#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Patrobas Katambi, amesema serikali itaweka mifumo ya kudhibiti uhalifu katika maen…
#HABARI: Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Patrobas Katambi, amesema serikali itaweka mifumo ya kudhibiti uhalifu katika maeneo ya biashara,makazi na mashambani ili kuweza kudhibiti matendo ya uhalifu ikiwemo…
Mnangagwa, Prateek Suri map Africa’s growth path
HARARE, ZIMBABWE: When political leadership meets entrepreneurial ambition, the outcome often shapes the future of nations. Such a moment unfolded when Emmerson Mnangagwa, President of Zimbabwe, sat down with global…
CAFCC| Lusajo Mwaikenda tayari ameshaitanguliza Azam FC
CAFCC| Lusajo Mwaikenda tayari ameshaitanguliza Azam FC. 35': Azam FC 1-0 AS Maniema Union LIVE #AzamSports3HD #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika #AzamFCVsASManiema #AzamFC #ASManiemaUnion
Baba asimulia alivyowaokoa wanawe wawili moto ukiteketeza nyumba
Tukio hilo la moto lilitokea jana Ijumaa Februari 6, 2026 na kuteketeza mali zote zilizokuwapo...
#NBCPL: TRA walianza kwa kulimwa kadi nyekundu kupitia mchezaji Omary Yusuf na baadae Adily Buha akafunga goli la kwanza kwa pen…
#NBCPL: TRA walianza kwa kulimwa kadi nyekundu kupitia mchezaji Omary Yusuf na baadae Adily Buha akafunga goli la kwanza kwa penati na baadae Said Naushad akaweka la pili. FT: TRA…
15’| CAFCL
15’| CAFCL Petro Atletico 1-0 Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PetroAtleticoVsSimbaSC #PetroAtletico #SimbaSC
#BSSNextLevelRevolution | Majaji wamesema haiishi hadi iishe, bado tunaendelea na usaili hapa La Kairo Hotel
#BSSNextLevelRevolution | Majaji wamesema haiishi hadi iishe, bado tunaendelea na usaili hapa La Kairo Hotel. Msimu wa 16 #BongoStarSearch utaanza kuoneshwa rasmi kuanzia Machi 22, 2026 kupitia @sinemazetuhd na @azamtvmaxapp…
Watu wawili wameripotiwa kufariki dunia kufuatia ajali ya gari la kampuni ya Mining Nice lililokuwa likisafiri kutoka Dar es Sal…
Watu wawili wameripotiwa kufariki dunia kufuatia ajali ya gari la kampuni ya Mining Nice lililokuwa likisafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Masasi mkoani Mtwara, baada ya kugonga lori la mizigo…
DRC: Idadi ya wagonjwa wa surua yaongezeka katika eneo la Afya la Idjwi, Kivu Kusini
Ukanda wa afya wa Idjwi unakabiliwa na ongezeko kubwa la visa vya surua, hasa vinavyoathiri watoto wenye umri wa miaka 0 hadi 5 katika maeneo kadhaa ya afya. Ili kukabiliana…
Waziri Shemdoe aridhishwa na maandalizi ya ufunguzi Soko la Kariakoo
Waziri huyo amesema uwekezaji wa Sh28 bilioni uliofanyika katika soko hilo baada ya kuungua...
#KaziNaUtuTunasongaMbele
#KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #diplomasiayauchumi #MaendeleoEndelevu (Feed generated with FetchRSS)
Wananchi wa Mtaa wa Kisiwa cha Fokoland, Kata ya Yombo Vituka, Manispaa ya Temeke, wamejichanga na kujenga barabara ya zege kwa …
Wananchi wa Mtaa wa Kisiwa cha Fokoland, Kata ya Yombo Vituka, Manispaa ya Temeke, wamejichanga na kujenga barabara ya zege kwa lengo la kutatua kero ya muda mrefu ya miundombinu,…
Man United gari limewaka hilo, Mbeumo aweka rekodi
Mabao ya ushindi ya Man United katika mechi ya leo yamepachikwa na Bryan Mbeumo na Bruno...
#NBCPL: TRA United wameduazwa kwa magoli 2-0
#NBCPL: TRA United wameduazwa kwa magoli 2-0. FT: TRA United 0-2 Mbeya City Saa 1:00 usiku ni Mtibwa Sugar dhidi ya Namungo FC, LIVE #AzamSports1HD #NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPL #NBCPLUpdates #ImenogaZaidi…
Serikali Wilayani Mbulu Mkoani Manyara imepanga kutoa kipaombele cha kugawa Bima za afya bure kwa jamii ya wahardzabe kupitia mp…
Serikali Wilayani Mbulu Mkoani Manyara imepanga kutoa kipaombele cha kugawa Bima za afya bure kwa jamii ya wahardzabe kupitia mpango wa Bima ya afya kwa wote ikiwa ni manufaa yatokanayo…
#CAFCL: RS Berkane wamekula chuma mbili bila kupepesa macho
#CAFCL: RS Berkane wamekula chuma mbili bila kupepesa macho. FT: Power Dynamos 2-0 RS Berkane Saa 1:00 usiku ni Petro Atletico dhidi ya Simba SC LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika…
Wavuvi Mkokotoni waomba kipaumbele masoko mapya ya samaki
Unguja. Wavuvi na wajasiriamali wa mazao ya baharini wanaofanya shughuli zao katika maeneo ya...
Ukosefu wa taa za barabarani wachochea uporaji Tanga
Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kwa nyakati tofauti wiki hii katika Kata ya Majengo jijini...
Serikali yatangaza FARDC kuchukuwa udhibito wa maeneo kadhaa kusini mwa mkoa wa Kivu
Waziri wa Ulinzi wa DRC amesema wakati wa mkutano wa Baraza la Mawaziri siku ya Ijumaa, Februari 6, kwamba vikosi vya jeshi la DRC (FARDC) vilizima mashambulizi ya “muungano wa…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Mchezaji Abdulqadir Haji anafunguka namna alivyojipanga katika mashindano ya #Vishada msimu huu
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Mchezaji Abdulqadir Haji anafunguka namna alivyojipanga katika mashindano ya #Vishada msimu huu. Uhondo umeanza leo Februari 7, visiwani Zanzibar. #KusiCup2026.
#CAFCL: Bado hakuna goli kwa pande zote mbili
#CAFCL: Bado hakuna goli kwa pande zote mbili. HT: Power Dynamos 0-0 RS Berkane LIVE #AzamSports2HD #CAFCL #CAFChampionsLeague #LigiYaMabingwaAfrika #PowerDynamosVsRSBerkane #PDFCRSB
#NBCPL: Mbeya City wapo mbele kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Adily Buha
#NBCPL: Mbeya City wapo mbele kwa mkwaju wa penati uliopigwa na Adily Buha. TRA United wapo pungufu baada ya Omari Yusufu kuoneshwa kadi nyekundu. HT: TRA United 0-1 Mbeya City…
Mabinti Kenya wafunguka kwa nini ni vigumu kuchumbiana na maafande: “Utakuwa na co-Wives wengi”
Wanawake wa Kenya wameelezea sababu mseto kuhusu ni kwa nini ni nadra kuchumbiana na maafisa wa vikosi vya polisi, wakifichua kiwewe na dhana potofu.
Meli ya kwanza ya EACOP kusafirisha mafuta Julai
Rais Samia amesema hayo leo Jumamosi, Februari 7, 2026, Ikulu jijini Dar es Salaam, alipokuwa...
Wananchi Yanga SC, wapo mzigoni nchini Morocco, leo saa 4:00 usiku wapo dimba la CSPMA wakikipiga na AS FAR, mechi ya marudiano…
Wananchi Yanga SC, wapo mzigoni nchini Morocco, leo saa 4:00 usiku wapo dimba la CSPMA wakikipiga na AS FAR, mechi ya marudiano Ligi ya mabingwa Afrika. Katika mchezo wa kwanza…
Mke Mjamzito wa Silas Abungana asema hangeweza kumsaidia mumewe kwani ndugu zake walimshambulia
Beki wa Kakamega Homeboyz Silas Abungana alifariki kutokana na majeraha ya kichwani baada ya shambulio la kikatili la usiku kutoka kwa ndugu zake.
Bundesliga leo Jumamosi
Bundesliga leo Jumamosi Saa 11:30 jioni, Wolfsburg watakuwa nyumbani Volkswagen Arena wakiwakaribisha Borussia Dortmund. Mchezo huu utaruka mbashara kupitia ZBC2. @bundesliga
NFL Superbowl LX – Patriots Vs Seahawks
NFL Superbowl LX - Patriots Vs Seahawks Superbowl 2026 ni New England Patriots dhidi ya Atlanta Seahawks, mwaka 2015 timu hizi zilikutana na Patriots wakashinda kwa 28 – 24 kwa…
Tanzania, UNITAID agree to strengthen TMDA capacity
GENEVA: UNITAID has announced its commitment to continue collaborating wth the Tanzanian government to strengthen the capacity of the Tanzania Medicines and Medical Devices Authority (TMDA), including facilitating its upgrade…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Msikie Marley ambaye ni mmiliki wa shule ya mchezo wa #Vishada Zanzibar akielezea namna bora ya kuanz…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Msikie Marley ambaye ni mmiliki wa shule ya mchezo wa #Vishada Zanzibar akielezea namna bora ya kuanza kuucheza mchezo huo. Marley hapa anamwelekeza mtangazaji Patrick Nyembera.…
Wizi wa Mtwapa: Washukiwa 6 wa ujambazi wakamatwa baada ya video za CCTV kuzinasa nyuso zao
Washukiwa sita wamekamatwa kuhusiana na wizi eneo la Mtwapa baada ya makachero kuwafuatilia kupitia CCTV. Ushahidi unawahusisha na uhalifu mwingi.
Muhimbili finds better treatment for incapacitated patients
DAR ES SALAAM: MUHIMBILI National Hospital (MNH) has planned well using modern methods to serve patients who cannot support themselves, including paralyzed patients, elderly people who need help being carried,…
Polisi nchini Zambia wamesema kwamba Mvuvi mwenye umri wa miaka 52 amefariki baada ya kushambuliwa na mamba alipokuwa akikimbia …
Polisi nchini Zambia wamesema kwamba Mvuvi mwenye umri wa miaka 52 amefariki baada ya kushambuliwa na mamba alipokuwa akikimbia kutoshambuliwa na kundi la Tembo katika eneo la Mashariki mwa Zambia.…
Tanzania sees success in reducing deaths caused by epilepsy
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Epilepsy Association (TEA) has said that the risk of epilepsy patients losing their lives in the country has decreased from an average of six to…
Kisa cha Mbrazili ‘feki’ na kile kinachofichua kuhusu ujasusi wa Urusi
Polisi wa Brazil na Ofisi ya Upelelezi ya Shirikisho la Marekani (FBI) zote zimemtambua kama afisa wa ujasusi wa Urusi.
CAFCC: Kocha wa Singida BS, Othmen Najjar amesema wanatakiwa kuweka mazingatio kwenye mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afr…
CAFCC: Kocha wa Singida BS, Othmen Najjar amesema wanatakiwa kuweka mazingatio kwenye mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya CR Belouizdad ili kuendelea kuweka hai safari…
ODM wamtupa Oketch Salah kikaangoni, wasema hawamtambui na anayofanya hayawahusu yuko kivyake
ODM yajitenga na mfanyabiashara Oketch Salah, ikisema shughuli zake ni za kibinafsi. Wanga anasisitiza programu zote za chama lazima zipitie sekretarieti.
CAFCL: Mchambuzi wa soka ambaye pia ni mtangazaji @leomusikula_tz amezichambua takwimu za Yanga SC katika mechi za ugenini kati…
CAFCL: Mchambuzi wa soka ambaye pia ni mtangazaji @leomusikula_tz amezichambua takwimu za Yanga SC katika mechi za ugenini katika michuano ya CAF, akianzia mwaka 2023. Msikilize mchambuzi huyu ili ujue…
Abbas Araghchi atoa wito wa suluhisho la kiadilifu kwa kadhia ya Palestina
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa wito wa kuwepo suluhisho la kiadilifu na endelevu katika kutatua kadhia ya Palestina.
Hali yazidi kuwa mbaya Gaza: Uhaba wa dawa na vifaa vya matibabu washadidi
Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza katika taarifa yake kwamba, hospitali zilizobaki zinazofanya kazi katika Ukanda huo, ambazo zinajitahidi kuendelea kutoa huduma za kimatibabu, zimekuwa vituo…
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alaani vikali kuongezeka kwa vurugu Sudan Kusini
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres analaani vikali kuongezeka kwa vurugu nchini Sudan Kusini, ambako takribani watu milioni 10 ambao ni zaidi ya theluthi mbili ya idadi ya…
Mwaka 22026 haujawaletea nafuu watoto wanaoishi katika mazingira ya vurugu na migogoro Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini – UNICEF
Vurugu na migogoro ya silaha katika eneo la Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini imeendelea kuathiri pakubwa maisha ya watoto, wiki chache tu tangu kuanza kwa mwaka mpya, Shirika la…
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lakaribisha mazungumzo ya Iran na Marekani
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi limetangaza kuwa, limekaribisha kwa mikono miwili mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yaliyofanyika Muscat…
DODOMA JIJI vs KMC: “Mchezo wa ufundi zaidi”
DODOMA JIJI vs KMC: “Mchezo wa ufundi zaidi” Kocha wa KMC, Mohamed Abdallah ‘Bares’ amesema kesho kutakuwa na mchezo mzuri huku akisifu ubora wa Dodoma Jiji. Kwa upande wake mchezaji…
Somalia: Uingiliaji kati wa Israel ni changamoto kwa bara zima la Afrika
Rais wa Somalia amekosoa vikali uingiliaji kati wa utawala wa kizayuni Israel katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kueleza kwamba, hatua hiyo ya Wazayuni ni changamoto kwa bara…
Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?
Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo…
Maandamano makubwa yafanyika mjini Rabat, Morocco kuunga mkono Palestina
Mamia ya raia wa Morocco wameandamana na kukusanyika mbele ya jengo la Bunge mjini Rabat, wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kulaani mzingiro wa utawala…