Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza wakandarasi nchini kulipa watumishi wao kwa mujibu wa sheria za nchi na si kuwapunja
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ameagiza wakandarasi nchini kulipa watumishi wao kwa mujibu wa sheria za nchi na si kuwapunja. Waziri huyo ametoa maelekezo hayo wakati akikagua maendeleo ya barabara…
Pingamizi madai wakili kutokuwa na leseni yazua mvutano, Mahakama kutoa uamuzi kesho
Hoja ya madai ya wakili aliyesaini hati za maombi ya yaliyofunguliwa na wagombea 17 wa ACT...
Huyu ndio Katanga mwenye moyo baridi…🥹
Huyu ndio Katanga mwenye moyo baridi...🥹 #ZoraSeries (Feed generated with FetchRSS)
Baba Mkenya wa watoto 3 afariki dunia huko Dubai miezi 3 tu baada ya kuhamia taifa hilo kusaka ajira
Familia moja Kiambu inamuomboleza Kepha Ngugi, mume mwenye bidii na baba wa watoto watatu aliyeaga dunia huko Dubai miezi mitatu tu baada ya kusafiri kutafuta kazi.
Sh17 bilioni ‘zitakavyokata kiu’ ya maji Chamwino, kamati yapongeza
Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma imepongeza...
Kesi ya ‘Dk Manguruwe’ yapewa hakimu mwingine, kuendelea kesho
Kesi ya kuendesha biashara ya upatu inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International...
Maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu: Maandamano kufanyika katika miji 1,400, waandishi habari 7,700 wanaakisi tukio hilo
Sherehe na maandamano ya kuadhimisha miaka 47 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yatafanyika katika miji zaidi ya 1,400 nchini kote, huku waandishi wa habari wa ndani na…
Milio mikali ya risasi yasikika karibu na gereza la Conakry, mji mkuu wa Guinea
Duru za habari zimearifu kuwa ulinzi mkali umeimarishwa baada ya milio mikali ya risasi kusikika mapema leo karibu na gereza kuu katika mji mkuu wa Guinea, Conakry.
Kamanda wa ngazi ya juu wa al Shabaab auawa katika oparesheni ya usalama Somalia
Idara ya Intelijinsia na Usalama wa Taifa ya Somalia (NISA) leo Jumanne imetangaza kuuawa kiongozi wa ngazi ya juu wa wanamgambo wa kundi la al- Shabaab katika oparesheni ya usalama.
Watatu wa familia moja washikiliwa kwa tuhuma za mauaji
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya linawashikilia watu watatu wa familia moja, Solomon Mwambyale na...
Shauri kupinga Tume ya Jaji Chande kusikilizwa Februari 26
Wakati Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi...
Aga Khan yapambana na ombwe la madaktari bingwa wa watoto nchini
Tanzania imepiga hatua kubwa katika kupunguza vifo vya kina mama na mtoto katika kipindi cha...
A call for all Tanzanians to register for National Identification system
DAR ES SALAAM: Minister for Home Affairs, Patrobas Katambi, has urged citizens to register in the National Identification Authority (NIDA) system in order to fully benefit from various services provided…
Tanzania’s sky-high leap in mining impresses Burkinafaso envoys
DODOMA: Tanzania has reinforced its position as a hub of mining expertise in Africa by hosting a technical delegation from Burkina Faso seeking to learn best practices in sector operations.…
Dk Mwigulu kuzindua miradi ya utalii kesho
PWANI: Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba anatarajiwa kuzindua miradi mikubwa ya kuendeleza utalii Kusini kesho. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk Hassan Abbasi leo Februari 9, 2026 amekagua…
Madiwani Rombo wataka kondomu ziongezwe kukabili maambukizi ya Ukimwi
Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, wamesema licha ya jitihada...
Larijani akutana na Sultani wa Oman, mazungumzo baina ya wawili yaendelea kwa saa tatu
Akiendelea na mashauriano yake ya kikanda, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Muscat mapema leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu…
Ujenzi Barabara ya Mandela usigeuke kero zaidi ya foleni
Mradi huo wa ujenzi wa Barabara ya Mandela ni miongoni mwa miradi mikubwa na ya kimkakati yenye...
Wafanyabiashara Soko la Kumbilamoto Vingunguti wagoma
Wafanyabiashara katika soko la nyama choma Vingunguti, maarufu Soko la Kumbilamoto wameanza...
Umoja wa Afrika watoa wito wa kusitishwa vita nchini DRC
Rais wa Angola na wawakilishi kadhaa wa Umoja wa Afrika wametoa wito wa kusitishwa mapigano nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mkutano na Rais Felix Tshisekedi.
Mapato Soko la Kariakoo yasimamiwe kwa uwazi
Ukarabati wa Soko Kuu la Kariakoo kwa gharama ya Sh28 bilioni ni ushahidi wa dhamira ya...
Mhandisi Masauni amjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu Pinda
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amemtembelea na kumjulia hali, Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Peter Pinda nyumbani kwake Dodoma, leo Februari 10, 2026. Mhandisi…
Prisons hali tete, Coastal yafanya kweli
Wakati Coastal Union ikifufuka Ligi Kuu Bara, Tanzania Prisons hali imezidi kuwa mbaya baada ya kukosa ushindi kwa mchezo wa nane mfululizo na kubaki kwenye presha ya kurudi Championship msimu…
Watoto 70,000 huzaliwa kila mwaka Temeke
DAR ES SALAAM: HALMASHAURI ya Wilaya ya Temeke iliyopo jijini Dar es Salaam inakabiliwa na changamoto ya ongezeko kubwa la watoto kutokana na kasi ya wajawazito kujifungua ambapo kwa mwaka…
Mo Dewji aibua hoja mabadiliko ya mfumo Simba
Kuibuka kwa Dewji na kuhoji hatua ya mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa Simba kumezua tafsiri...
Tanzania notes success in management of inputs,data systems
NAIROBI: THE Deputy Minister for Agriculture, David Silinde has represented Tanzania at the Private Sector Engagement Summit on Sustainable Food Trade and Investment in Africa, held in Nairobi, Kenya. The…
Mtwara Port reinforces status a major cargo handler
MTWARA: Mtwara Port has reinforced its position as a major gateway for cargo after an MV ANA OCEAN from China berthed carrying a large shipment of buses, heavy trucks, trailers,…
Minister sees progress in Handeni Hospital upgrading
HANDENI: The Deputy Minister in the Prime Minister’s Office for Regional Administration and Local Government (PMO-RALG), Reuben Kwagwila, has inspected the progress of the construction of the Intensive Care Unit…
TSN, VIORY kushirikiana kukabili upotoshaji taarifa
KAMPUNI ya Magazeti ya Serikali (TSN) imekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa Mtandao wa Habari wa Viory Video Network wa Abu Dhabi, Dubai, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano katika…
Reuters: Kuna kambi ya mafunzo ya siri ya wapiganaji wa RSF nchini Ethiopia
Ripoti ya shirika la habari la Reuters, iliyotokana na picha za satalaiti na ushuhuda rasmi, imefichua kuwepo "kambi ya siri" nchini Ethiopia kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa maelfu ya…
Wanawake kupata mafunzo ya uwekezaji Dar
DAR ES SALAAM: ZAIDI ya vikundi vya wanawake mia moja kutoka Mkoa wa Dar es salaam wanaratajiwa kupata mafunzo ya uwezeshwaji kiuchumi ili kuongeza uelewa na ubunifu. Hayo yamesemwa na…
Serikali yataka tafiti zenye kusaidia maendeleo ya uchumi wa Taifa
Serikali imewataka wahitimu wa masomo ya kifedha kuwekeza nguvu zao zaidi katika kufanya tafiti...
TSN, Viory Network in joint bid to fight digital misinformation
DAR ES SALAAM: The Tanzania Standard Newspapers (TSN) has held discussions with a delegation from Viory Video Network, based in Abu Dhabi, Dubai, aimed at strengthening cooperation in the fight…
Lowassa anavyokumbukwa kwa ustahimilivu, uwajibikaji
Miaka miwili imetimia tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa alipofariki dunia, akiacha...
TELS amplifiers women’s role in attaining Vision 2050 goals
DAR ES SALAAM: BUSINESS leaders, development partners, and women entrepreneurs convened in Dar es Salaam for the inaugural Think Equal, Lead Smart (TELS) knowledge session, a strategic collaboration between The…
Wazalishaji wadogo Pwani waomba unafuu kujisajili ‘Made in Tanzania’
Wazalishaji wadogo mkoani Pwani wameunga mkono mpango wa usajili wa bidhaa chini ya nembo ya...
Serikali yaibua upya sakata la Musukuma, mwekezaji
Tukio hilo liliibua maswali kuhusu uhalali wa umiliki wa ardhi, taratibu za uwekezaji na...
Guinea: Milio ya risasi imesikika katika gereza kuu la Kaloum
Milio ya risasi imesikika asubuhi ya leo katika Gereza Kuu la Kaloum, kituo cha utawala cha Conakry. Kulingana na mashahidi waliowasiliana na RFI, risasi hizo zilianza kuskika saa 9:00 usiku…
Kusimama kidete Somalia dhidi ya mpango hatari wa Wazayuni huko Somaliland
Somalia imeuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuwahamisha kwa lazima wa Wapalestina na kuwapeleka Somaliland ambalo limejitangazia uhuru.
Upelelezi kesi wanaodaiwa kuiba The Voice Kinyerezi waiva
Upelelezi katika kesi ya unyang'anyi wa kutumia silaha na kisha kuiba Klabu ya The Voice Tz...
Herma Jepchoge: Mwanamke wa miaka 27 kutoka Nandi atoweka miezi 3 baada ya kuhamia Oma
Mwanamke Mkenya kwa jina Herma Jepchoge, 27 ametoweka nchini Oman baada ya ziara tata katika benki. Familia yake inatafuta majibu katikati ya ukimya na hofu.
‘NIDA inaondoa vikwazo huduma za msingi’
DAR ES SALAAM: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amewahimiza wananchi kujisajili katika mfumo wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili waweze kunufaika kikamilifu na huduma…
Emmanuel Macron: ‘Mapinduzi’ ya viwanda ya Ulaya yanahitajika ili kushindana na Marekani na China
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anabaini kwamba Umoja wa Ulaya lazima “ukabiliane na utawala wa dola” na kuanzisha “upendeleo wa Ulaya” katika sekta kadhaa, ikiwa ni pamoja na teknolojia za…
RC calls on UMIKIDO to promote creative digital content
DODOMA Regional Commissioner Rosemary Senyamule has urged the Union of Online Media Practitioners of Dodoma Region (UMIKIDO) to serve as a catalyst for strengthening communication between the Government and citizens…
Tanzania sees challenges of high birthrate in Temeke district
DAR ES SALAAM: THE Temeke District Council in Dar es Salaam is facing a major challenge due to a rapid increase in the number of children resulting from high birth…
Tanzania cherishes efforts to reduce greenhouse gas emissions
DAR ES SALAAM: THE government has recognized the efforts of innovators developing materials and technologies aimed at reducing greenhouse gas emissions from fossil fuel-powered vehicles, permanent secretary in the office…
Elimu kikwazo walio pembezoni kuwekeza soko la hisa
Wakati Watanzania wakianza kuchangamkia uwekezaji katika masoko ya hisa na hatifungani, Benki...