🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 17, 2026 – WATU 4 WAFARIKI DUNIA KWA KUSOMBWA NA MAJI MVUA RUKWA
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 17, 2026 - WATU 4 WAFARIKI DUNIA KWA KUSOMBWA NA MAJI MVUA RUKWA
Mwanafunzi Chuo cha CBE Mbeya akutwa amekufa katika dimbwi la maji
Alipotafutwa Mkuu wa Chuo cha Biashara (CBE) Kampasi ya Mbeya, Dk Beny Mwenda kuhusiana na...
#HABARI: Viongozi na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ziara ya kikazi katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyere…
#HABARI: Viongozi na Maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wamefanya ziara ya kikazi katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), ambapo wamepongeza matumizi sahihi ya kodi za Watanzania.…
Stephanie Ruto Achanga KSh 3m Kusaidia Kituo cha Watoto cha St. Mary’s Mbuini: “From my Father”
Stephanie Ruto alitoa mchango wa KSh 3 milioni kwa kituo cha kutunza watoto cha Mbiuni, akisaidia taasisi hiyo huku akisisitiza mapenzi yake kwa ustawi wa watoto.
Tume ya uchunguzi yakutana Dk.Hosea
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 17, 2026 imekutana na Rais mstaafu wa Jumuiya…
Jukwaa la Urusi latoa maelezo mapya ya raia wake mwenye utata Yaytseslav, laanika uongo wake
Yaytseslav ambaye alipata sifa mbaya kwa kuwarekodi wanawake bila idhini, alifichuliwa na utambulisho wake halisi baada ya kuwahadaa watu.Ufichuzi huo uliibua hasira
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, amehitimisha mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 15 katika eneo la Kariakoo, ukihusisha familia ya marehemu Abdallah Sultani Mtambo…
Njombe yachukua hatua kudhibiti homa ya nguruwe
Wafanyabiashara wa nguruwe katika halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani hapa wametakiwa...
Madereva Kiwanda cha A- One wagoma wakidai nyongeza ya mshahara
Kwa mujibu wa Labour Institutions (Minimum Wage for Private Sector) Order, 2025, viwango vipya...
Dereva aliyemgonga trafiki akamatwa
Dereva huyo alikamatwa Februari 14, 2026, katika kijiji cha Rubare, Wilaya ya Bukoba Vijijini...
Watoto wafundishwe kusoma vitabu
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema uandishi wa vitabu una mchango mkubwa katika kuhifadhi utamaduni wa taifa na kujenga uzalendo kwa watoto kupitia vitabu vinavyoakisi maadili…
Dk Mwigulu awatumia maagizo RC Mbeya, DC Chunya akisema ‘hakuna mbabe’
Katika maagizo yake, Dk Mwigulu amemuelekeza mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya kutekeleza hukumu...
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania, Ismael Kimirei amesema kumekuwa na upotevu mkubwa wa mazao ya uvuvi baa…
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania, Ismael Kimirei amesema kumekuwa na upotevu mkubwa wa mazao ya uvuvi baada ya kuvunwa hali inayosababisha nchi kukosa mapato, huku akibainisha…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi imekamata kilo 299.8 za m…
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini (DCEA) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi imekamata kilo 299.8 za mirungi na kuteketeza ekari 203 za mashamba ya zao…
Profesa Jay: Narudi kupindua meza
Nguli wa Bongo Fleva, Joseph Haule (Profesa Jay) amefunguka kurudi upya jukwaani, akisisitiza...
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya kodi za wananchi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere, ikisema mrad…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya kodi za wananchi katika mradi wa Bwawa la Julius Nyerere, ikisema mradi huo unaonesha jinsi kodi zinavyochochea maendeleo kwa kuongeza umeme…
Salamu za Rambirambi
Salamu za Rambirambi (Feed generated with FetchRSS)
Mjane wa Kelvin Kiptum aibuka tena, afurahia matembezi na marafiki
Urithi wa Kelvin Kiptum unadumu miaka miwili baada ya kifo chake, huku mizozo ya kifamilia ikizuka, na mjane wake, Asaneth Rotich, kuibuka tena kwenye mitandao
Samia atuma salamu za pole, kifo cha msanii Hiza
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, FEBRUARI 17, 2026 -ASILIMIA 24 YA WANAFUNZI HAWAJARIPOTI SHULE
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, FEBRUARI 17, 2026 -ASILIMIA 24 YA WANAFUNZI HAWAJARIPOTI SHULE
#HABARI: Watu watatu wakazi wa Mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wamenusurika kifo baada ya nyumba kuungua moto, u…
#HABARI: Watu watatu wakazi wa Mtaa wa Kidinda wilayani Bariadi mkoani Simiyu, wamenusurika kifo baada ya nyumba kuungua moto, unaodaiwa kusababishwa na hitilafu ya umeme na kuteketeza baadhi ya samani…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere ku…
Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya fedha za kodi za watanzania katika Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kufuatia ziara yao ya kikazi Februari 14, 2026, ikieleza…
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameamsha shangwe baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu ulihusu ene…
MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameamsha shangwe baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu ulihusu eneo lililotengwa na Serikali kwa ajili ya maakaburi kuvamiwa na…
Wasanii wamlilia Steven Hiza wa ‘Tanzania yetu’
Kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe Steven Hiza, kilichotokea jana jioni Februari 17,2026...
Chalamila amaliza mgogoro miaka 15 Kariakoo
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemaliza mgogoro wa takriban miaka 15 kuhusu umiliki wa nyumba namba 12, kiwanja namba 15, eneo la Kariakoo uliokuwa ukihusisha familia…
Mbinu sita zinazotumiwa kukwepa kodi Tanzania
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeelezea maeneo yanayotumiwa na wafanyabiashara kukwepa kodi...
Ouma atumia mechi za CAF kuitisha Copco FC
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema licha ya kushindwa kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini wamepata somo zuri wanalotaka kuanza kulitumia kesho Alhamisi dhidi…
Mgunda hataki kurudia makosa
BAADA ya vipigo viwili mfululizo katika mechi za Ligi Kuu Bara, kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema hatarajii kurudia makosa kwenye pambno lijalo la michuano ya Kombe la Shikirikisho…
Wosia, usimamizi wa mirathi vichocheo migogoro ya familia
Siku moja baada ya kuzinduliwa kwa Kliniki ya Sheria katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar...
REA expands clean energy campaign to Kondoa, targeting 52 schools
DODOMA: THE Deputy Minister of Energy, Salome Makamba, has today, February 17, 2026, launched a clean cooking energy project at Kondoa Girls’ Secondary School in Dodoma region. The project is…
Mkenya Pamba Jiji hesabu kwa vigogo
LICHA ya Pamba Jiji jioni ya leo kuwa na kibarua cha kukabiliana na Alliance FC katika mechi ya hatua ya 64 Bora ya Kombe la Shirikisho (FA), kocha wa timu…
Jumla ya Shilingi Bilioni 2 zimetolewa kwa wajasiriamali wa Jimbo la Mtumba, mkoani Dodoma, kwa lengo la kuwawezesha kupata mita…
Jumla ya Shilingi Bilioni 2 zimetolewa kwa wajasiriamali wa Jimbo la Mtumba, mkoani Dodoma, kwa lengo la kuwawezesha kupata mitaji nafuu na kujikwamua kutoka kwenye mikopo isiyo rasmi yenye riba…
Wadau watoa mapendekezo kuinusuru EAC
Wakati Rais wa Kenya, William Ruto akiitisha kikao cha dharura cha wakuu wa nchi wanachama wa...
#HABARI: Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, kufuatia kifo cha nguli wa muziki na m…
#HABARI: Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, ametoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki, kufuatia kifo cha nguli wa muziki na mtunzi wa wimbo, 'Tanzania Yetu', Mzee Steven Hiza. Rais Dkt.Samia…
How the India-Russia-China economic corridor promises speedier, cheaper transport
Cutting Through Distances: The New Economic Corridor’s Promise Reducing the time and expense involved in transporting goods is no small feat, but the new India-Russia-China corridor aims to do just…
Kero nne kutikisa ziara ya Mwigulu Kilimanjaro
Wakati Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, akitarajiwa kuanza ziara ya siku nne mkoani Kilimanjaro...
MAPUMZIKO | #CRDBBankFederationCupFinal:
MAPUMZIKO | #CRDBBankFederationCupFinal: HT: KMC FC 2-1 Bandari Iko LIVE #AzamSports1HD #CRDBBankFederationCup #CRDBBank #KombeLaShirikishoLaCRDBBank #KMCFC #BandariFC #KMCBandari (Feed generated with FetchRSS)
Mechi za wiki hii ligi ya mabingwa kwa Wanawake
Mechi za wiki hii ligi ya mabingwa kwa Wanawake. Michezo hii kuruka mbashara kupitia chaneli ya ESPN. Chaneli hii ya ESPN inapatikana katika kifurushi cha shilingi 35,000. #UEFAWOMENSCHAMPIONSLEAGUE #ESPN #Azamtvsports…
Rais Samia amuomboleza mwanamuziki Steven Hiza
Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, kufuatia kifo cha mwanamuziki mkongwe, Steven Hiza. Hiza amefariki jana jioni nyumbani…
Iran, US zakamilisha duru ya pili ya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana ya nyuklia, Geneva
Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, duru ya pili ya mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya ana kwa ana kati ya Iran na Marekani imemalizika mjini Geneva, Uswisi.
DCEA seizes 299.8kg of khat, destroys 203 acres of the crop
SAME: THE Drug Control and Enforcement Authority (DCEA), in collaboration with the Tanzania Police Force, has completed a special operation in the villages of Marieni and Mhero in Chome Ward,…
Sanaipei alivyokacha masomo kisa sanaa
Kuna wasanii wanakuja kwenye tasnia kwa kishindo, wanatoa wimbo mmoja au miwili halafu...
Tanzania, Japan agree to deepen ties in key sectors and people’s relations
DAR ES SALAAM: TANZANIA has called for deeper strategic ties with Japan, pushing for expanded cooperation across key sectors to boost economic growth and strengthen people-to-people relations. Deputy Minister for…
Kero, vituko Kihongosi anapohitimisha ziara Tabora
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi...
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Februari 17.2026 imesikiliza mapingamizi yaliyowe…
#HABARI: Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam leo, Jumanne Februari 17.2026 imesikiliza mapingamizi yaliyowekwa na aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohamed na…