🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 25, 2025
Simulizi ya jasusi wa Marekani ambaye ndege yake ilidunguliwa juu ya anga ya Urusi
Tarehe 19 Agosti 1960, miaka 65 iliyopita wiki hii, mahakama moja mjini Moscow ilimkabidhi rubani wa Marekani, Francis Gary Powers, kifungo cha miaka 10 baada ya kukamatwa na vikosi vya…
25.08.2025 Matangazo ya Jioni
Israel yatuhumiwa kuwalenga wanahabari huko Gaza+++Warohingya wataka wahakikishiwe usalama kurudi kwao+++Hali ya kibinadamu Sudan yazorota kufuatia mashambulizi ya RSF
Zanzibar – Kisiwa maarufu cha viungo duniani
25.08.202525 Agosti 2025 Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo…
Utamaduni wa jamii ya Wasuba nchini Kenya
25.08.202525 Agosti 2025 Jamii ya Wasuba nchini Kenya ni mojawapo ya makabila ya asili yaliyo na historia ya kipekee na tamaduni tajiri, ingawa kwa sasa jamii hiyo inakabiliwa na changamoto…
25.08.2025 Matangazo ya Mchana
SK2 / S02S25.08.202525 Agosti 2025 Wanahabari kadhaa wauawa Gaza kufuatia mashambulizi ya Israel+++Jeshi la Urusi ladai kuteka kijiji kingine cha Ukraine kwenye jimbo la Dnipropetrovsk+++Tanzania- Dirisha la fomu za ubunge…
25.08.2025 Matangazo ya Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Katika matangazo yetu ya asubuhi hivi leo utasikia makala zetu za Mbiu ya Mnyonge, Mbio ya Munyonge, Mtu na Mazingira, Vijana Tugutuke na Jukwaa la manufaa. Sikiliza…
25.08.2025 Taarifa ya Habari Asubuhi
DIRA.BZ25.08.202525 Agosti 2025 Mashambulizi ya Israel kwenye mji mkuu wa Yemen, Sanaa yauwa watu sita // Rais Zelensky wa Ukraine atoa wito wa mkutano na Rais Putin wa Urusi huku…
Utapiamlo watishia maisha ya watoto 132,000 Gaza-Ripoti
Ripoti ya IPC,shirika linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa linalohusika na ufuatiliaji wa usalama wa chakula, linakadiria kuwa “utapiamlo unatishia maisha ya watoto 132,000.
Vita vya Israel-Iran vyamfukuzisha kazi Mkuu wa Idara ya Ujasusi Marekani
Luteni Jenerali Jeffery Kruse, ametimuliwa ikiwa ni wiki chache tu baada ya Ikulu ya White House kukosoa ripoti kuhusu athari za mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran ya Juni 22,…