Dennis Ombwori: Familia ya Mkenya aliyeuawa katika vita kati ya Urusi na Ukraine yazungumza
Familia moja huko Kisii ilimwomboleza Dennis Bagaka Ombwori, ambaye alitafuta kazi Qatar lakini akafa akipigana Urusi katika vita vyao na Ukraine.
Iran yasisitiza kuwa itavishambulia vituo vya kijeshi vya Marekani, si ardhi za nchi jirani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, iwapo Marekani itashambulia Iran, vituo vya kijeshi vya nchi hiyo katika eneo la Asia…
Gaidi aliyefunzwa na Mossad kuendesha ‘vita vya mitaani’ aangamizwa na vikosi vya intelijensia vya Iran
Sadeq Ashtari, kiongozi wa genge la kigaidi aliyepewa mafunzo na shirika la ujasusi la utawala wa kizayuni wa Israel Mossad kwa ajili ya kuendesha "vita vya mitaani" ameangamizwa katika mapigano…
Italia yasema haiwezi kujiunga na ‘Bodi ya Amani’ ya Trump, sababu ni kukinzana na katiba yake
Italia imesema haiwezi kujiunga na kinachoitwa "Bodi ya Amani" ya Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na "mpaka wa kikatiba" ukiwa ni mkwamo mpya na wa karibuni zaidi kukikabili "chombo…
Katibu Mkuu wa UN alaani vikali kushadidi machafuko Sudan Kusini, ataka mapigano yasitishwe
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amelaani vikali kushadidi kwa machafuko na mapigano nchini Sudan Kusini, ambako watu wapatao milioni 10, wakiwa ni zaidi ya theluthi mbili ya…
Maelfu ya Wairaqi wajiandikisha kuingia vitani kuisaidia Iran endapo itashambuliwa na Marekani
Maelfu ya Wairaqi wamesaini hati ya ahadi ya kusaidia kuihami Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo itashambuliwa kijeshi na Marekani.
Kisumu: Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maseno apatikana amekufa chumbani kwake
Kifo cha Dorcah Mogaka katika Chuo Kikuu cha Maseno kilizua maswali ya dharura kuhusu usalama wa wanafunzi na afya ya akili, na kuacha familia na masikitiko makubwa.
Unavyoweza kuishi na mwenza kisirani
Kukabiliana na mwenza kisirani kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu.
ONGEA NA AUNT BETTIE: Namtamani dada wa kazi mpaka nakosa raha
Anti usinifikirie vibaya, nalazimika kulisema hili ili nipate msaada naomba unistahi. Nina...
Wajapani wanapiga kura katika uchaguzi ulioitishwa ghafla na Waziri Mkuu Takaichi
Mamilioni nchini Japani wanapiga kura katika uchaguzi wa ghafla ulioitishwa na Waziri Mkuu Sanae Takaichi, ambaye muungano wake unatabiriwa kupata ushindi mkubwa.
Wikiendi ya moto wa soka kwenye Kisimbuzi chako cha AzamTV inaendelea leo Jumapili
Wikiendi ya moto wa soka kwenye Kisimbuzi chako cha AzamTV inaendelea leo Jumapili Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi #SisiNiSoka #Azamtvsports #NBCPL #CAFCC
MAHUBIRI: Unaposaidia mhitaji, unagusa moyo wa Mungu
Bwana Yesu apewe sifa mtu wa Mungu, nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo aliye hai. Ni imani...
NAHUBIRI: Unaposaidia mhitaji, unagusa moyo wa Mungu
Bwana Yesu apewe sifa mtu wa Mungu, nakusalimu katika Jina la Yesu Kristo aliye hai. Ni imani...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hatutafanya mazungumzo kuhusu makombora yetu, si sasa wala baadaye
Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesisitiza kwamba Iran haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake, kwa sababu maudhui hiyo inahusu masuala ya ulinzi…
Tanzania, Uganda kuanza kuuza mafuta ghafi Julai mwaka huu
Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema mafuta ghafi yatakayopita katika Mradi wa Bomba la Mafuta (EACOP) kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga, Tanzania yataanza kusafirishwa kwenda…
Waziri wa Fedha wa US akiri hadharani: Tulisababisha uhaba wa dola ndani ya Iran ili kuchochea machafuko
Waziri wa Fedha wa Marekani Scott Kenneth Homer Bessent amekiri kuwa, Washington ilisababisha uhaba wa sarafu ya dola ya nchi hiyo ndani ya Iran, hatua ambayo ilisababisha kushuka kwa kasi…
Shambulio la droni la RSF laua watu 24 wakiwemo watoto 8 Kordofan Kaskazini, Sudan
Shambulio la ndege zisizo na rubani la Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF lililolenga gari lililobeba familia za raia wa Sudan waliolazimika kuyahama makazi yao limeua watu wasiopungua 24, wakiwemo…
Akademia ya Geneva: Waliofariki Ghaza wanakaribia 200,000, watu wamepungua kwa 10%
Stuart Casey Maslen, mkuu wa Akademia ya Geneva ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu na Haki za Binadamu amesema, tangu Oktoba 2023 hadi sasa, idadi ya watu huko Ghaza imepungua…
Akademia ya Geneva: Waliofariki Ghaza wanakaribia laki mbili kwa sababu idadi ya watu imepungua kwa 10%
Stuart Casey Maslen, mkuu wa Akademia ya Geneva ya Sheria za Kimataifa za Kibinadamu na Haki za Binadamu amesema, tangu Oktoba 2023 hadi sasa, idadi ya watu huko Ghaza imepungua…
Wimbi jipya la vikwazo dhidi ya Iran; Trump awalenga washirika wa kibiashara wa Iran
Trump amesaini dikrii kwa ajili ya kuwatoza ushuru washirika wa kibiashara wa Iran.
Jumapili, 08 Februari, 2026
Leo ni Jumapili 19 Shaaban 1447 Hijria mwafaka na 8 Februari 2026 Miladia.
UN rights chief optimistic on TZ’s handling of challenges
GENEVA: THE United Nations High Commissioner for Human Rights, Mr Volker Türk, has expressed confidence in Tanzania’s ability to address recent challenges constructively, praising the government’s commitment to dialogue, reconciliation…
Yanga yapoteza ugenini, hesabu za robo fainali zipo hivi
IKICHEZA ugenini kwenye Uwanja wa Prince Moulay Abdellah, Yanga imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa AS FAR Rabat katika mechi ya tano ya kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa…
Yanga kugumu Morocco
MOROCCO; UNAWEZA ukakubali ni kweli mpira wa miguu huwa kuna wakati unaendana na bahati. Pengine ndivyo unavyoweza kusema baada mchezo wa AS FAR Rabat ya Morocco na Yanga ya Tanzania…
Azam yawapa raha Watanzania
ZANZIBAR; TIMU ya Azam FC ya Dar es Salaam, imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya AS Maniema mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar…
EACOP operations start July
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan and President Yoweri Museveni of Uganda yesterday agreed to deepen trade and economic cooperation, confirming that the East African Crude Oil Pipeline (EACOP)…
CAFCL: Msimamo wa kundi “B” baada ya kila timu kucheza mechi tano
CAFCL: Msimamo wa kundi “B” baada ya kila timu kucheza mechi tano FT: AS FAR 1-0 Yanga SC Ilikuwa LIVE #AzamSports2HD FT: JS Kabylie 0-0 AL Ahly Ilikuwa LIVE #AzamSport1HD…
CAFCL: Inasubiriwa mechi ya mwisho kujua timu gani itaungana na Al Ahly ambayo tayari imetinga robo fainali
CAFCL: Inasubiriwa mechi ya mwisho kujua timu gani itaungana na Al Ahly ambayo tayari imetinga robo fainali. FT: AS FAR 1-0 Yanga SC Ilikuwa LIVE #AzamSports2HD FT: JS Kabylie 0-0…
CAFCL: Unazungumziaje mwenendo wa mechi ya nchini Morocco
CAFCL: Unazungumziaje mwenendo wa mechi ya nchini Morocco. 77’: AS FAR 0-0 Yanga SC LIVE #AzamSports2HD 80’: JS Kabylie 0-0 AL Ahly LIVE #AzamSport1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #ASFARvsYangaSC #ASFAR #YangaSC…
CAFCL: Bado milango imekaza kwa timu zote nne
CAFCL: Bado milango imekaza kwa timu zote nne. 60’: AS FAR 0-0 Yanga SC LIVE #AzamSports2HD 62’: JS Kabylie 0-0 AL Ahly LIVE #AzamSport1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #ASFARvsYangaSC #ASFAR #YangaSC…
CAFCL: Tusubiri dakika 45 za kipindi cha pili
CAFCL: Tusubiri dakika 45 za kipindi cha pili. HT: AS FAR 0-0 Yanga SC LIVE #AzamSports2HD HT: JS Kabylie 0-0 AL Ahly LIVE #AzamSport1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #ASFARvsYangaSC #ASFAR #YangaSC…
Azam yashinda mechi tatu mfululizo CAF
BAADA ya kuanza hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa vichapo viwili mfululizo, Azam FC imeamka na sasa inatembeza dozi tu kwa wapinzani.
UNICEF yawapa wasanii jukumu la kupambana na ukatili
Kwa muda mrefu, tasnia ya muziki imekuwa ikilaumiwa kwa kuzalisha nyimbo zenye maudhui yanayodaiwa kukinzana na maadili ya jamii. Hali hiyo imekuja wakati jamii ikiendelea kukabiliwa na changamoto kadhaa, ikiwemo…
CAFCL: Hakuna goli Morocco wala Algeria
CAFCL: Hakuna goli Morocco wala Algeria. 40’: AS FAR 0-0 Yanga SC LIVE #AzamSports2HD 40’: JS Kabylie 0-0 AL Ahly LIVE #AzamSport1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #ASFARvsYangaSC #ASFAR #YangaSC #JSKabylieVsAhly #JSKabylie…
Jamaa alia kupata mke ametoroka na watoto 2, kwa huruma amwomba arudi: “Tafadhali rudi”
Mwanaume Mtanzania aliyevunjika moyo anamwomba mkewe na watoto wake waliopotea baada ya kutoweka bila maelezo, huku akiomba warudi nyumbani salama.
Kazini kwa Muya Coastal kuna kazi
BAADA ya Coastal Union kuchapwa mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu iliyopigwa Februari 6, 2026 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, imemfanya kocha mkuu…
CAFCL: Bado milango imefungwa kwa timu zote nne
CAFCL: Bado milango imefungwa kwa timu zote nne. 15’: AS FAR 0-0 Yanga SC LIVE #AzamSports2HD 15’: JS Kabylie 0-0 AL Ahly LIVE #AzamSport1HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #ASFARvsYangaSC #ASFAR #YangaSC…
Kilichokwamisha dili la Shomary Kazakhstan
DILI la aliyekuwa beki wa kushoto wa KMC, Rahim Shomary kujiunga na FK Zhenys inayoshiriki Ligi Kuu ya Kazakhstan, limeshindwa kukamilika, baada ya nyota huyo kuamua kurejea nchini na kutua…
Silas Abungana: Polisi wamkamata kaka anayedaiwa kumuua mchezaji wa Homeboyz FC
Kaka yake mchezaji wa Kakamega Homeboyz FC, Silas Abungana, Denmark Muchiti, amekamatwa kufuatia kifo cha kusikitisha cha mchezaji huyo mapema wiki hii.
Oura atupia, Simba ikiikazia Petro Atletico kwao
NYOTA mpya wa Simba SC, Anicet Oura, amefanikiwa kufunga bao lake la kwanza akiwa na kikosi cha timu hiyo baada ya kujiunga nacho dirisha dogo la usajili msimu huu akitokea…
Rais Dokta Samia Suluhu Hassan amebainisha kuwa meli ya kwanza ya usafirishaji wa mafuta kupitia mradi wa bomba la mafuta ghafi …
Rais Dokta Samia Suluhu Hassan amebainisha kuwa meli ya kwanza ya usafirishaji wa mafuta kupitia mradi wa bomba la mafuta ghafi wa EACOP inatarajiwa kuanza Julai mwaka huu. Dkt. Samia…
Inonga amfuata Ateba Iraq
ALIYEKUWA beki wa kati wa Simba, Mkongomani Henock Inonga Baka, amejiunga na Al-Zawraa SC inayoshiriki Ligi Kuu ya Iraq, akiungana na mshambuliaji nyota wa zamani wa kikosi hicho raia wa…
#MEDANIZASIASA:MASWALI KONKI YA ODEMBA NDANI YA MEDANI KUU
#MEDANIZASIASA:MASWALI KONKI YA ODEMBA NDANI YA MEDANI KUU
Kiungo Stand ana hesabu kali kikosini
BAADA ya kuanza kazi ndani ya kikosi cha Songea United, kiungo mshambuliaji, Shaban Ada amesema hesabu zake ni kupata nafasi ya kucheza mara kwa mara ili kuimarisha kiwango chake, kuonekana…
Uendeshaji wa pikipiki maarufu ‘Bodaboda’ unatajwa kuwa miongoni mwa vyanzo vya ajali na madhara kwa binadamu na mali zao
Uendeshaji wa pikipiki maarufu 'Bodaboda' unatajwa kuwa miongoni mwa vyanzo vya ajali na madhara kwa binadamu na mali zao. Fatuma Juma ni miongoni mwa mifano na ushahidi halisi wa atari…
CAFCL: Msimamo wa kundi “D” baada ya leo kuchezwa mechi moja
CAFCL: Msimamo wa kundi “D” baada ya leo kuchezwa mechi moja. FT: Petro Atletico 1-1 Simba SC Saa 4:00 usiku ni AS FAR dhidi ya Yanga SC, LIVE #AzamSports2HD #CAFCL…
Makomredi wa vyuo vikuu wenye hasira wamtimua Oketch Salah, wachoma tisheti zenye chapa ya ODM
Oketch Salah alikuwa KICC kukutana na wanafunzi kutoka vyuo vikuu tofauti. Lakini tukio hilo liligeuka kuwa la vurugu na wanafunzi wakaanza kuimba 'wantam'.