Mufti wa Libya: Kuikomboa Palestina ni wajibu wa kidini
Sheikh Sadiq al-Ghariani, Mufti wa Libya amesema kwamba kuikomboa Palestina na kuwasaidia wakazi wake ni wajibu wa kidini kwa Waislamu wote.
Mvutano wa kodi kati ya Bara na Zanzibar kuibuka mara kwa mara
Mvutano wa kodi kati ya Bara na Zanzibar kuibuka mara kwa mara. Je,Viongozi walaumiwe kwa kutosimamia maamuzi yao kuhusu jambo hili ?
Nchi 24 zaonya kuhusu janga la watu nchini Sudan; UN yasema ina wasiwasi mkubwa
Nchi 24 za Magharibi zimeelezea wasiwasi wao kuhusu mauaji yanayoendelea kufanywa dhidi ya raia, uharibifu wa miundombinu na mashambulizi dhidi ya taasisi za misaada ya kibinadamu nchini Sudan, zikitoa wito…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 19, 2026
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI FEBRUARI 19, 2026
Je, NATO imemjibu Trump kufuatia mzozo wa Greenland?
Mpango wa NATO wa Walinzi wa Arctic, uliotangazwa rasmi wiki iliyopita na Katibu Mkuu wa NATO Mark Rutte, uliibuka huku kukiwa na uhusiano mbaya kati ya Marekani na nchi za…
Manuva ya kijeshi ya Iran na Russia kufanyika leo katika Bahari ya Oman
Msemaji wa maneva ya kijeshi ya Iran na Russia, Admirali Hassan Maghsoudlou, amesema kuwa vikosi vya majini vya Iran na Russia leo Alkhamisi vitafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia msikiti wa al-Aqswa
Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena Msikiti mtakatifu wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
Familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia yapuuza madai ya kuwekewa sumu Lungu
Familia ya Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, ambaye alifariki dunia nchini Afrika Kusini mwezi Juni mwaka jana na bado hajazikwa, imekanusha madai kwamba Lungu aliwekewa sumu.
Stakeholders explore collaborative approaches to combat GBV
DAR ES SALAAM: Civil society organizations, research institutions, and development stakeholders from across the country have discussed strategies grounded in evidence to prevent and address violence against women and children…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 19, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
Wakayi wanajiandaa kwa mazishi, kumbe Bala anatesekea kwa Sophia
Wakayi wanajiandaa kwa mazishi, kumbe Bala anatesekea kwa Sophia #AzamTWO (Feed generated with FetchRSS)
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 18, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 18, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 15, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 15, 2026
TFS yatatua migogoro ya mipaka na vijiji kwa 96%
MOROGORO: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) umefanikiwa kutatua migogoro ya mipaka 423 kati ya 438 iliyokuwa inahusiana na vijiji na Wadau wengine iliyoanishwa kupitia lamati ya mawaziri wanane iliyoundwa…
TRA United yapata bodi ya usimamizi
DAR ES SALAAM: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda leo amezindua Bodi ya Usimamizi wa Timu ya mpira wa miguu “TRA United Sports Club na…
Unaanzaje kupitwa na tamthilia kali ya The Punisher kila Ijumaa hadi Jumapili saa 4:00 usiku?
Unaanzaje kupitwa na tamthilia kali ya The Punisher kila Ijumaa hadi Jumapili saa 4:00 usiku? Tukutane kesho kupitia #AzamONE pekee. (Feed generated with FetchRSS)
Usikose kutazama MasterChef kila Ijumaa hadi Jumapili saa 3:00 usiku ndani ya #AzamONE pekee
Usikose kutazama MasterChef kila Ijumaa hadi Jumapili saa 3:00 usiku ndani ya #AzamONE pekee. (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI:Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Dkt
#HABARI:Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Dkt. Jafar Seif, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuwathamini wawekezaji wazawa na kuwashirikisha kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo pale wanapoelemewa katika…
Waumini wa dini ya Kiislamu nchini kesho wanaungana na Waislamu wengine duniani kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani baad…
Waumini wa dini ya Kiislamu nchini kesho wanaungana na Waislamu wengine duniani kuanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani baada ya kukamilika kwa mwezi wa Shaaban. Taarifa zilizotufikia hivi punde…
🔴MAHOJIANO MAALUM NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI BW
🔴MAHOJIANO MAALUM NA KAIMU BALOZI WA MAREKANI BW. ANDREW LENTZ.
#HABARI: Tanzania imepata mafanikio makubwa katika sekta ya nishati baada ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kuongezeka mara…
#HABARI: Tanzania imepata mafanikio makubwa katika sekta ya nishati baada ya matumizi ya nishati safi ya kupikia kuongezeka mara tatu, kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 23.2 mwaka 2025.…
Veta kutoa diploma ya ‘house girl’
Wafanyakazi wa ndani ‘ma- house girl’ au mayaya, wameanzishiwa mafunzo ya ngazi ya diploma...
zipo stori nyingi nzuri ambazo zilianza kwa majonzi lakini hii ya @lisa_fickenscher ni ya kusisimua, ina elimisha na ina kila sa…
zipo stori nyingi nzuri ambazo zilianza kwa majonzi lakini hii ya @lisa_fickenscher ni ya kusisimua, ina elimisha na ina kila sababu ya kupenya katika masikio ya kila mwanamke ili kujua…
Vijana waandaliwa kutumia fursa za kidigitali
Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamejengewa uwezo juu ya namna wanavyoweza kujiandaa kikamilifu...
#HABARI: Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametangaza kuwa mwezi umeandamana na kesho Waislamu nchini Tanzania, wataanza…
#HABARI: Sheikh Mkuu wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ametangaza kuwa mwezi umeandamana na kesho Waislamu nchini Tanzania, wataanza mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kufuatia kuandama kwa Mwezi Mtukufu, Waumini wa…
#HABARI:Mtumishi wa DAWASA Kibamba, alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Ubungo, kulipa faini ya kiasi cha Tshs
#HABARI:Mtumishi wa DAWASA Kibamba, alihukumiwa na Mahakama ya Wilaya ya Ubungo, kulipa faini ya kiasi cha Tshs. 1,000,000/= na kurejesha fedha kiasi cha Tshs. 297,000/= ambazo alizipokea kutoka kwa mlalamikaji,…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Bw
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Bw. Paulo Chacha, ametangaza kuongeza dau la zawadi hadi kufikia Shilingi milioni 50 kwa mtu yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwa mtuhumiwa wa mauaji ya kinyama…
#HABARI: Serikali imetoa ithibati kwa kitabu cha “Dunia Yangu Bora” ili kianze kutumika rasmi kama kitabu cha ziada cha stadi za…
#HABARI: Serikali imetoa ithibati kwa kitabu cha "Dunia Yangu Bora" ili kianze kutumika rasmi kama kitabu cha ziada cha stadi za maisha katika halmashauri 76 ndani ya mikoa 10 nchini.…
#HABARI: Zaidi ya wanafunzi 13,000 waliokatisha masomo ya sekondari nchini wamefanikiwa kurejea shuleni kupitia mradi wa SEQUIP-…
#HABARI: Zaidi ya wanafunzi 13,000 waliokatisha masomo ya sekondari nchini wamefanikiwa kurejea shuleni kupitia mradi wa SEQUIP-AEP, unaotekelezwa na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW) kwa kushirikiana na TAMISEMI.…
#HABARI:Wawakilishi wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa Mkoa wa Tanga pamoja na viongozi wa Mabaraza …
#HABARI:Wawakilishi wa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkuu wa Mkoa wa Tanga pamoja na viongozi wa Mabaraza ya Muziki nchini, wamewaongoza Watanzania' katika zoezi la kuuaga mwili…
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 18, 2026 – MVUTANO WA KODI BARA NA ZNZ WAIBUKA TENA
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 18, 2026 - MVUTANO WA KODI BARA NA ZNZ WAIBUKA TENA.
Upatikanaji Nishati Safi Tanzania Umeongezeka
UPATIKANAJI wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi 23.2 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya mara tatu ndani ya miaka minne. Waziri wa…
Waumini wa dini ya Kikristo leo wameshiriki ibada takatifu ya Jumatano ya Majivu, ibada inayoashiria mwanzo wa kipindi cha Kware…
Waumini wa dini ya Kikristo leo wameshiriki ibada takatifu ya Jumatano ya Majivu, ibada inayoashiria mwanzo wa kipindi cha Kwaresima cha siku 40 kuelekea maadhimisho ya Pasaka. (Feed generated with…
#AIBUYAKO:Fuatilia vyombo vya moto vikivunja sheria na kanuni za usalama Barabarani, kwa kuendesha vyombo vyao mpaka kufikia kui…
#AIBUYAKO:Fuatilia vyombo vya moto vikivunja sheria na kanuni za usalama Barabarani, kwa kuendesha vyombo vyao mpaka kufikia kuishiwa mafuta njiani. Kipindi hiki kitakuwa #MUBASHARA Facebook na Youtube #ITVTANZANIA, Februari 23,…
..Sh Milioni 50 kutolewa kukamatwa Chacha
MKUU wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha, ametangaza kuongeza dau la zawadi kutoka shilingi milioni 20 hadi milioni 50 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa sahihi zitakazomsaidia kukamatwa mtuhumiwa anayefahamika kwa…
#HABARI: Vikundi 19 vya mamalishe, wajasiriamali, na maafisa usafirishaji katika Kata ya Gongolamboto jijini Dar es Salaam, vina…
#HABARI: Vikundi 19 vya mamalishe, wajasiriamali, na maafisa usafirishaji katika Kata ya Gongolamboto jijini Dar es Salaam, vinatarajiwa kunufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri kwa lengo la…
#MICHEZO: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amezindua bBodi mpya ya Klabu ya michezo ya TRA Unit…
#MICHEZO: Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amezindua bBodi mpya ya Klabu ya michezo ya TRA United, akieleza kuwa timu hiyo ni mkakati wa kiuchumi wa…
#HABARI: Serikali imefanikiwa kuokoa kiasi cha Shilingi bilioni sita, kupitia mfumo wa manunuzi ya pamoja ya saruji na vifaa vya…
#HABARI: Serikali imefanikiwa kuokoa kiasi cha Shilingi bilioni sita, kupitia mfumo wa manunuzi ya pamoja ya saruji na vifaa vya ujenzi kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya VETA katika…
Manispaa ya Musoma yaazimia kuongeza ufaulu hadi asilimia 95
Katika mtihani wa Taifa wa kidato cha nne mwaka 2025, jumla ya wanafunzi 369 walipata daraja...
‘kazi za ndani ajira rasmi’
SERIKALI ya Tanzania ipo mbioni katika hatua za mwisho za kuridhia Mikataba ya kazi namba 189 na 190 ya Shirika la Kazi Duniani (ILO), inayolenga kutambua kazi za ndani kama…
Uhuru Kenyatta aonekana amepiga magoti kwa unyenyekevu akifanya sala wakati wa Jumatano ya Majivu
Unyenyekevu wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta katika Misa ya Jumatano ya Majivu uliwavutia Wakenya huku akidhihirisha kujitolea, akiwa ameketi miongoni mwa waumini.
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Welezo Mhe
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Welezo Mhe. Asma Ali Hassan Mwinyi @asmaalimwinyi kupitia taasisi yake ya Asma Mwinyi Foundation (AMF), imeadhimisha miaka mitano tangu kuanzishwa kwake, ikiwa na historia ya…
Wilfred Kidao apata shavu TRA United
ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, ni miongoni mwa wajumbe nane wanaounda Bodi ya Usimamizi wa TRA United SC inayoongozwa na Mwenyekiti wake,…
Farouk Kibet amuonya Uhuru Kenyatta serikali itafunga akaunti zake kwa madai anafadhili upinzani
Msaidizi wa muda mrefu wa Rais William Ruto Farouk Kiber alimuonya rais wa zamani Uhuru Kenyatta dhidi ya kufadhili upinzani, akionya kuwa akaunti zake zitafungwa.
Viongozi waendelea kuhojiwa kuhusu Oktoba 29
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 17, 2026 imekutana na Mwanasheria Andrew Chenge kwa…
Baada ya kilio cha muda mrefu cha ukosefu wa maji safi na salama kutoka Mamlaka ya Maji Safi na Salama Dar es Salaam (DAWASA), W…
Baada ya kilio cha muda mrefu cha ukosefu wa maji safi na salama kutoka Mamlaka ya Maji Safi na Salama Dar es Salaam (DAWASA), Wakazi wa kata ya Sumi iliyopo…