Huyu Salma hapa ndio hamna shughuli tena, Boni huyooo anapepea…Pole mwaya 💀
Huyu Salma hapa ndio hamna shughuli tena, Boni huyooo anapepea...Pole mwaya 💀 (Feed generated with FetchRSS)
Azam yakwama na pointi tisa
MOROCCO; AZAM imemaliza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa na pointi tisa, lakini imekwama kutinga robo fainali. Azam leo imepoteza mchezo wake wa mwisho hatua ya makundi…
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 14 , 2026 MKANDARASI ALIYETELEKEZA MRADI WA MAJI ATAKIWA KUPATIKANA
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 14 , 2026 MKANDARASI ALIYETELEKEZA MRADI WA MAJI ATAKIWA KUPATIKANA
#HABARI: Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Mtwara imepata mafanikio makubwa kupitia miradi saba ya…
#HABARI: Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) wilayani Mtwara imepata mafanikio makubwa kupitia miradi saba ya mita za malipo ya kabla (pre-paid meters) inayohudumia vijiji 11. Mhandisi…
Yanga inaongoza 1-0 ngoma mapumziko
ZANZIBAR; NI mapumziko mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi Uwanja wa New Amaan Complex kati ya Yanga ya Dar es Salaam na JS Kabylie ya Algeria na…
Wadau wataka tiba saikolojia kwa wachezaji
KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Aman Josiah amelitaja suala la saikolojia kwa wachezaji kuwa ni eneo muhimu nje ya uwanja ambalo makocha wanapaswa kulijua ipasavyo.
#BSSNextLevelRevolution | Sikiliza ‘mastori’ tumepiga na baadhi ya washiriki ambao jana walifanikiwa kuingia mchujo wa pili (leo…
#BSSNextLevelRevolution | Sikiliza ‘mastori’ tumepiga na baadhi ya washiriki ambao jana walifanikiwa kuingia mchujo wa pili (leo). Wanakuambia kwenye duara cha BSS sio poa 😅 #BongoStarSearch itaanza kuruka hewani kuanzia…
Kakama yasherehekea miaka 10 ya kukuza Kiswahili
ZANZIBAR; Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (Kakama) imesherehekea mwaka wake wa 10 katika tukio kubwa lililofanyika makao makuu yake Zanzibar, ikionesha dira muhimu katika kukuza Kiswahili kama chombo cha…
TRA yaanza utekelezaji maagizo ya Rais Samia
ARUSHA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeanza kuchukua hatua ya utekelezaji wa maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa wakati wa kampeni wilayani Karatu mkoa wa Arusha ya kuitaka TRA…
Askofu Kasala ashauri jambo Bima ya Afya kwa Wote
Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kasala ameshauri utaratibu wa utoaji wa Bima ya Afya...
#HABARI: Taasisi ya Ukaguzi na Udhibiti wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imefanya operesheni ya kushtukiza mkoani Singida na kubaini ba…
#HABARI: Taasisi ya Ukaguzi na Udhibiti wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imefanya operesheni ya kushtukiza mkoani Singida na kubaini baadhi ya wamiliki wa maduka ya pembejeo wakihujumu mfumo wa ruzuku kwa…
Kamati ya Bunge yatoa maagizo udhibiti wa bandari bubu nchini
Kushamiri kwa bandari bubu nchini, kumeiamsha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kutoa...
#HABARI: Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imesababisha maafa makubwa katika kata za Isanga na Iganzo jijini Mbeya baada y…
#HABARI: Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imesababisha maafa makubwa katika kata za Isanga na Iganzo jijini Mbeya baada ya kubomoa na kuezua mapaa ya nyumba 34, yakiwemo makanisa mawili.…
Chuo cha Bahari Dar es Salaam chalia ukosefu wa meli ya mafunzo
Chuo cha Bahari Dar es Salaam (DMI) kimeeleza kukabiliwa na changamoto ya uhaba wa miundombinu...
Kihongosi aagiza DC Igunga kumaliza mgogoro wachimbaji wadogo
Baadhi wachimbaji wadogo wa madini wamemuomba Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha...
CCM Moshi Vijijini yasisitiza umoja, mshikamano kwa viongozi wake
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi Vijijini, Mkoani Kilimanjaro, kimesema hakitamvumilia...
Sirro demands discipline as mining profits rise
DAR ES SALAAM: WHEN Ambassador IGP (rtd) Simon Sirro, Chairman of the Board of Directors of the State Mining Corporation STAMICO, recently toured the corporation’s strategic mining projects, his message…
Katika jitahada za kuungana mkono serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt
Katika jitahada za kuungana mkono serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika kuboresha sekta ya elimu nchini, Wadau, viongozi na watumishi wote waliowahi kusoma katika…
Wagonjwa wa saratani waongezeka mara sita kwa miaka 17, watoto wafikia 400 Bugando
Idadi ya wagonjwa wa saratani wanaotibiwa katika idara ya saratani ya Hospitali ya Rufaa ya...
Mpogolo amaliza mgogoro eneo la makaburi
DAR ES SALAAM: MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo ameamsha shangwe baada ya kufanikiwa kumaliza mgogoro wa ardhi wa muda mrefu uliohusisha eneo lililotengwa na Serikali kwa ajili ya…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO, FEBRUARI 15, 2026 –
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MOROGORO, FEBRUARI 15, 2026 -
Fanya haya kudhibiti maudhui usiyoyapenda Instagram
Mtandao wa Instagram umekuja na mfumo mpya wa mtumiaji kudhibiti maudhui ikiwemo picha na video...
Mapigano FIzi, DRC: ‘Bado tunashambuliwa kwa mabomu na ndege zisizo na rubani za serikali’
Wakati usitishaji mapigano ukitarajiwa kuanza siku ya Jumatano, Februari 18, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), mapigano makali yanayoambatana na mashambulizi ya mabomu yanaendelea katika nyanda za juu…
#HABARI: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika, umeteketeza nyumba ya familia moja katika eneo la Ubungo Maziwa jij…
#HABARI: Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika, umeteketeza nyumba ya familia moja katika eneo la Ubungo Maziwa jijini Dar es Salaam. Katika tukio hilo mama aliyekuwa akiishi ndani ya…
#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, ameanza ziara ya siku tisa katika mikoa ya Tabora n…
#HABARI: Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, ameanza ziara ya siku tisa katika mikoa ya Tabora na Kigoma, ambapo amepokelewa katika wilaya ya Igunga. Katika…
Kampuni ya utalii yatwaa tuzo ya muendeshaji bora safari za Puto Tanzania
Kampuni ya utalii wa puto angani, Miracle Experience Balloon Safaris, imetajwa kuwa Muendeshaji...
Ishu ya penalti Namungo iko hivi!
BAADA ya wimbi la wachezaji wa Namungo kuzidi kukosa penalti katika mechi za Ligi Kuu Bara msimu huu, kocha wa kikosi hicho cha 'Wauaji wa Kusini', Juma Mgunda amesema hakuna…
TADB yafungua masoko Qatar, yashiriki maonyesho
Ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kupanua wigo wa ushirikiano wa kimataifa, kuvutia uwekezaji na...
TRA United mambo si shwari
MABOSI wa TRA United huenda wakaachana na kocha mkuu wa timu hiyo, Mrundi Etienne Ndayiragije, baada ya pande hizo zote mbili kutokuwa na maelewano mazuri kwa siku za hivi karibuni,…
Saa 3 kabla mechi, New Amaan mambo bado!
IKIWA zimesalia saa tatu kabla ya kuanza mtanange wa mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar wanaoutumia Yanga na JS Kablyie bado mambo hayajachangamka.
Mavitu ya Khleffin yamkosha Josiah
KOCHA wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amefurahishwa na mwenendo wa timu hiyo hadi sasa katika mechi za Ligi Kuu ilizocheza msimu huu, huku akisifu usajili wa kiungo wa kikosi hicho,…
Ni dawa, sumu au biashara Mlipuko wa maduka ya tiba asili
Kuna jambo lisilo la kawaida linaloendelea katika miji mikuu ya Tanzania. Ongezeko la kasi la...
Vitendea kazi vyatajwa kikwazo mfumo anuani za makazi
Licha ya mafanikio kadhaa yaliyopatikana kwenye mfumo wa anuani za makazi, uhaba wa vitendea...
Washindi 10 wa kampeni waenda Dubai
Yas imewaaga rasmi wateja wake 10 wanaosafiri kwenda Dubai baada ya kushinda kupitia kampeni ya...
UCHAMBUZI MECHI ZA CAF: Uchambuzi unaendelea ndani ya studio za #AzamTV ukiangazia mechi za leo za Kombe la Shirikisho Afrika na…
UCHAMBUZI MECHI ZA CAF: Uchambuzi unaendelea ndani ya studio za #AzamTV ukiangazia mechi za leo za Kombe la Shirikisho Afrika na Ligi ya Mabingwa. Saa 11:00 jioni ni Wydad AC…
Waadhimisha miaka 10 ya mafanikio na fursa kwa vijana
Siku ya jana, Uwanja wa vijana wa Jakaya M. Kikwete (JMK Park) ulijaa burudani, rangi...
KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Azam FC, kikiondoka hotelini kwenda uwanja wa Mohamed V, jijini Casablanca, nchini Morocco kwa ajili …
KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Azam FC, kikiondoka hotelini kwenda uwanja wa Mohamed V, jijini Casablanca, nchini Morocco kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la…
MAKALA YA MBEYA CITY: “Kambi ilikuwa ni kambi nzuri”
MAKALA YA MBEYA CITY: “Kambi ilikuwa ni kambi nzuri” Unaikumbuka ile Mbeya City ya motooooo….ya msimu wa 2012/13, 2013/14….? Ni ile Mbeya City iliyokuwa chini ya Kocha Juma Mwambusi. Kocha…
Tanzania uses the TANFORD platform to promote its status as a hub for regional trade, logistics
DUBAI: THE Deputy Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, James Kinyasi Millya, participated in the Tanzania Freight Forwarders Association (TANFORD) Conference held on 13-14 February 2026 in Dubai,…
Samia ateta na Naibu Katibu Mkuu UN
Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Amina...
Sheikh Maher Hammoud: Uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran utawasha moto Asia Magharibi
Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Maulamaa wa Muqawama amesema kuwa, uchokozi wowote mpya dhidi ya Iran utapelekea kuwaka moto katika eneo lote la Asia Magharibi.
EAKC celebrates a decade of promoting Kiswahili for regional integration
ZANZIBAR: THE East African Kiswahili Commission (EAKC) celebrated its 10th anniversary in a grand event held at its headquarters in Zanzibar, marking a decade of significant strides in promoting Kiswahili…
Katika Kusuma mbele agenda ya serikali ya kuhakikisha ifikapo 2034 asilimia 80 ya watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupi…
Katika Kusuma mbele agenda ya serikali ya kuhakikisha ifikapo 2034 asilimia 80 ya watanzania wawe wanatumia nishati safi ya kupikia wadau wameendelea kuunga mkono kwa kubuni mbinu mbalimbali za kuwahamasisha…
Mvutano waongezeka kati ya Netanyahu na Herzog baada ya Trump kumtusi Rais wa Israel
Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kumtusi Rais wa utawala wa kizayuni wa Israel akimuunga mkono waziri mkuu wa utawala huo yameongeza mvutano kati ya Netanyahu na Isaac…