Vladimir Putin kukutana na rais wa Tanzania, ambaye yuko ziarani nchini Urusi
Rais wa Urusi Vladimir Putin atakutana leo na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ambaye yuko ziarani nchini Moscow. Mkutano huo utafanyika Kremlin. Imechapishwa: 03/06/2026 – 07:13Imehaririwa: 03/06/2026 – 07:14…
Sheryl Ondari: Baba Asimulia Uchungu wa Kutambua Mwili wa Bintiye Aliyekufa kwa Mkasa wa Utumishi
Moto katika shule ya Utumishi Academy uligharimu maisha ya wanafunzi 16, na kuacha familia katika majonzi. Baba mmoja alisimulia jinsi alivyogundua mwili wa bintiye.
Rais Mteule wa Benin aanza tena mazungumzo na majirani zake
Baada ya miaka kadhaa ya mvutano na majirani zake wa kaskazini, Rais mteule wa Benin Romuald Wadagni amefanya ziara nchini Niger na Burkina Faso siku ya Jumanne, Juni 2, ambapo…
Mapendekezo 3 ya kodi yanayozua utata miongoni mwa Wakenya
"Ukataliwe Muswada wa Fedha wa mwaka 2026/27 katika hali yake ya sasa kwa sababu unaelekea kuanzisha kwa njia ya kificho mikataba ya upangishaji ambayo itawaathiri kwa kiasi kikubwa wakenya wakipato…
Rafiki ya Gachagua Kirinyaga akiri Ruto si mteremko, aonya kuhusu mgawanyiko katika upinzani
Njeri Maina awaonya wapinzani wasidharau ujuzi wa Ruto katika kampeni kabla ya uchaguzi wa 2027, akisisitiza hitaji la umoja dhidi ya nguvu zake kali.
Ebola: WHO yapunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya wagonjwa wanaoshukiwa nchini DRC na Uganda
Marekebisho haya ya takwimu hayamaanishi kwamba mlipuko wa virusi vya Ebola umepungua. Ni matokeo tu ya uelewa bora wa hali ya mlipuko huo, kutokana na kuwasili kwa vipimo na vitendanishi…
IRGC: Tumejiandaa vya kutosha kwa uchokozi wa aina zote wa adui
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa vikosi vyake vimejiandaa vyema kuliko hapo awali na viko tayari kikamilifu kwa dharura yoyote ya siku zijazo, likisisitiza kwamba kurudi…
Yemen yatishia kutoa jibu la pande zote kwa ongezeko lolote la mashambulizi ya Israel nchini Lebanon
Harakati ya mapambano ya Ansarullah nchini Yemen imetangaza kuwa vikosi vya jeshi la Israel vilivyotumwa Lebanon vitaendelea kuwa katika hatari ya mashambulizi yatakayofanywa na harakati hiyo kuonyesha mshikamano na Lebanon…
Iran yazindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani Asia Magharibi
Iran imezindua kituo kikubwa zaidi cha matibabu ya saratani katika eneo la Asia Magharibi, ambacho kinachukua nafasi ya kituo cha zamani, kwa hospitali mpya yenye ghorofa 18, vitanda zaidi ya…
Shirikisho la Soka la Norway laiomba FIFA kuchunguza tuzo ya amani ya Trump
Shirikisho la Soka la Norway (NFF) lilisema jana Jumanne kwamba limeiomba kamati ya maadili ya FIFA kuchunguza tuzo ya amani iliyotolewa na baraza linalosimamia soka duniani kwa Rais wa Marekani,…
Jumatano, tarehe 3 Juni, 2026
Leo ni Jumatano tarehe 17 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 3 Juni 2026.
Macron na Kagame wazindua makumbusho ya mauaji ya halaiki ya Watutsi
Rais wa Rwanda Paul Kagame, akiwa ziarani nchini Ufaransa, na mwenzake wa Ufaransa Emmanuel Macron wamezindua mnara wa pande mbili kwenye kingo za Mto Seine jijini Paris Jumanne alasiri, Juni…
Tanzania inatafuta nini Urusi?
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia nje ya Bara la Afrika, tangu vurugu za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, lakini ni ziara ya pili kufanywa na Rais wa…
Zimbabwe yasukumiza mswada ambao huenda ukazidisha muda wa mnangagwa madarakani hadi 2030
Serikali ya Zimbabwe inapendekeza mabadiliko ya kikatiba ambayo yanaweza kuongeza muda wa Rais Emmerson Mnangagwa ofisini hadi 2030. Hatua hiyo imezua mjadala.
Marekani yatangaza vikwazo dhidi ya Makamanda wa makundi ya waasi DRC
Marekani imetangaza vikwazo kwa Makamanda wa makundi yenye silaha inayoyatuhumu kwa kuwa nyuma ya mapigano yanayoendelea mashariki ya Kongo licha ya juhudi za upatanishi wa Washington. Imechapishwa: 03/06/2026 – 05:48…
Defao: Jamaa aliyebomolewa kasri Marurui arejea kwa kishindo na kumwaga rundo la mali yake
MCA wa zamani Jared Okoth Okode, almaarufu Defao, ameonyesha jumba lake jipya la kifahari na rundo la magari ya kifahari wiki chache baada ya kubomolewa nyumba.
Marekani na Iran zaanzisha mashambulizi mapya huku mazungumzo ya kusitisha mapigano yakikwama
Mashambulizi ya hivi karibuni yanatokea baada ya mazungumzo kuhusu makubaliano ya kukomesha vita vyao vya miezi kadhaa kushindwa kuendelea mwishoni mwa juma.
AFCON U-17: Tanzania yafa kiume fainali, yaacha alama Afrika
Ndoto ya Tanzania kutwaa taji lake la kwanza la Afrika katika soka imeishia mikononi mwa Senegal baada ya Serengeti Boys kufungwa kwa penati 4-2 kufuatia sare ya 1-1 katika fainali…
Arsenal yaweka wachezaji wake 4 sokoni baada ya kupoteza Ligi ya Mabingwa dhidi ya PSG
Arsenal inapanga kuimarisha kikosi chake msimu ujao baada ya ushindi wao wa Ligi Kuu, ikiripotiwa kuwaweka sokoni wachezaji wanne, akiwemo Gabriel Jesus.
Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz
Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kwamba vikosi vyake vimetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya meli ya adui, makao makuu ya Kikosi cha Tano…
Serengeti Boys yazoa tuzo AFCON ikipoteza fainali kwa Senegal
Matumaini ya Serengeti Boys kutwaa ubingwa wa AFCON U17 yamezimwa katika mchezo wa fainali jana...
WARIDI WA BBC: Akiwa na miaka 12 alitafutiwa mume wa miaka 50, leo ameokoa mabinti 300
Sikuelewa mengi kuhusu ndoa, lakini nilielewa jambo moja maisha yangu yalikuwa yanabadilishwa bila ridhaa yangu.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 3, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
#AFCONU17Final Kutoka Tabata, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam pamoja na baadhiya mashabiki nao wana la kusema baada ya Tanza…
#AFCONU17Final Kutoka Tabata, Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam pamoja na baadhiya mashabiki nao wana la kusema baada ya Tanzania kupoteza mchezo wa fainali kwa mikwaju ya penati. FT:…
#AFCONU17Final Maoni ya mashabiki waliokuwa wakitazama fainali kutokea eneo la Mburahati Dar es Salaam
#AFCONU17Final Maoni ya mashabiki waliokuwa wakitazama fainali kutokea eneo la Mburahati Dar es Salaam... FT: Senegal 1-1 Tanzania (Pen: 4-2) Burudani zinaendelea LIVE #AzamSports2HD #YouthFootball #SerengetiBoys #Tanzania #Senegal #SenegalTanzania #LinakujaNyumbani…
#AFCONU17Final Maoni ya mashabiki waliokuwa wakitazama fainali kutokea eneo la Temeke Mwembeyanga
#AFCONU17Final Maoni ya mashabiki waliokuwa wakitazama fainali kutokea eneo la Temeke Mwembeyanga. FT: Senegal 1-1 Tanzania (Pen: 4-2) Burudani zinaendelea LIVE #AzamSports2HD #YouthFootball #SerengetiBoys #Tanzania #Senegal #SenegalTanzania #LinakujaNyumbani (Feed generated…
#AFCONU17Final Naaaa Mchezaji Bora wa Mmashindano ni Issa Mussa Chole kutoka Tanzania
#AFCONU17Final Naaaa Mchezaji Bora wa Mmashindano ni Issa Mussa Chole kutoka Tanzania. FT: Senegal 1-1 Tanzania (Pen: 4-2) Burudani zinaendelea LIVE #AzamSports2HD #YouthFootball #SerengetiBoys #Tanzania #Senegal #SenegalTanzania #LinakujaNyumbani (Feed generated…
#AFCONU17Final Mfungaji bora wa mashindano ni Dismas Athanas wa Tanzania aliyemaliza na magoli matatu
#AFCONU17Final Mfungaji bora wa mashindano ni Dismas Athanas wa Tanzania aliyemaliza na magoli matatu. FT: Senegal 1-1 Tanzania (Pen: 4-2) Burudani zinaendelea LIVE #AzamSports2HD #YouthFootball #SerengetiBoys #Tanzania #Senegal #SenegalTanzania #LinakujaNyumbani…
Hii hapa bei mpya ya mafuta, dizeli yapanda
Bei hizo zimetolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) ambazo zitaanza...
RC Babu ataka uzalishaji wa kahawa uendane na upatikanaji wa masoko
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amewataka wadau wa kahawa mkoani humo kuhakikisha...
CAF U17 AFRICA CUP OF NATIONS 2026 Fainali 30’ Senegal 🇸🇳 0️⃣-1️⃣🇹🇿 Tanzania ⚽️Hamisi Chenga @caf_online @serengetiboystz
CAF U17 AFRICA CUP OF NATIONS 2026 Fainali 30’ Senegal 🇸🇳 0️⃣-1️⃣🇹🇿 Tanzania ⚽️Hamisi Chenga @caf_online @serengetiboystz (Feed generated with FetchRSS)
Samia’s Russia visit set to unlock new economic opportunities for Tanzania
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan’s visit to Russia comes at a time when Tanzania is intensifying efforts to advance its long-term development agenda, anchored on industrialization, agricultural transformation,…
RC Iringa azindua wiki ya utafiti na bunifu
IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amefungua rasmi Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii iliyoandaliwa na Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE), akisisitiza umuhimu wa…
Katibu wa NEC Itikadi uenezi na mafunzo CCM Taifa Kenani Kihongosi ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa mradi wa shule ya Seko…
Katibu wa NEC Itikadi uenezi na mafunzo CCM Taifa Kenani Kihongosi ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa mradi wa shule ya Sekondari Beselo iliyopo Babati Vijijini ambayo imetajwa kuwa itasaidia wanafunzi…
Wizara ya Kilimo, taasisi zashiriki maonesho Siku ya Mazingira Duniani
DODOMA: Wizara ya Kilimo pamoja na taasisi zake zimeendelea kushiriki Maonesho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyoanza jijini Dodoma mnamo Juni Mosi na kutarajiwa kufungwa rasmi Juni 6, mwaka huu.…
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Mwalimu kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Ummy Mwalimu kuwa Mshauri wa Rais Masuala ya Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto. Ummy ambaye amewahi kuwa mbunge na waziri katika wizara mbalimbali ikiwamo…
Rais Samia amteua Ummy Mwalimu
Rais Samia Suluhu Hassan, amemteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri wa Rais katika masuala ya afya...
Wizara ya Fedha yaja na vipaumbele vinane ikionya kuwepo na vihatarishi
Wizara ya Fedha imeweka wazi vipaumbele vinane vitakavyoongoza utekelezaji wa majukumu yake...
Dili iliyokufa – 8
ILIPOISHIA Zainab akatabasamu. “Nitafurahi sana” “Nataka mke wangu upate afya nzuri uweze kumlea mtoto wetu aliye tumboni mwako” “Usijisahau mume wangu. Ukumbuke kuwa umeacha mke wako akiwa na kitoto chako…
Ledama afungua siri: Mlango wa ajabu wenye teknolojia ya yuu kutoka Türkiye waduwaza Wakenya
Seneta Ledama Olekina alionesha mlango wa kisasa wa pivot kutoka Türkiye, wenye teknolojia ya kuduwaza. Maoni ya umma yalitofautiana, yakionesha sifa na wasiwasi pia
Healing Through Harmony: How Yoga reconnects humanity in an age of healthy ageing
DAR ES SALAAM: In a world increasingly defined by stress, distraction, loneliness, and division, yoga offers a rare invitation to reconnect with ourselves and with one another. As humanity navigates…
TRA reminds Tanzania’s taxpayers to submit tax returns before June 20, 2026
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Revenue Authority (TRA) has reminded taxpayers to submit their tax returns on time as the 2025/2026 financial year approaches its end. Speaking in Dar es…
Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Nairobi kupinga kituo cha Ebola cha Marekani nchini Kenya
Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano leo mjini Nairobi wakipinga makubaliiano yaliyofikiwa kati ya serikali ya nchi hiyo na Marekani wa kuanzisha nchini kenya kituo cha kuhifadhi Wamarekani…