Skip to content
  • Wed. Feb 25th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake #NBCPL Mammbo mazito…!!! 25’ | #NBCPL Wafula Buke afarijika baada ya mwanawe kufungwa jela miaka 4: “Alihitaji sana kuenda jela”
LTV ENGLISH NEWS

Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended

February 25, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake

February 25, 2026 mjombazecoder
TZSPORTS

#NBCPL Mammbo mazito…!!!

February 25, 2026 mjombazecoder
TZSPORTS

25’ | #NBCPL

February 25, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Wafula Buke afarijika baada ya mwanawe kufungwa jela miaka 4: “Alihitaji sana kuenda jela”

February 25, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake
TUKO SWAHILI NEWS
Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake
#NBCPL Mammbo mazito…!!!
TZSPORTS
#NBCPL Mammbo mazito…!!!
25’ | #NBCPL
TZSPORTS
25’ | #NBCPL
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
LTV ENGLISH NEWS
Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake
TUKO SWAHILI NEWS
Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake
#NBCPL Mammbo mazito…!!!
TZSPORTS
#NBCPL Mammbo mazito…!!!
25’ | #NBCPL
TZSPORTS
25’ | #NBCPL
Uncategorized

Guinea yafungia kwa muda vyama vitatu vya kisiasa

August 23, 2025 mjombazecoder

Hii ikiwa ni kulingana na agizo lililoonekana na shirika la habari la AFP hii leo Jumamosi. Hatua hiyo inajiri baada ya vyama vikuu na mashirika ya kiraia katika taifa hilo…

Uncategorized

Rais wa Korea Kusini Lee Myung yuko Japan kwa ziara rasmi

August 23, 2025 mjombazecoder

Lee pia anatarajiwa kukutana na rais wa Marekani Donald Trump mjini Washington siku ya Jumatatu wiki Ijayo. Katika ziara yake ya kwanza rasmi Japan, Lee atakutana na Waziri Mkuu Shigeru…

Uncategorized

#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Watu wasiojulikana wamemshambulia kwa panga aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Bw. Yusto Mapande, wakati akiingia nyumbani kwake, ambapo katika tukio hilo, Mapande alijeruhiwa mkononi na mguuni…

Uncategorized

Uganda yawinda nusu fainali kwa kumenyana na Senegal

August 23, 2025 mjombazecoder

Uganda Cranes wanaingia katika mechi hiyo wakiwa na matumaini makubwa baada ya kuongoza Kundi C na kutinga hatua ya mtoano ya CHAN kwa mara ya kwanza katika historia yao. Uganda…

Uncategorized

#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya…

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakazi 3,020 wa Kijiji cha Kenyamonta na Vijiji jirani vya Kata ya Kenyamonta, wanatarajia kuanza kupata huduma ya afya baada ya kuanza ujenzi wa Zahanati ya Kenyamonta inayogharimu zaidi…

Uncategorized

Mwaendesha mashtaka ataka Joseph Kabila anyongwe

August 23, 2025 mjombazecoder

Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…

Uncategorized

Waendesha mashitaka Kongo wataka Kabila ahukumiwe kifo

August 23, 2025 mjombazecoder

Waendesha mashtaka nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamewasilisha maombi kutaka Joseph Kabila ahukumiwe adhabu ya kifo kwa makosa ya uhaini katika kesi inayomkabili mahakamani. Jenerali Lucien René Likulia aliyemwakilisha…

Uncategorized

#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G

August 23, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya, amewataka watendajiwa wa Dawati la Jinsia na watoto Mkoani Ruvuma kuendelea kujikita katika utoaji…

Uncategorized

🔴CHAN 2024: KENYA 1-1 MADAGASCAR

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴CHAN 2024: KENYA 1-1 MADAGASCAR

Uncategorized

🔴WATOTO WETU: 23, AGOSTI 2025

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴WATOTO WETU: 23, AGOSTI 2025

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 23, 2025

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: ……AGOSTI 23, 2025 -UMUHIMU WA STADI ZA MAISHA

Uncategorized

🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA

August 23, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI, AGOSTI 23, 2025 -MBIVU, MBICHI CCM WALIOPENYA, KUACHWA UBUNGE KUJULIKANA

Uncategorized

#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya

August 23, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO: Wanaowauzia waraibu dawa tiba zenye kibali maalum kama mbadala wa dawa za kulevya. Je, waadhibiwe kama wahalifu wengine wa biashara hiyo?

Uncategorized

Matangazo ya Mchana: 23.08.2025

August 23, 2025 mjombazecoder

23.08.202523 Agosti 2025 Shirika la tathimini ya chakula duniani IPC yatangaza uwepo wa baa la njaa Gaza. Waendesha mashitaka wa Kongo wataka Joseph Kabila ahukumiwe kifo kwa makosa ya uhaini.…

Uncategorized

Matangazo ya Jioni: 23.08.2025

August 23, 2025 mjombazecoder

23.08.202523 Agosti 2025 Watu 24 wauawa Gaza huku baa la njaa likihofiwa kuutanua zaidi mzozo wa kibinadamu. Rais wa Ukraine Volodymir Zelensky ameyataka mataifa ya Africa, Asia, Latin America, na…

Uncategorized

Ufaransa yasema Iran ifikie suluhu ya nyuklia haraka

August 22, 2025 mjombazecoder

Taarifa hiyo imekuja baada ya mazungumzo ya simu kati yake na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, wakishirikiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David…

Uncategorized

Zelensky: Urusi inaukwepa mkutano kati ya yangu na Putin

August 22, 2025 mjombazecoder

Zelensky pia ametoa wito kwa washirika wa Ukraine kuiwekea Urusi vikwazo vipya kama haitoonesha dhamira ya kweli ya kusitisha uvamizi wake Ukraine. Rais huyo wa Ukraine aliyekuwa akizungumza katika mkutano…

Uncategorized

Ujerumani yasema msaada zaidi unahitajika Ukanda wa Gaza

August 22, 2025 mjombazecoder

Hii ni baada ya ripoti ya tathmini ya Usalama wa upatikanaji wa Chakula, IPC, kutangaza baa la njaa katika ukanda huo. Radovan amesema ripoti hiyo inayoungwa mkono na Umoja wa…

Uncategorized

Ulaya na Iran kuendeleza mazungumzo ya nyuklia

August 22, 2025 mjombazecoder

Wanadiplomasia wa Iran wanatarajiwa kukutana na wenzao wa Uingereza, Ufaransa na Ujerumani kwamazungumzo ya mpango wa nyuklia wa Tehran, wakati mataifa hayo yakizingatia kurejesha vikwazo dhidi ya nchi hiyo. Waziri…

Uncategorized

Uingereza, Umoja wa Mataifa wailaumu Israel kwa njaa Gaza

August 22, 2025 mjombazecoder

Kauli hiyo ya Uingereza ilitolewa siku ya Ijumaa (Agosti 22) na Waziri wa Mambo ya Kigeni, David Lammy, ambaye alilaani kile alichokiita “uovu wa kimaadili na janga la kutengezwa na…

Uncategorized

Mapigano yazidi Kivu Kusini, juhudi za amani zikiendelea

August 22, 2025 mjombazecoder

Kuanzia Jumatatu hadi Jumatano, karibu watu wanane wamepoteza maisha katika mapigano yaliyotokea kwenye baadhi ya vijiji vya wilaya ya Mwenga, vinavyopakana na wilaya ya Uvira, hali iliyoongeza wasiwasi kwa wakaazi…

Uncategorized

Chanjo kutoka Afrika: Nyota njema yachomoza

August 22, 2025 mjombazecoder

Janga la COVID-19 limechochea harakati mpya barani Afrika za kujitegemea katika uzalishaji wa dawa na chanjo ili kupunguza utegemezi mkubwa wa uagizaji kutoka nje. Upungufu na usambazaji usio sawa wa…

Uncategorized

Rais wa zamani wa Sri Lanka akamatwa kwa rushwa

August 22, 2025 mjombazecoder

Taarifa kutoka kituo cha televisheni cha nchini humo, Ada Derana, zinasema Rais wa zamani wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe amekamatwa na Idara ya Uchunguzi wa Jinai (CID) kuhusiana na madai…

Uncategorized

Mvutano wa mipaka ya maji kati ya Kenya na Uganda watokota

August 22, 2025 mjombazecoder

Malalamiko yamezidi kuibuliwa na wavuvi ziwani humo juu ya unyanyasaji dhidi ya wavuvi wa Kenya unaofanywa na maafisa wa usalama wa Uganda. Takriban wiki tatu zilizopita, Kenya na Uganda zilisaini…

Uncategorized

Iran kujadili mpango wake wa nyuklia na Ulaya

August 22, 2025 mjombazecoder

Mataifa hayo matatu makubwa ya Ulaya awali yalitishia kuirejeshea Iran vikwazo ilivyowekewa na Umoja wa Mataifa, iwapo Jamhuri hiyo ya Kiislamu haitorejea tena katika meza ya mazungumzo kuhusu mpango wake…

Uncategorized

Katz: Tutawamaliza Hamas wasiporidhia masharti ya vita

August 22, 2025 mjombazecoder

Kupitia ujumbe aliouandika kwenye mtandao wa X, Katz alisema “milango ya jehanamu” itafunguliwa dhidi ya Hamas, ambao aliwaita wauaji, hadi watakapokubali masharti ya Israel ya kumaliza vita. Ameonya kuwa iwapo…

Uncategorized

Wanawake maveterani wa Kosovo bado hawathaminiwi, kwa nini?

August 22, 2025 mjombazecoder

Albina Haradinaj, mwanajeshi wa zamani kutoka Gjakova mwenye umri wa miaka 42. Ingawa hadhi yake ya veterani inamuwezesha kutambuliwa rasmi kama veterani wa vita pamoja na kupata mafao kama vile…

Uncategorized

Jeshi la Niger linadai kumuua kiongozi wa kundi la Boko Haram

August 22, 2025 mjombazecoder

Kwa mujibu wa shirika la habari la AFP, jeshi la Niger limetangaza siku ya Alhamisi jioni kwamba limemuua kiongozi wa kundi la wanajihadi la Boko Haram wiki iliyopita katika Bonde…

Uncategorized

Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin aachiliwa katika Kesi ya kuutusi utawala wa kifalme

August 22, 2025 mjombazecoder

Mahakama ya Bangkok imemuachilia huru bilionea aliyekuwa na utata na Waziri Mkuu wa zamani wa Thailand Thaksin Shinawatra kwa kosa la kuutusi utawala wa kifalme. Imechapishwa: 22/08/2025 – 07:58 Dakika…

Uncategorized

Cameroon: Watu nusu milioni wako hatarini kuachwa bila msaada wa chakula yaonya WFP

August 22, 2025 mjombazecoder

Watu nusu milioni nchini Cameroon wana hatari ya kuachwa bila msaada wa chakula katika wiki zijazo kutokana na uhaba wa fedha, kulingana na shirika la Imoja wa Mataifa la Mpango…

Uncategorized

Kampala yafafanua makubaliano yaliyofikiwa na Washington kuhusu wahamiaji kutumwa Uganda

August 22, 2025 mjombazecoder

Baada ya Rwanda, Eswatini na Sudan Kusini, ni zamu ya Kampala kufikia makubaliano kuhusu wahamiaji na serikali ya Marekani ya Donald Trump. Uganda, ambayo tayari inaongoza kwa kuwahifadhi wakimbizi barani…

Uncategorized

Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025

August 22, 2025 mjombazecoder

Msimu wa mvua unaendelea nchini Niger, na kama kila mwaka, nchi hiyo inapata mvua kwa wiki kadhaa, mara kwa mara ikiambatana na mafuriko. Ingawa inadumu hadi mxezi Oktoba, idadi rasmi…

Uncategorized

Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia

August 22, 2025 mjombazecoder

Kesi dhidi ya rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila, iliyoanza mwezi Julai 2025 mbele ya Mahakama Kuu ya Kijeshi mjini Kinshasa, inakaribia kumalizika. Joseph Kabila Kabange, ambaye aliongoza Jamhuri…

Uncategorized

DRC: François Beya, mshauri wa zamani wa Tshisekedi hatimaye ameachiliwa huru

August 22, 2025 mjombazecoder

Mahakama Kuu ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetoa uamuzi wake katika kesi inayomkabili François Beya. François Beya, aliyekuwa mshauri maalum wa masuala ya usalama wa Rais Félix…

Uncategorized

Senegal imetoa wito kwa Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya majaji wanne wa ICC

August 22, 2025 mjombazecoder

Senegal imejibu tangazo la Marekani la vikwazo vipya dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), ambayo inaituhumu kwa kuendesha tasisi hiyo “kisiasa.” Vikwazo hivi, vinavyolenga majaji wanne, majaji wawili,…

Uncategorized

Majaji nchini Ufaransa waagiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi Agathe Habyarimana

August 21, 2025 mjombazecoder

Majaji nchini Ufaransa, wamegiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi ya Agathe Habyarimana, mke wa aliyekuwa rais wa Rwanda Juvénal Habyarimana, anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994. Imechapishwa: 21/08/2025…

Uncategorized

Uganda yakubaliana na Washington kuwapokea wahamiaji kutoka Marekani

August 21, 2025 mjombazecoder

Uganda itaanza kuwapokea wahamiaji wasiokuwa na sifa ya kuishi nchini Marekani, hatua ambayo inaendeleza sera ya rais Donald Trump kuwaondoa wahamiaji haramu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:12Imehaririwa: 21/08/2025 – 16:36 Dakika…

Uncategorized

Nigeria yawafukuza raia wa kigeni 102 waliopatikana na makosa ya uhalifu

August 21, 2025 mjombazecoder

Serikali nchini Nigeria, imewafukuza nchini humo wageni 102 wakiwemo raia wa China 50, waliopatikana na makosa ya uhalifu wa mtandaoni na udanganyifu. Imechapishwa: 21/08/2025 – 16:04 Dakika 1 Wakati wa…

Uncategorized

DRC: Marekani yaomba mkutano wa dharura wa UNSC kushughulikia ukatili unaofanyiwa raia

August 21, 2025 mjombazecoder

Marekani imeitisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kushughulikia ukatili unaofanywa dhidi ya raia, wakiwemo waasi wa AFC/M23,…

Uncategorized

Sudan: Msafara wa magari ya misaada ya WFP washambuliwa Darfur

August 21, 2025 mjombazecoder

Msafara wa magari ya msaada wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umeshambuliwa siku ya Jumatano, Agosti 20, katika eneo la Darfur (magharibi mwa Sudan), msemaji wa shirika la…

Uncategorized

Polisi: Rais wa zamani wa Brazil Bolsonaro alikuwa akifikiria kutafuta hifadhi nchini Argentina

August 21, 2025 mjombazecoder

Polisi wanasema rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro aliandika barua ya kuomba hifadhi nchini Argentina huku uchunguzi kuhusu mapinduzi ya 2024 ukizidi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:50 Dakika 2 Wakati…

Uncategorized

Maeneo yaliyo chini ya udhibiti wa waasi kurudishwa chini ya himaya ya Serikali ya DRC

August 21, 2025 mjombazecoder

Rasimu ya makubaliano ya amani ya Kongo na M23 inalenga kurejesha udhibiti wa serikali katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi. Imechapishwa: 21/08/2025 – 06:32 Dakika 2 Wakati wa kusoma Na: RFI…

Uncategorized

Al-Shabaab yaripotiwa kunufaika na mzozo kati ya Somalia na Jubaland

August 21, 2025 mjombazecoder

Mapigano ya hivi karibuni nchini Somalia hasa katika eneo linalojitawala la Jubaland, yanatishia musatakabali wa eneo hilo, hali ambayo imesababisha makundi ya kijihadi kama lile la Al-Shaabab kujipenyeza na kuongeza…

Uncategorized

Israel yaanza hatua ya awali ya kushambulia mji wa Gaza

August 21, 2025 mjombazecoder

Israel imeingia katika hatua ya awali ya kushambulia mji wa Gaza siku ya Jumatano baada ya kuidhinisha mpango wa kuutwaa ambao ni pamoja na kuwaita askari 60,000 wa akiba kwa…

Uncategorized

Kenya yaiomba CAF kuwaruhusu mashabiki kuujaza uwanja wa Kasarani

August 21, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Kenya imeliandikia rasmi barua shirikisho la soka la Afrika CAF, liruhusu mashabiki wa Kenya kuujaza uwanja wa Kasarani, wakati wa mchezo wa robo fainali dhidi ya Madagascar, unaotarajiwa…

Uncategorized

Israel yaidhinisha mradi wa ujenzi wa makazi katika Ukingo wa Magharibi

August 21, 2025 mjombazecoder

Israel imeidhinisha mradi mkubwa wa makazi katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu na walowezi wa Kiyahudi, uamuzi ambao jumuiya ya kimataifa imeonya kuwa unatishia uhai wa taifa…

Uncategorized

Simulizi ya Kusisimua… MKATABA – 4

August 19, 2024 mjombazecoder

ILIPOISHIA IJUMAA “Vipi kwani?” “Yule matawi ya juu sana, nimeshangaa kuona mnafahamiana tena mna ukaribu.” “Kawaida tu, yupo lakini?” “Kwani yeye amekuelekeza lini hapa” “Muda kidogo, ni kama miezi minne…

Uncategorized

Simulizi ya Kusisimua…. MKATABA – 3

August 18, 2024 mjombazecoder

ILIPOISHIA JUMATANO “Sina uhakika na hili jambo.” “Usinitaje, mimi nimekuambia tu kama shoga yangu. Sisi wote ni wazazi.” “Sawa.” “Lakini jambo lingine linalowashtua zaidi watu ni tabia yake ya kujipenda…

Uncategorized

OPERESHENI DAKABU

August 15, 2024 mjombazecoder

MUITO wa simu iliyokuwa mezani ulimgutusha pale kitandani alipokuwa amelala, lakini aliipuuza. Simu kwa wakati ule haikuwa na maana kabisa kwake. Msichana mrembo Upendo, alikuwa kando yake, akionyesha kumhitaji sana…

Posts pagination

1 … 629 630 631

Recent Posts

  • Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended
  • Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake
  • #NBCPL Mammbo mazito…!!!
  • 25’ | #NBCPL
  • Wafula Buke afarijika baada ya mwanawe kufungwa jela miaka 4: “Alihitaji sana kuenda jela”

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

LTV ENGLISH NEWS

Tanzania eyes expanded overseas study slots under Samia Scholarship Extended

February 25, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ferdinand Omanyala aanika jumba lake la kifahari mitandaoni, mashabiki wampongeza kwa bidii yake

February 25, 2026 mjombazecoder
TZSPORTS

#NBCPL Mammbo mazito…!!!

February 25, 2026 mjombazecoder
TZSPORTS

25’ | #NBCPL

February 25, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS