Askofu Gwandu: Mitandao ya kijamii imejaa chuki na mipasho
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mbulu, John Gwandu...
Muhas, wadau wajadili mtaala mpya wa usimamizi na ugavi bidhaa za afya
Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) kimeanza kujadili, kuboresha na...
Aliyejeruhiwa ajalini afariki dunia kwa ajali nyingine
Majeruhi aliyepata ajali katika basi la Maning Nice iliyotokea jana saa 12 asubuhi, Ahmad Ally,...
CAFCL: Tusubiri kipindi cha pili
CAFCL: Tusubiri kipindi cha pili. HT: FC Lupopo 1-0 Mamelodi Sundowns LIVE #AzamSports2HD HT: Nairobi United 0-0 Wydad AC (Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika) LIVE #AzamSports3HD HT: Kaizer Chiefs…
#NBCPL: Dodoma Jiji wapo mbele kwa goli moja
#NBCPL: Dodoma Jiji wapo mbele kwa goli moja. HT: Dodoma Jiji 1-0 KMC FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #ImenogaZaidi #DodomaJijiVsKMC #DodomaJiji #KMC
Kampuni yafadhili baiskeli kuinua wanafunzi
GEITA: KAMPUNI ya Madini ya Mwamba Mining imefadhili usafiri wa baiskeli 100 kwa wanafunzi wa shule mbili za sekondari wilayani Geita ili kuongeza mahudhurio ya vipindi shuleni na kuinua kiwango…
Messi aanza kujiandaa kurudi Argentina
Staa wa Inter Miami ya Marekani, Lionel Messi yupo katika mazungumzo na klabu yake ya utotoni...
#NBCPL: Bado hakuna goli kwa timu zote mbili
#NBCPL: Bado hakuna goli kwa timu zote mbili. 40’: Dodoma Jiji 0-0 KMC FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #ImenogaZaidi #DodomaJijiVsKMC #DodomaJiji #KMC
CAFCL: Lupopo tayari ipo mbele kwa goli moja
CAFCL: Lupopo tayari ipo mbele kwa goli moja. 35’: FC Lupopo 1-0 Mamelodi Sundowns LIVE #AzamSports2HD 35’: Nairobi United 0-0 Wydad AC (Mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika) LIVE #AzamSports3HD…
Barca yajiondoa katika michuano hii
Barcelona imetangaza kujiondoa rasmi kwenye mradi wa Ligi Kuu ya Ulaya (Super League), hatua...
Carrick aisikilizia Man United
Michael Carrick amesema atajisikia yupo nyumbani akiwa Meneja Mkuu wa Manchester United baada...
#NBCPL: Bado timu zinasomana
#NBCPL: Bado timu zinasomana. 15’: Dodoma Jiji 0-0 KMC FC LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdate #ImenogaZaidi #DodomaJijiVsKMC #DodomaJiji #KMC
Singida BS ushindi kwanza
Matokeo ya ushindi nyumbani leo dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria ndio ambayo yataiweka Singida...
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), anayeshughulikia afya, Dkt
Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), anayeshughulikia afya, Dkt. Jafar Seif, ameagiza kuhakikisha shughuli ya ulipaji fidia kwa kwa nyumba nane…
Kinachokwamisha wagonjwa wa kifafa kupata matibabu
Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine kuadhimisha Siku ya Kifafa kesho, Februari 9...
Bima ya afya kwa wote: Mafanikio ya awali, maswali na hatima ya haki ya afya Tanzania
Ndani ya siku 100 za utekelezaji wa awamu mpya ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Serikali...
Fahamu kwanini hotuba ya Mfalme iliwatia wasiwasi raia wa kigeni Afrika Kusini
Mfalme wa Zulu Afrika Kusini, amezua gumzo baada ya kutoa matamshi ya kuwadhalilisha raia wa kigeni, na kuwataka waondoke nchini humo.
Serikali yasaini mkataba ajira kwa vijana nje ya nchi
DAR ES SALAAM: Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Ajira na Mahusiano, imesaini mikataba mitano itakayowawezesha vijana wa Kitanzania kupata ajira nje ya nchi, huku mikataba mingine 16 ikiwa…
Waungana kuinua biashara za wanawake Tanzania
Kuimarisha biashara ndogo na za kati (MSMEs) za wanawake, pamoja na kuwawezesha katika matumizi...
US-TZ partnership in maritime security gets fresh impetus
DAR ES SALAAM: THE United States and Tanzania marked a major milestone in their security cooperation with the official handover of a US -funded maritime facility to the Government of…
Mchina amburuza DPP, IGP kortıni
Raia wa China, Xiuzhu Yan amewasilisha maombi kortini (Habeas Corpus) dhidi ya Inspekta...
Video fupi ya William Ruto akijigamba kuhusu Uwanja wa Talanta yazua hisia: “Hii ni noma sana”
Rais William Ruto aliwacheka wakosoaji ambao hawakuamini kwamba angeweza kufanikisha uwanja wa Talanta. Alishiriki video inayoonyesha maendeleo, na kuzua hisia.
FCT yawajengea ujuzi wafanyabiashara Mwanza
MWANZA: Baraza la Ushindani (FCT) limetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara jijini Mwanza, yakilenga kuwaongezea uelewa kuhusu masuala ya ushindani wa soko pamoja na taratibu za kupata haki katika shughuli…
KUTOKA ANGOLA: “Tulikuja hapa kwa ajili ya kupigania heshima ya Mnyama”
KUTOKA ANGOLA: “Tulikuja hapa kwa ajili ya kupigania heshima ya Mnyama” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally anasema kama hatua ya makundi ingeanza sasa, basi timu hiyo…
Samatta, Msuva mambo magumu
LICHA ya nyota wawili Mbwana Samatta na Simon Msuva kuwa na umuhimu mkubwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars takwimu zinaonyesha msimu huu bado hawajaonyesha viwango vikubwa wakiwa…
Mabula akiri ngoma mzito Azerbaijan
KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Shamakhi FK ya Ligi Kuu Azerbaijan, Alphonce Mabula amesema mzunguko wa pili wa ligi hiyo umeanza kwa kasi kubwa, huku ushindani ukiwa mkali zaidi…
Zizou mzuka umepanda Sierra Leone
KIUNGO wa Mogbwemo Queens, Mtanzania Zuwena Aziz 'Zizou' amesema kumaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Wanawake Sierra Leone wakiwa kileleni ni jambo lililowaongezea kujiamini na kuwapa nafasi nzuri…
RC Chalamila aapa kuzifungua barabara zote sokoni Kariakoo
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Albert Chalamila amesema kuanza huduma katika Soko la...
Wafamasia kuongezewa ujuzi usimamizi bidhaa za afya
CHUO Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), kinatarajia kuanzisha mtaala mpya wa masomo ya Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Mnyororo wa Ugavi wa Bidhaa za Afya (HSCM)…
Mohamed Badru: Shilla atang’aa Sweden
KOCHA wa zamani wa Azam FC, Mohamed Badru amesema anajivunia kuona vijana aliowafundisha kwenye timu za vijana wakipata nafasi kimataifa baada ya Mohamed Shilla kutambulishwa AIK ya Sweden.
Mambo 4 yaliyobadilika Venezuela tangu Maduro kuondolewa madarakani
Maduro na Flores wanasubiri katika seli zao katika Kituo cha Magereza cha Metropolitan huko Brooklyn (MDC), Machi 17, tarehe ya kufikishwa kwao mbele ya mahakama ya shirikisho.
Usikose kuangalia kipindi maalumu kitakacho angazia Ziara ya Waziri wa Mifugo na uvuvi Mhe
Usikose kuangalia kipindi maalumu kitakacho angazia Ziara ya Waziri wa Mifugo na uvuvi Mhe. Balozi Bashiru Ally Kakurwa ndani ya siku 100 za Uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
“Mafanikio huanza kwa mtu kuwa na maono, mtu asiyekuwa na maono huwa anaenda popote na akifika popote anahisi amefanikiwa” Mshau…
“Mafanikio huanza kwa mtu kuwa na maono, mtu asiyekuwa na maono huwa anaenda popote na akifika popote anahisi amefanikiwa” Mshauri Mwelekezi wa stadi za maisha fedha na uchumi Mhandisi Kabenda…
Mfanyabiashara Lucy Oisso ameeleza kuwa utajiri wa mtu si wingi wa vitu alivonavyo, bali ni namna gani anafikiri kufikia malengo…
Mfanyabiashara Lucy Oisso ameeleza kuwa utajiri wa mtu si wingi wa vitu alivonavyo, bali ni namna gani anafikiri kufikia malengo yake. Oisso anasema ndoto za vijana wengi hazifanikiwi kwasababu hawapendi…
Maduka ya kisasa 31 yazinduliwa nchi nzima kuchochea upatikanaji wa huduma za kidigitali
Maduka ya kisasa 31 ya ‘Airtel Smart Shops’ yamezinduliwa nchini kote, ikiwa ni hatua muhimu...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja wa unyang’anyi wa kutumia silaha uliofanyika Februari 4, 2…
Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limefanikiwa kumkamata mtuhumiwa mmoja wa unyang’anyi wa kutumia silaha uliofanyika Februari 4, 2026, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kisimani, Unyamwanga, Kata ya Tunduma, Wilaya…
Mgosi afichua changamoto duru la kwanza WPL
KOCHA msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan 'Mgosi' amesema changamoto kubwa kwa timu hiyo imekuwa ni kushindwa kumalizia vizuri msimu, licha ya kuanza kwa nguvu kila mwaka.
Kocha JKT Queens akiri shughuli nzito WPL
KOCHA wa JKT Queens, Kessy Abdallah amesema ushindani wa Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu ni mkubwa kiasi kwamba kosa dogo linaweza kuigharimu timu kisaikolojia.
Mastaa Ruangwa Queens wapewa siku 14
KIKOSI cha Ruangwa Queens kimewapa mapumziko ya wiki mbili wachezaji pamoja na benchi la ufundi kabla ya kurejea kambini Februari 25, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kujiimarisha zaidi kuelekea…
Bunda Queens washtukia jambo Ligi Kuu
KOCHA wa Bunda Queens, Alley Ibrahim amesema tofauti ya ubora kati ya timu nyingi imekuwa ndogo msimu huu jambo linaloongeza ushindani.
KONA YA MZAZI: Kwa nini muhimu kumpeleka mtoto kwa bibi na babu
Dhana ya kuwapeleka watoto kuishi au kumtembelea bibi na babu imeanza kupungua, licha ya kuwa...
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Steffano Conte anaomba radhi kwa wadau wote wa mchezo wa #Vishada kwa mashindano hayo kushindwa kuanz…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Steffano Conte anaomba radhi kwa wadau wote wa mchezo wa #Vishada kwa mashindano hayo kushindwa kuanza jana Februari 7, kutokana na changamoto ya upepo. Uhondo sasa…
Uwezo wa kiuchumi wa Iran wa kushiriki katika masoko yanayoinukia
Waziri wa Masuala ya Uchumi na Fedha wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Riyadh, mji mkuu wa Saudi Arabia, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa pili wa masoko…
Carrick ataja ugumu kupita njia ya Solskjaer Man United
Kocha wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, amesema klabu hiyo haitafanya maamuzi ya...
JKT TANZANIA vs MASHUJAA FC: “Tuna mchezo mgumu tena na muhimu kwenye idara zote…”
JKT TANZANIA vs MASHUJAA FC: “Tuna mchezo mgumu tena na muhimu kwenye idara zote…” Kocha wa timu ya JKT Tanzania Ahmad Ally, amesema mchezo wao dhidi ya Mashujaa ni mgumu…
Iran kuokoa dola milioni 30 kwa kujizalishia aina 63 za dawa
Iran imezindua bidhaa mpya 63 za dawa zinazozalishwa ndani ya nchi—ikiwa ni pamoja na fomula 19 zinazozalishwa kwa mara ya kwanza hapa nchini—hatua inayotarajiwa kuifanya nchi hiyi iokoe kati ya…
UNICEF: Israel imeuwa watoto 37 wa Kipalestina katika mashambulizi Gaza mwaka huu
Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeeleza kuwa watoto wa Kipalestinan wasiopungua 37wameuawa katika mashambuliiz ya Israel huko Gaza tangu kuanza mwaka huu wa 2026.
Afrika Kusini kuondoa wanajeshi wake katika kikosi cha kulinda amani cha UN, nchini Kongo
Afrika Kusini imesema kuwa itaondoa wanajeshi wake 700 waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (MONUSCO).
Araqchi: Iran haiogopi kutumwa wanajeshi wa upande mwingine katika kanda hii
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kwamba Jamhuri ya Kiislamu haiogopi vitisho vya kijeshi, akisema: "Iran ni nchi nchi inayofuata diplomasia na mantiki, na wakati huo huo iko…