NIKWAMBIE MAMA: Tukapige kura kwa amani
Leo ndio siku ile ambayo Watanzania tulikuwa tukiisubiri kwa hamu kubwa. Siku yetu ya kushiriki...
Mwandishi Wetu kutoka Mbeya, Kakuru Msimu amepita katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya na anaripoti kuwa hali ya usalama ni…
Mwandishi Wetu kutoka Mbeya, Kakuru Msimu amepita katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mbeya na anaripoti kuwa hali ya usalama ni shwari na wananchi wanaendelea na shughuli zao na hapa…
#UchaguziMkuu2025 | Zoezi la kupiga kura linaendelea hapa katika kituo cha Buyuni, kilichopo Changanyikeni, Wilaya ya Ubungo, ji…
#UchaguziMkuu2025 | Zoezi la kupiga kura linaendelea hapa katika kituo cha Buyuni, kilichopo Changanyikeni, Wilaya ya Ubungo, jijini Dar es Salaam. Zoezi hilo limeanza mapema saa 1.00 asubuhi kwa amani…
Watu hawa wasituchafue na kutuchafulia taifa letu
Jeshi letu la Polisi ni miongoni mwa vyombo muhimu vya kiutendaji vinavyohusika moja kwa moja...
#UchaguziMkuu2025 |Mwandishi wetu Jaafar Mponda yupo eneo la Buguruni Dar es Salaam na hii ndio hali halisi kama anavyoripoti
#UchaguziMkuu2025 |Mwandishi wetu Jaafar Mponda yupo eneo la Buguruni Dar es Salaam na hii ndio hali halisi kama anavyoripoti. #AzamTVUpdates
UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ….OKTOBA 29, 2025
UCHAGUZI MKUU WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI ....OKTOBA 29, 2025
Fyatu afyatuliwa kupenda ‘kupendwa’ na kusifiwa!
Kuna mafyatu wana ugonjwa wa ukosefu wa ubunifu kiasi cha kugeuzwa wadudu. Mafyatu, sorry...
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala akieleza hali ilivyo wakati zoezi la upigaji kura limeanza asu…
#UchaguziMkuu2025 | Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala akieleza hali ilivyo wakati zoezi la upigaji kura limeanza asubuhi hii, amehamasisha watu kujitokeza kupiga kura na kusisitiza kuwa hali…
Raia wa Tanzania wanashiriki uchaguzi mkuu
Mamilioni ya Watanzania wanapiga kura hivi leo, kuwachagua madiwani, wabunge na rais, kaika uchaguzi ambao rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kushinda, kufuatia wapinzani wake wakuu kufungwa na kuzuiwa kushiriki. Imechapishwa:…
Ubalozi wa Marekani nchini Mali umewataka raia wake kuondoka
Ubalozi wa Marekani nchini Mali umewataka raia wa Marekani kuondoka mara moja wakati huu mashambulio kutoka kwa wanajihadi wanaopambana na serikali inayoongozwa na jeshi la nchi hiyo yakiongezeka kila siku…
Tukumbuke kuwa kuna maisha baada ya upigaji kura
Leo ni siku ambayo Watanzania wenye sifa na waliojiandikisha kwenye Daftari la Mpigakura...
#HABARI: Kampuni ya ndege ya Mombasa Air Safaris, imethibitisha kuwa raia kumi wa kigeni kutoka Hungary na Ujerumani na Mkenya m…
#HABARI: Kampuni ya ndege ya Mombasa Air Safaris, imethibitisha kuwa raia kumi wa kigeni kutoka Hungary na Ujerumani na Mkenya mmoja ambaye alikuwa Rubani, wamefariki dunia katika ajali ya ndege…
DRC : Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu
Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na mawili yasiyokuwa ya kiserikali na yale ya kutoa misaada ya…
Fuatilia matangazo mbashara ya uchaguzi muda huu kupitia chaneli namba 108 #UTV, inayopatikana pia kwenye #AzamTVMaxApp, pia un…
Fuatilia matangazo mbashara ya uchaguzi muda huu kupitia chaneli namba 108 #UTV, inayopatikana pia kwenye #AzamTVMaxApp, pia unaweza kutazama matangazo haya kwenye chaneli yetu ya #UTVTanzania Tuandikie maoni yako nasi…
🔴#MAGAZETI: SIKU YA UAMUZI / CAMARA AIINGIZA SIMBA SOKONI — 29 OKTOBA 2025
🔴#MAGAZETI: SIKU YA UAMUZI / CAMARA AIINGIZA SIMBA SOKONI -- 29 OKTOBA 2025
MATANGAZO MBASHARA UCHAGUZI MKUU 2025 – 29/10/2025
https://www.youtube.com/live/7ZDVx3gNkvU?si=l0k0u0OFYGtr_roe #AzamTV #UTV108 #AzamTVMaxApp
Watanzania leo wanamchagua Rais, Wabunge na madiwani
Watanzania waliotimiza masharti ya kupiga kuraa leo wanaelekea katika vituo vya kupigia kuura kwa ajili ya kumchagua Rais, Wabunge na madiwani katika uchaguzi uliosusiwa na chaama kikuu cha upinzani cha…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 29, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 29, 2025
KONA YA MALOTO: Ni siku nyingine ya safari ya kulijenga taifa bora
Ujenzi wa taifa bora ni mchakato endelevu. Mwafaka wa nchi kikatiba ni kufanya uchaguzi kila...
#KIPIMAJOTO: Hamasa ya kuliombea Taifa Amani
#KIPIMAJOTO: Hamasa ya kuliombea Taifa Amani. Je, iendelezwe hata baada ya Uchaguzi Mkuu?
Jumatano, tarehe 29 Oktoba, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 07 Jamadil Awwal 1447 Hijria sawa na Oktoba 29 mwaka 2025.
Upeo mpya katika mahusiano ya kibiashara wa Iran na Pakistan; biashara ya kubadilishana, hatua mpya ya kuendeleza ushirikiano wa kiuchumi
Matukio chanya yametokea katika wiki za hivi karibuni katika suala la kuongeza uhusiano wa kibiashara na mawasiliano kati ya Iran na Pakistan.
#HABARI: Baadhi ya Wananchi jijini Dar es Salaam, wamewahiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la upigaji wa …
#HABARI: Baadhi ya Wananchi jijini Dar es Salaam, wamewahiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki katika zoezi la upigaji wa kura kwani lina faida kubwa kwa taifa kwa kutumia demokrasia kuchagua…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 28, OKTOBA 2025
#HABARI: Wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha wameweka msimamo wao juu ya baadhi ya watu wanaohamasisha watu kuandamana, huku…
#HABARI: Wafugaji wilayani Monduli mkoani Arusha wameweka msimamo wao juu ya baadhi ya watu wanaohamasisha watu kuandamana, huku viongozi wakiendelea kutoa tahadhari hasa kwa vijana. Akiwasilisha msimamo wa wananchi hao…
#HABARI: Wasimazi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mtama, Bw
#HABARI: Wasimazi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mtama, Bw. Boniface Fungo, pamoja wa Jimbo la Mchinga na Jimbo la Lindi Mjini, mkoani Lindi, Bw. Saidi Farahani, wamewataka wasimamizi wakuu na…
Mtibwa ina siku 28 tu za kujitetea isishuke daraja
MTIBWA Sugar ina takribani siku 28 kutoka leo Oktoba 28, 2025 hadi Novemba 25, 2025 kujitetea ili kuepuka kushushwa daraja kwa mujibu wa Kanuni ya 47:19 za Ligi Kuu Bara…
#HABARI: Wakati wagombea mbalimbali wakihitimisha kampeni za lala salama kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29,2025, mgombea …
#HABARI: Wakati wagombea mbalimbali wakihitimisha kampeni za lala salama kuelekea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29,2025, mgombea ubunge Jimbo la Namtumbo mkoani Ruvuma, kupitia CCM, Dkt. Juma Zuberi Homera, amekerwa…
#HABARI: Zoezi la upigaji kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025 limeanza huko Zanzibar kwa upigaji wa kura ya mapema, ambayo kwa …
#HABARI: Zoezi la upigaji kura kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025 limeanza huko Zanzibar kwa upigaji wa kura ya mapema, ambayo kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar kura hiyo ya…
Yamal kununua jumba la kifahari la Piqué na Shakira
Nyota wa Barcelona, Lamine Yamal, anaelezwa kuwa na mpango wa kununua jumba la kifahari...
Wamiliki wa shule nchini wamehimizwa kuwekeza mapema katika mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), ili kujenga…
Wamiliki wa shule nchini wamehimizwa kuwekeza mapema katika mafunzo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), ili kujenga kizazi chenye uelewa wa teknolojia tangu utotoni. Wito huo umetolewa na Meneja…
Siku ya uamuzi kwa Watanzania
Watanzania nchini kote, leo Oktoba 29, 2025, wanashiriki uchaguzi mkuu kwa kupiga kura kuchagua...
#HABARI: Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Ndg
#HABARI: Mgombea Urais kupitia tiketi ya Chama cha Wakulima (AAFP), Ndg. Kunje Ngombare Mwiru, amefunga kampeni zake katika Kijiji cha Mkenge, wilayani Mkuranga, mkoani Pwani, akiwataka Watanzania, kudumisha upendo, amani…
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Chemba ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Dkt
#HABARI: Mkurugenzi Mtendaji wa Chemba ya Wafanyabiashara Wanawake Tanzania (TWCC), Dkt. Mwajuma Hamza, amewataka wasichana wanaotafuta ajira nchini kutojiridhisha na vyeti vya kitaaluma pekee, bali wawe na mtazamo wa kidunia,…
‘Ni Hatari’: Iran yalaani uchochezi wa kijeshi wa Marekani huko Venezuela
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uchochezi wa kijeshi wa Marekani kandokando ya Venezuela ikisema ni tishio kwa amani na usalama katika eneo la Karibi na Amerika Kusini.
Majibu makali ya mwandishi Msaudia kwa waziri wa Israel: Ngamia wetu wana asili, nyinyi hamnayo
Mwandishi wa Saudi Arabia na mchambuzi wa masuala ya kisiasa amejibu matamshi ya dharau yaliyotolewa na Waziri wa Fedha wa Israel Bezalel Smotrich akisema, "Ngamia wetu wana asili, lakini nyingi…
UNRWA: Msimamo wa Marekani hautatuzuia kufanya kazi yetu huko Gaza
Adnan Abu Hasna, mshauri wa vyombo vya habari wa Shirika la Misaada na Kazi la Umoja wa Mataifa kwa Wakimbizi wa Palestina (UNRWA), amesema kwamba taarifa za hivi karibuni za…
Senegal yachunguza mauaji ya kikoloni ya Ufaransa baada ya uchimbaji mpya, Thiaroye
Wanaakiolojia nchini Senegal wamegundua ushahidi mpya wa mauaji ya kikoloni ya Ufaransa yaliyotokea mwaka 1944, kama sehemu ya juhudi zinazoongozwa na serikali za kufichua ukweli kuhusu mauaji yaliyofanywa na vikosi…
Maswa yakopesha Sh124 milioni kwa ajili ya kilimo
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imetoa mikopo yenye thamani ya Sh124.1 milioni kwa...
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema huduma za usafiri kesho zitapatikana kama kawaida, na kwamba kilichotokea ni…
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema huduma za usafiri kesho zitapatikana kama kawaida, na kwamba kilichotokea ni baadhi ya kampuni za mabasi kupunguza idadi ya mabasi kutokana na mwitiko…
Ulinzi na usalama umeimarishwa karibu kila eneo nchini, huku Jeshi la Polisi likiwa linaendelea kuwahakikishia wananchi usalama …
Ulinzi na usalama umeimarishwa karibu kila eneo nchini, huku Jeshi la Polisi likiwa linaendelea kuwahakikishia wananchi usalama wa kutosha kuelekea siku ya kesho ya kupiga kura. Jeshi la Polisi limedai…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka huu ni halali na unafanyika kwa mujibu wa Ka…
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amesema kuwa uchaguzi wa Oktoba 29 mwaka huu ni halali na unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Johari alitoa…
Maandalizi ya kituo cha kupokea, kujumuisha na kutangaza matokeo ya kura za Urais yamekamilika
Maandalizi ya kituo cha kupokea, kujumuisha na kutangaza matokeo ya kura za Urais yamekamilika. Kituo hicho kiko makao makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) eneo la Njedengwa…
Kesho, Watanzania waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka …
Kesho, Watanzania waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kumchagua rais, wabunge, madiwani na wawakilishi. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi…
Kamati za ulinzi na usalama za mikoa ya Kusini na Kaskazini Pemba zimewahakikishia wananchi kuwa hali ya amani na utulivu itaend…
Kamati za ulinzi na usalama za mikoa ya Kusini na Kaskazini Pemba zimewahakikishia wananchi kuwa hali ya amani na utulivu itaendelea kudumishwa katika kipindi chote cha uchaguzi na hata baada…
Shughuli ya upigaji kura ya mapema Zanzibar imefanyika leo huku malalamiko kadhaa yakiibuka, likiwemo la mgombea uwakilishi wa c…
Shughuli ya upigaji kura ya mapema Zanzibar imefanyika leo huku malalamiko kadhaa yakiibuka, likiwemo la mgombea uwakilishi wa chama cha ACT-Wazalendo, Omar Saidi Shaabani, aliyedai kuwa mchakato huo ulikuwa na…
Rooney amwonya Arteta kutimuliwa kazi Arsenal
Nahodha wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney, ametoa onyo kali kwa kocha wa Arsenal...
#HABARI: Serikali mkoani Kigoma imeanza mpango wa ujenzi wa soko la kimkakati litakalokuwa na uwezo wa kuhudumia wafanyabiashara…
#HABARI: Serikali mkoani Kigoma imeanza mpango wa ujenzi wa soko la kimkakati litakalokuwa na uwezo wa kuhudumia wafanyabiashara wapatao 500 kwa wakati mmoja, lakini pia kuhudumia nchi jirani kama Burundi…
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 28, 2025 – ZANZIBAR WAPIGA KURA YA MAPEMA KWA MUJIBU WA KATIBA YA ZANZIBAR
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 28, 2025 - ZANZIBAR WAPIGA KURA YA MAPEMA KWA MUJIBU WA KATIBA YA ZANZIBAR
#HABARI: Wakazi wa Kijiji cha Upendo, Kata ya Upendo, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, wameondokana na adha ya kutumia maji yasiy…
#HABARI: Wakazi wa Kijiji cha Upendo, Kata ya Upendo, Wilaya ya Chunya, mkoani Mbeya, wameondokana na adha ya kutumia maji yasiyo safi na salama, ambayo pia yalikuwa yakitumiwa na mifugo…