Libya inatangaza siku tatu za maombolezo baada ya Mnadhimu Mkuu wa jeshi kufariki katika ajali
Mnadhimu mkuu wa jeshi nchini Libya Mohammed al-Haddad na maafisa wanne wakuu wamefariki katika ajali kusini mwa Ankara, ofisi za Kituruki zinasema.
Gambia: Marufuku ya ukeketaji wa wanawake yapingwa mbele ya Mahakama Kuu
Nchini Gambia, mjadala unaohusu ukeketaji wa wanawake (FGM) umeibuka tena. Mnamo Desemba 18, Mahakama Kuu ilianza kuchunguza rufaa iliyopinga marufuku ya miaka kumi ya kitendo hiki. Hili ni suala nyeti…
Mambo saba kufaulu na kufeli kwa Stars dhidi ya Nigeria
Timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imeshindwa kuvunja mwiko baada ya kupoteza kwa mara...
“Unabii unahitajika sana katika kizazi hiki kwa sababu watu wengi wanaishi maisha ambayo sio ya kwao
"Unabii unahitajika sana katika kizazi hiki kwa sababu watu wengi wanaishi maisha ambayo sio ya kwao. Panapotokea mabadiliko yoyote ya majira, teknolojia na kila kitu, unabii unaweza kubaki relevant kama…
AFCON 2027
AFCON 2027 Jumamosi Desemba 27, Taifa Stars itakipiga dhidi ya Uganda, mechi ya pili Kundi C. Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 2:30 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD. Kwa kifurushi…
Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, imetoa shilingi Milioni 112.7 zinazotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani, kw…
Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, imetoa shilingi Milioni 112.7 zinazotokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani, kwaajili ya vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu huku…
“Nimezaliwa kwenye familia ya Mchungaji (baba yangu)
"Nimezaliwa kwenye familia ya Mchungaji (baba yangu). Tangu mdogo nilikuwa na uwezo mkubwa sana. Nilikuwa Nina uwezo wa kujitenga porini kwa muda wa siku Tatu. "Sikuwahi kutamani kuwa Mchungaji wala…
Mwakilishi wa Iran UN: Baada ya Oktoba 2025, Azimio 2231 halikuwa tena na itibari ya kisheria
Mwakilishi wa Iran katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa cha kujadili Azimio 2231 amesema, Jamhuri ya Kiislamu inakubaliana na misimamo ya Russia na China ya kupinga…
“Nilitokewa na kitu ambacho hakionekani nilipata maelekezo nifanye kazi ya Mungu
"Nilitokewa na kitu ambacho hakionekani nilipata maelekezo nifanye kazi ya Mungu. Nilipewa makatazo ya kutokuajiriwa. Nilifuata maelekezo, mwaka 2018 nilianza rasmi huduma. Nilivyotoka Chuo kikuu sikutafuta ajira. Nilianza huduma katika…
Mkuu wa majeshi Libya na wenzake wafariki katika ajali ya ndege, serikali yatangaza mambolezo ya siku 3
Waziri Mkuu wa Libya Abdulhamid Dbeibeh ametangaza kuwa Mkuu wa Majeshi Luteni Jenerali Mohammad Ali Ahmed al-Haddad na maafisa wengine wanne waandamizi wamefariki dunia katika ajali ya ndege iliyotokea wakati…
Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa watu wote si Waislamu
Robert Martin, mwandishi na mwanaharakati Muaustralia mtetezi na muungaji mkono wa Palestina, ambaye amesilimu hivi karibuni amesema, uungaji mkono wake kwa Palestina na safari yake ya kiimani kuelekea kwenye dini…
Mwanaharakati Muaustralia aliyesilimu kutokana na Palestina: Nashangaa si kila mtu ni Muislamu
Robert Martin, mwandishi na mwanaharakati Muaustralia mtetezi na muungaji mkono wa Palestina, ambaye amesilimu hivi karibuni amesema, uungaji mkono wake kwa Palestina na safari yake ya kiimani kuelekea kwenye dini…
Mali, Burkina Faso na Niger zaanzisha kituo cha Televisheni kukabiliana na taarifa za upotoshaji
Viongozi wa Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES), kundi linalojumuisha Mali, Burkina Faso na Niger, umeanzisha shirika jipya la habari lenye makao yake makuu katika mji mkuu wa Mali, Bamako.
Mali, Burkina Faso na Niger zaanzisha kituo cha Televisheni kukabiliana na taarifa potofu
Viongozi wa Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES), kundi linalojumuisha Mali, Burkina Faso na Niger, umeanzisha shirika jipya la habari lenye makao yake makuu katika mji mkuu wa Mali, Bamako.
‘Futa kauli au jiuzulu’: CAIR yamkemea Mkuu wa Intelijensia kwa kudai Uislamu ndiyo tishio kuu kwa US
Jumuiya kubwa zaidi ya kutetea haki za kiraia ya Waislamu nchini Marekani ya Baraza la Mahusiano ya Kiislamu ya Marekani (Cair) (The Council on American Islamic Relations) imemtaka mkurugenzi wa…
#HABARI: Waziri mkuu wa Libya amesema, mkuu wa jeshi la Libya amefariki katika ajali ya ndege nchini Uturuki
#HABARI: Waziri mkuu wa Libya amesema, mkuu wa jeshi la Libya amefariki katika ajali ya ndege nchini Uturuki. Jenerali Mohammed Ali Ahmed al-Haddad na wengine wanne walikuwa ndani ya ndege…
Ohoo Jevdet awaka leo na kuhakikisha kila mtu anabaki kwenye nafasi yake
Ohoo Jevdet awaka leo na kuhakikisha kila mtu anabaki kwenye nafasi yake. Usikose kutazama 6 of Us leo saa 2:00 usiku #AzamTWO
Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 24,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Desemba 24,2025 kwenye #MorningTrumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
James hataki kabisa mke wake aende hospitali akihofia maadui zao
James hataki kabisa mke wake aende hospitali akihofia maadui zao. Sandra anasakwa. Duso amepewa onyo kisa kesi ya Maige. Usikose kutazama #PichaYanguSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
Kocha wa Tanzania Miguel Ángel Gamondi anashikilia kuwa walicheza bora kuliko wengi walivyotarajia na ameridhishwa na matokeo.
Video za kesi ya Lissu zilizokataliwa zamwamsha DPP
Unamkumbuka shahidi muhimu katika kesi ya uhaini kati ya Jamhuri na Tundu Lissu, mwenyekiti wa...
Na iwe Krismas ya amani, furaha kwa Watanzania Wote
Katika familia, Krismas iwe fursa ya kuimarisha mahusiano.
Ubelgiji yajiunga katika kesi ya mauaji ya halaiki ya Afrika Kusini dhidi ya Israel
Ubelgiji imeungana na Afrika Kusini katika kesi iliyofikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), ambayo inaishutumu Israel kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.
DRC yarejelea mauzo ya Kobalti baada ya kusitishwa kwa miezi 10
DRC imerejelea mauzo ya cobalt baada ya kusitishwa kwa miezi 10 iliyokusudiwa kupunguza kushuka kwa bei kutokana na kuongezeka kwa bidhaa duniani.
Umoja wa Mataifa wanauongeza muda wa Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia hadi 2026
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Jumanne lilipitisha hatua ya kuongeza mamlaka kwa kikosi kinachoongozwa na Umoja wa Afrika nchini Somalia hadi 2026.
Papa Leo atoa rai ya kusitishwa mapigano siku ya Krismasi
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametoa mwito wa kusitishwa mapigano kwenye mizozo yote duniani wakati wa sikukuu ya Krismasi kesho Alhamisi.
#KIPIMAJOTO: Kero ya ukosefu wa maji safi na salama ya kutumia kuendelea kuripotiwa maeneo mbalimbali nchini
#KIPIMAJOTO: Kero ya ukosefu wa maji safi na salama ya kutumia kuendelea kuripotiwa maeneo mbalimbali nchini. Je, Mamlaka zinazosimamia Sekta ya maji katika maeneo husika zinawajibika ipasavyo kuzitatua
Mkuu wa Majeshi ya Libya afariki kwa ajali ya ndege Uturuki
Mkuu wa Majeshi ya Libya na maafisa wengine wanne wa kijeshi wamekufa usiku wa kuamkia leo baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka muda mfupi iliporuka kutoka mji mkuu wa Uturuki,…
Marekani na Iran zalaumiana mkwamo mazungumzo ya nyuklia
Marekani na Iran zimeshambuliana kwa maneno wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika usiku wa kuamkia leo hasa kuhusu masharti ya kuyafufua tena mazungumzo ya…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…..DISEMBA 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI.....DISEMBA 24, 2025
Araqchi na Abdul Ati wakubaliana kuimarishwa uhusiano wa Iran na Misri
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Misri wamekubaliana kwa njia ya simu kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Tehran na Cairo na matukio muhimu ya kieneo na…
“Uwezo wa makombora ya Iran umeimarika, tayari kukabili adui”
Msemaji wa Jeshi la Iran amesema kwamba, uwezo wa vikosi vya majini, ardhini, na makombora vya Jamhuri ya Kiislamu viko tayari kikamilifu kukabiliana na senario yoyote tarajiwa ya adui, akisisitiza…
Mufti wa Al-Azhar: Kiwango cha dhulma ilichofikia kadhia ya Palestina hakimruhusu mtu kubaki njiapanda
Taasisi kubwa zaidi ya Kiislamu nchini Misri ya Al-Azhar imesema, piganio la haki la Palestina limefikia kiwango cha dhulma na ukandamizwaji ambacho hakimruhusu mtu kubaki njiapanda na kudai kuwa haegemei…
Jeshi la Guinea-Bissau lawaachia wanasiasa 6 wa upinzani
Utawala mpya wa kijeshi nchini Guinea-Bissau umetangaza kuwa umewaachia huru wanachama 6 wa chama kikuu cha upinzani waliowakamata na kuwazuia korokoroni tangu yalipotokea mapinduzi ya kijeshi mwezi uliopita.
Mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan kushiriki katika ‘Kikosi cha Usalama cha Kimataifa’ cha Gaza na kukataa Islamabad
Licha ya mashinikizo ya Marekani kwa Pakistan ili kushiriki katika "Kikosi cha Usalama cha Kimataifa" cha Gaza, lakini Islamabad ilitangaza kwamba bado hakuna uamuzi uliochukuliwa nan chi hiyo wa kutuma…
Utayari wa Iran wa kuanzisha mtandao wa nchi za Kiislamu wa bioteknolojia na kuimarisha usalama wa chakula
Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Bioteknolojia ya Kilimo ya Iran ametangaza utayari wa kuanzisha mtandao wa pamoja wa ushirikiano wa kisayansi na utafiti na nchi za Kiislamu katika sekta…
Jumatano, 24 Disemba, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 3 Rajab 1447 Hijria mwafaka na tarehe 24 Disemba 2025.
Tanzania, Uganda zaanza vibaya AFCON
Tanzania na Uganda zimeanza vibaya michuano ya kandanda kwa mataifa ya Afrika- AFCON 2025 kwa kukubali kichapo kwenye mechi zao za ufunguzi zilizichezwa jana.
UN: Robo ya wananchi wa Somalia wameathiriwa na ukame
Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema ukame umeathiri zaidi ya watu milioni 4.6 nchini Somalia, karibu robo ya idadi ya watu wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
Matangazo ya Jioni: 24.12.2025
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameilaumu Hamas kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza. Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo XIV ametoa wito kwa “watu wenye nia njema”…
Mkuu wa majeshi ya Libya,maafisa wakuu wafariki katika ajali ya ndege karibu na Ankara: WM Dbeibeh
Mamlaka za nchini Uturuki zimesema kuwa mawasiliano yalipotea na ndege binafsi aina ya Falcon 50 iliyokuwa njiani kuelekea mjini Tripoli baada ya kutoa taarifa ya dharura karibu na katikati mwa…
Dakika mbili zaitibulia Stars dhidi ya Nigeria, AFCON 2025
Ni dakika mbili tu zilizoyeyusha uwezekano wa Taifa Stars kuishtua Afrika kwa kutoka sare na Nigeria katika mchezo wa Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliochezwa kwenye Uwanja wa…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 23 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 23 DESEMBA 2025