripoti kuhusu namna shule moja…
Kwa nini Trump anaendelea kukariri mkakati ulioshindwa mara nyingi huko nyuma
Rais Donald Trump wa Marekani kwa mara nyingine tena amekiuka makubaliano legevu ya kusitisha mapigano kati ya nchi hiyo na Iran kwa kushambulia upya maeneo kadhaa ndani ya ardhi ya…
Wilaya ya Liwale imesimama!
Wilaya ya Liwale imesimama! Umati mkubwa wa wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) umejitokeza kwa shangwe na vifijo kumlaki Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mhe. Mary Pius Chatanda (MCC),…
Ujumbe wa Waziri Gwajima kabla ya kuingia kwenye ndoa
Amesema hali hiyo inapaswa kuwa funzo kwa wanawake na jamii kwa ujumla kujiuliza kama wanaingia...
Getto Kids kutoka mitaani hadi kuwa nyota wa Kimataifa
Kama kuna simulizi inayothibitisha kwamba kipaji kinaweza kubadili maisha ya mtoto kutoka...
Serikali kuzalisha vipaji wanamichezo kupitia Umitashumta na Umisseta
Mashindano ya mwaka 2026 yanafanyika mkoani Iringa kuanzia Juni 8-30, mwaka huu yakiwakutanisha...
Wenye magari Dar wataka mfumo bora wa usimamizi wa maegesho
Kadiri idadi ya magari inavyoongezeka katika Jiji la Dar es Salaam, ndivyo umuhimu wa kuwa na...
Mwanamume afariki akisubiri kutangazwa rasmi kuwa pasta, ndugu asimulia maneno yake ya mwisho
Kifo baada ya kuugua cha mwanaseminari Mathias Ssali, mwenye umri wa miaka 29, miezi kadhaa kabla ya kuwekwa wakfu kimeacha familia na jamii na maombolezo.
Wema Sepetu ajifungua siku chache baada ya kuandaa sherehe Bab kubwa ya ‘baby shower’
Mwigizaji mkongwe wa Tanzania Wema Sepetu amejifungua mtoto wake wa kwanza baada ya miaka mingi ya kuhangaika na utasa. Habari hizo zimewapa msisimko mashabiki.
Gideon Konchellah: Mbunge wa zamani wa Kilgoris afariki, familia yathibitisha chanzo cha kifo
Mbunge wa zamani wa Kilgoris Gideon Konchellah amefariki saa 4 asubuhi baada ya mshtuko wa moyo. Alikuwa mgonjwa tangu Novemba 2025 na alikuwa akipokea matibabu.
Mapya yaibuka, England yaibiwa vifaa Marekani
Vifaa vilivyoibwa katika tukio hilo ni viatu vya wachezaji, mipira, jezi na sare za mazoezi.
Mahakama yaamuru taasisi kulipa Sh363.6 milioni NSSF
Hukumu hiyo imetolewa Juni 12, 2026 na Jaji Emmanuel Ngigwana aliyekuwa akisikiliza kesi ya...
Amnesty International: Israel inafanya “maangamizi ya kizazi” katika Ukingo wa Magharibi
Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi"…
Mvulana mdogo aduwaza intaneti, amweka nyoka shingoni na kumdekeza bila uoga
Kukutana kwa mvulana mdogo bila woga na nyoka wa kahawia wa nyumba ya kahawia kumezua hisia tofauti mtandaoni, kuonyesha utulivu wake huku mnyama huyo akimzunguka.
Tanzania yafungua rasmi soko la ndizi Afrika Kusini
Ufunguzi wa soko hilo unatarajiwa kuongeza mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi, kupanua fursa...
Ukataji miti watishia kutoweka dawa za asili
DODOMA: Wataalamu wa tiba asili hapa nchini wameiomba serikali kuendelea kuchukua hatua za makusudi za kuhamasisha utunzaji wa mazingira ili kuendelea kulinda maliasili na uoto wa asili. Wamesema kuendelea…
Wema Sepetu: Kutoka kuitwa tasa hadi kumbeba mwanawe
Licha ya mafanikio yake katika tasnia ya filamu na biashara mbalimbali, Wema hakuwahi kuficha...
Watanzania wanapenda sanaa lakini hawawajali wasanii
Hakika jambo moja ambalo wasanii huja kugundua baada ya kuanza kutegemea sanaa kuendesha maisha...
COP31 presidency unveils global electrification, accelerates energy transition
TURKEY: AS climate negotiators from around the world gather in Germany for the Bonn Climate Change Conference, a new global push to accelerate the transition away from fossil fuels has…
Tucker Carlson: Marekani imeshindwa kufungua Lango-Bahari la Hormuz
Tucker Carlson, mwanahabari maarufu wa kihafidhina wa Marekani, amesema kwamba matukio ya sasa katika mzozo wa Asia Magharibi yanaonyesha mapungufu ya nguvu ya kijeshi ya Marekani, akisisitiza kwamba Washington imeshindwa…