Krismasi yamfungulia fursa Rasta wa Kigamboni
SIKUKUU ya Krismasi imeendelea kuwa chanzo cha fursa kwa wananchi, hususan wale wanaojishughulisha na huduma katika maeneo ya burudani. Wilayani Kigamboni jijini Dar es Salaam, mpigapicha maarufu anayejulikana kama Rasta…
Wazazi waaswa kuangalia watoto Ufukweni
WAZAZI na walezi wametakiwa kuwa makini wanapowaruhusu watoto wao kwenda baharini kusherehekea, hususan katika kipindi cha sikukuu, ili kuepusha matukio ya ajali na madhara yanayoweza kuepukika. The post Wazazi waaswa…
Kufichua Mchakato wa Uzalishaji wa Mafuta ya Alizeti ya Sunland
Kufichua Mchakato wa Uzalishaji wa Mafuta ya Alizeti ya Sunland. Kuanzia malighafi hadi hatua ya mwisho ya kujaza, mstari wetu wa uzalishaji uliojiendesha kikamilifu bila mguso wa mikono huhakikisha usafi,…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA – DISEMBA 25, 2025
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MARA - DISEMBA 25, 2025
Askofu Mlola:Tusiharibu tunu ya amani
WATANZANIA wametakiwa kulinda na kutunza tunu ya taifa ya amani, umoja na mshikamano, pamoja na kujiepusha na mambo yanayoweza kusababisha mifarakano miongoni mwao. The post Askofu Mlola:Tusiharibu tunu ya amani…
Papa Leo azungumzia madhila ya Gaza katika mahubiri ya Krismasi yake ya kwanza
Papa Leo XIV alitoa mfano wa moja kwa moja kuhusu simulizi za Krimasi na familia za watu wa Palestina zinazoishi kwenye mahema huku kukiwa na vita na wengine kuondoka katika…
Somba haitanii, yaanza hesabu mapema
SIMBA inatarajiwa kuupokea ugeni mzito wa kocha mpya, Steve Barker na wasaidizi wake wikiendi hii kabla ya kuanza safari ya kwenda Zanzibar kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi 2026, lakini…
#HABARI: Miili mitatu kati ya mitano ya watalii raia wa Jamhuri Czech, akiwemo Rubani raia wa Zimbabwe, waliofariki katika ajali…
#HABARI: Miili mitatu kati ya mitano ya watalii raia wa Jamhuri Czech, akiwemo Rubani raia wa Zimbabwe, waliofariki katika ajali ya helkopta mali ya Kampuni ya Kilimed Air, inayofanya kazi…
Askofu Kassalla: Msivunje agano la amani
ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kassalla, ametoa wito kwa Watanzania kujenga tabia ya uungwana katika ushindani wa kisiasa ili usiwe chanzo cha kuvunja agano la amani kati yao…
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa i…
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa ina mpango wa kuagiza vifaranga vya kuku kutoka nje ya nchi. Kauli ya…
Kura ya moja kwa moja yarudi Mogadishu baada ya miaka 60, ina maana gani kwa demokrasia ya Somalia
Hatua ya kihistoria ya Somalia kuelekea mfumo wa kura ya moja kwa moja inategemea iwapo uchaguzi huu wa kihistoria utaweza kuimarisha demokrasia bila kuvunja makubaliano yanayohitajika ili kuilinda.
Zanzibar yajivunia uwenyeji mashindano ya Africa Sports Federation
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imesema inajivunia kuwa mwenyeji wa mashindano ya Africa Sports Federation ambayo yanafanyika visiwani hapa kwa mara ya kwanza.
Yona Amosi apata mtetezi Bara
HUTOKEA mara chache sana kwa wachezaji kupigiana chapuo na hiki kimedhihirishwa na nyanda wa Coastal Union, Wilbol Maseke aliyemtaja kipa wa Pamba Jiji, Yona Amosi kuwa anapaswa kutazamwa kwa jicho…
Baresi, Pweka waungana KMC
SIKU chache baada ya kufahamika kuwa mabosi wa KMC wameafiki kuamuajiri aliyekuwa kocha wa Zimamoto ya Zanzibar, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ ili kwenda kuchukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo…
Pamba Jiji yatema bungo kwa Sebo
UONGOZI wa Pamba Jiji umekubali yaishe kwa kuafikiana na aliyekuwa beki wa kati wa kikosi hicho, Abdallah Kheri ‘Sebo’, ili kwenda kujiunga rasmi na Singida Black Stars kwa ajili ya…
Singida BS kamili yaifuata Mlandege
KIKOSI cha Singida Black Stars kinaondoka leo Ijumaa kwenda visiwani Zanzibar kwa ajili ya mechi ya kwanza ya ufunguzi ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mlandege itakayopigwa Jumapili ya Desemba…
RC Mhita asherehekea Krismasi na watoto wenye uhitaji
Shinyanga. Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amewataka ndugu wa watoto wenye uhitaji...
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kalambo, mkoani Rukwa, Bw
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Kalambo, mkoani Rukwa, Bw. Edfonce Kanoni, amekabidhi msaada wa kibinadamu kwa wagonjwa na wanawake wanaojifungua katika Hospitali ya Wilaya hiyo, kama sehemu ya kuwatakia kheri…
#MICHEZO: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe
#MICHEZO: Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), amesema Tanzania inatumia fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), katika kujitangaza na kukaribisha wadau na…
Wakati Shida na Kobisi wakiwa wamekubaliana kuachana baada ya shughuli ya usiku wa vyombo…Mkunga anadai Shida ni mjamzito 🙌
Wakati Shida na Kobisi wakiwa wamekubaliana kuachana baada ya shughuli ya usiku wa vyombo...Mkunga anadai Shida ni mjamzito 🙌 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
Wataalamu waanza uchunguzi ajali ya helikopta Mlima Kilimanjaro
Bado chanzo cha ajali hakijabainika na kwamba wataalamu kutoka mamlaka husika, yaani TCAA na...
Majeruhi ajali ya kanisa waeleza mkasa mzima
Akizungumza kuhusu ajali hiyo leo, Alhamisi Desemba 25, 2025, mmoja wa majeruhi, Neema Bwanga...
AFCON inastahili heshima kama ilivyo kwa Kombe la Dunia, anasema nyota wa Nigeria Chukwueze
Wanaiweka katika ratiba (AFCON) wakati mbaya, lakini kusema kuwa siyo mashindano yanayostahili au makubwa haikubaliki, anasema mshambuliaji wa Nigeria Samuel Chukwueze.
Mapigano ya Syria; matokeo ya migogoro ya ndani na uingiliaji kati wa Marekani na Wazayuni
Kwa kuendelea kwa uingiliaji kati wa kigeni kushadidi mapigano nchini Syria baina ya makundi yanayomuunga mkono mtawala wa nchi hiyo al-Julani na kundi la Qasad, ukosefu wa usalama utulivu nchini…
AFCON: Morocco yaruhusu mashabiki kuingia bure viwanjani
Waandaaji wa Kombe la Mataifa ya Afrika nchini Morocco wameanza kuruhusu mashabiki kuingia viwanjani bila kulipa baada ya mechi kuanza, kufuatia idadi ndogo ya watazamaji katika mechi kadhaa za awali…
#HABARI: Hali ya taharuki imetanda katika Kata za Malolo na Mwinyi ndani ya Manispaa ya Tabora baada ya nyumba zaidi ya 100 kuzi…
#HABARI: Hali ya taharuki imetanda katika Kata za Malolo na Mwinyi ndani ya Manispaa ya Tabora baada ya nyumba zaidi ya 100 kuzingirwa na maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha kwa…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kija…
#HABARI: Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imekanusha taarifa zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuwa ina mpango wa kuagiza vifaranga vya kuku kutoka nje ya nchi. …
#MICHEZO: Kocha Juma Mgunda ambaye alikuwa msaidizi wa kocha Hemed Morocco wakifanikisha kuipeleka Taifa Stars katika michuano y…
#MICHEZO: Kocha Juma Mgunda ambaye alikuwa msaidizi wa kocha Hemed Morocco wakifanikisha kuipeleka Taifa Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika Afcon 2025, akizungumza @hoseamchoopa amesema amefurahishwa sana na kujitoa…
Polisi Mtwara wajipanga usalama Krismasi
MTWARA: JESHI la Polisi mkoani Mtwara kwa kushirikiana na wananchi pamoja na vyombo vingine vya dola limesema kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka Krismasi na mwaka mpya usalama wa wakazi…
Call for authorities to observe fairness and humility in serving the public
KIGOMA: THE Bishop of the Catholic Diocese of Kigoma, the Right Reverend Joseph Mlola, has urged leaders and all people in positions of authority to serve the public with integrity,…
Dr Mwinyi cherishes sports as he blesses the Zanzibar Afed Festival
ZANZIBAR: THE President of Zanzibar and Chairman of the Revolutionary Council, Dr. Hussein Ali Mwinyi, has stated that sports are a vital tool for uniting people from diverse communities and…
Dr Samia wishes Tanzanians a peaceful, joyful Christmas
ZANZIBAR: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has called on Christians and all Tanzanians to use the Christmas holiday—the commemoration of the birth of Jesus Christ—as an opportunity to strengthen their love…
Wakazi wa kata ya Malolo, wilayani Tabora Mjini wameingiwa na hofu ya maisha yao sambamba na kukosa huduma za msingi baada ya mv…
Wakazi wa kata ya Malolo, wilayani Tabora Mjini wameingiwa na hofu ya maisha yao sambamba na kukosa huduma za msingi baada ya mvua kubwa kunyesha mapema leo Disemba 25, 2025…
Dk Mwigulu awaomba viongozi wa dini kuhimiza umoja, amani
Waziri Mkuu ameshiriki ibada ya Sikukuu ya Krismasi iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Kiinjili...
Kisa cha Adam kumchukia Nadia 🙃 #NomaSeries
Kisa cha Adam kumchukia Nadia 🙃 #NomaSeries
CAF yaibeba tena Yanga Uarabuni
MASHABIKI wa Yanga someni hii itawapa raha. Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kupitia Kamati ya Nidhamu, imeishushia rungu zito AS FAR Rabat ya Morocco, uamuzi ambao utawabeba Mabingwa hao wa…
WHO inatoa wito wa kutumia jenomiki kwa ulinganifu zaidi katika utafiti wa kitabibu
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) limetoa wito wa kutumia vinasibu nasaba au jenomiki kwa ulinganifu zaidi katika utafiti wa kitabibu duniani kote.
UN yalaani vikali shambulio la kujitoa muhanga lililoua watu msikitini Nigeria
Shambulio linalodhaniwa kuwa la kujitoa muhanga katika msikiti ulioko Soko la Gamboru, Maiduguri, katika Jimbo la Borno kaskazini-mashariki mwa Nigeria, limeua waumini na kuwaacha wengine wengi wakijeruhiwa, hali iliyolaaniwa vikali…
Wakristo wasisitizwa kuishi kwa Upendo, Amani
WAUMINI katika makanisa mbalimbali Zanzibar wametakiwa kuenzi upendo, amani na maadili mema katika maisha yao ya kila siku kama maana halisi ya Krismasi. Ibada za Krismasi zimeendelea kutoka usiku wa…
Serikali imemtaka mkandarasi anayejenga daraja la Ilambo, wilayani Sumbawanga, mkoani Rukwa kuanza ujenzi huo mara tu baada ya S…
Serikali imemtaka mkandarasi anayejenga daraja la Ilambo, wilayani Sumbawanga, mkoani Rukwa kuanza ujenzi huo mara tu baada ya Sikukuu ya Zawadi “Boxing Day” na kukamilisha ujenzi huo ndani ya miezi…
Rais Pezeshkian ampongeza Papa kwa mnasaba wa Krismasi na Mwaka Mpya
Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu kwa Papa Leo wa XIV, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, akimpongeza kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Nabii…
Uchaguzi wa moja kwa moja Somalia kwa mara ya kwanza baada ya zaidi ya nusu karne
Wakazi wa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu, wameanza kupiga kura katika uchaguzi wa baraza la mitaa, tukio la kihistoria kwani ni mara ya kwanza baada ya zaidi ya miaka 50…
Dube, Diarra mzigoni leo AFCON 2025
RAUNDI ya pili ya mechi za makundi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 inaendelea leo Ijumaa kwa mechi nne zinazojumuisha timu za Kundi A na B ambazo…
Guterres atoa wito wa uchaguzi wa amani na jumuishi CAR
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa raia wote wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), kushiriki kikamilifu katika uchaguzi ujao wa nchi hiyo, akisisitiza umuhimu…
Tahadhari kuhusu ongezeko la utapeli mtandaoni
Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu UNODC imeonya kuwa kuongezeka kwa muunganisho wa kidijitali kunakwenda sambamba na ongezeko kubwa la uhalifu wa mtandaoni.
Mastaa Yanga wafunika AFCON
KATI ya nyota 25 kutoka Ligi Kuu Bara wanaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazoendelea nchini Morocco, wale wa Yanga wameonekana kuanza na namba nzuri wakiongozwa na…
Mkuu wa Jeshi Libya afariki kwa ajali ya ndege, wengine saba
Ndege binafsi iliyombeba Jenerali Muhammad Ali Ahmad al-Haddad, maofisa wengine wanne wa...
Mahubiri ya Krismas: Papa Leo alia na “madonda wazi” ya vita
Papa Leo XIV almelaani "magofu na majeraha ya wazi" yaliyoachwa na vita, akitaja hasa hali mbaya ya kibinadamu huko Gaza, katika mahubiri yake ya kwanza ya Krismasi mbele ya maelfu…