Skip to content
  • Sun. Mar 1st, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons Kocha Laizer aweka mikakati Fountain Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati? Iran: Alireza Arafi ateuliwa kuongoza mpito baada ya kifo cha Khamenei
HABARILEO

Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Kocha Laizer aweka mikakati Fountain

March 1, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?

March 1, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Iran: Alireza Arafi ateuliwa kuongoza mpito baada ya kifo cha Khamenei

March 1, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi
HABARILEO
Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi
Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons
MWANASPOTI
Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons
Kocha Laizer aweka mikakati Fountain
MWANASPOTI
Kocha Laizer aweka mikakati Fountain
Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?
IDHAA YA DUNIA
Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi
HABARILEO
Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi
Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons
MWANASPOTI
Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons
Kocha Laizer aweka mikakati Fountain
MWANASPOTI
Kocha Laizer aweka mikakati Fountain
Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?
IDHAA YA DUNIA
Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?
HABARI ZA KIPEKEE

Somalia: Uingiliaji kati wa Israel ni changamoto kwa bara zima la Afrika

February 7, 2026 mjombazecoder

Rais wa Somalia amekosoa vikali uingiliaji kati wa utawala wa kizayuni Israel katika masuala ya ndani ya nchi hiyo na kueleza kwamba, hatua hiyo ya Wazayuni ni changamoto kwa bara…

HABARI ZA KIPEKEE

Je, Trump ni rais wa amani kama anavyodai mwenyewe?

February 7, 2026 mjombazecoder

Donald Trump, ambaye anajiona kama rais wa amani, amekariri madai yake dhidi ya uwezo wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa ajili ya kuhalalisha mashambulizi dhidi ya vituo…

HABARI ZA KIPEKEE

Maandamano makubwa yafanyika mjini Rabat, Morocco kuunga mkono Palestina

February 7, 2026 mjombazecoder

Mamia ya raia wa Morocco wameandamana na kukusanyika mbele ya jengo la Bunge mjini Rabat, wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa watu wa Palestina na kulaani mzingiro wa utawala…

MWANANCHI

Ofisa wa Polisi alivyokwepa kifungo cha miaka 20 jela

February 7, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa...

LTV ENGLISH NEWS

Why Zanzibar’s executives can not ignore Artificial Intelligence in real life

February 7, 2026 mjombazecoder

ZANZIBAR: AT around 9.30am local time, in the morning, inside a quiet conference hall at Madinat al Bahri Hotel in Zanzibar, senior government officials-Principal Secretaries (PS) sat not to discuss…

MWANANCHI

Wawili wafariki dunia, 12 wajeruhiwa ajali ya basi Lindi

February 7, 2026 mjombazecoder

Ajali hiyo imehusisha basi la Kampuni ya Maning Nice baada ya kugonga lori lililokuwa...

TZSPORTS

Matajiri wa jiji, AzamFC, wanaisaka robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika ambapo leo saa 1:00 usiku watakuwa dimba la New Ama…

February 7, 2026 mjombazecoder

Matajiri wa jiji, AzamFC, wanaisaka robo fainali Kombe la Shirikisho Afrika ambapo leo saa 1:00 usiku watakuwa dimba la New Amaan Complex, Zanzibar wakiwakaribisha AS Maniema kutoka DRC Mechi hii…

IDHAA YA DUNIA

“Tulikua tunashiriki mapenzi hotelini bila kujua tulirekodiwa na kuonwa na maelfu”

February 7, 2026 mjombazecoder

Wapenzi walikua mapumziko katika hoteli moja na kuendelea na ngono bila kujua walikuwa wakirekodiwa na baadaye kuonyeshwa kwenye channeli inayotazwa na maelfu ya watu

TZSPORTS

KUTOKA MOROCCO: “Ni mchezo muhimu sana kwetu”

February 7, 2026 mjombazecoder

KUTOKA MOROCCO: “Ni mchezo muhimu sana kwetu” Nahodha msaidizi wa Yanga SC, Dickson Job anasema wanahitaji kuwa bora zaidi leo ili kuweza kupata matokeo mazuri dhidi ya AS FAR katika…

TZSPORTS

DODOMA JIJI vs KMC: “Tutamkosa mchezaji mmoja ambaye ni Ally Salim”

February 7, 2026 mjombazecoder

DODOMA JIJI vs KMC: “Tutamkosa mchezaji mmoja ambaye ni Ally Salim” Kocha wa Dodoma Jiji, Aman Josiah ameonesha kusikitika kwa kumkosa golikipa wake Ally Salim ambaye alipata changamoto kwenye mechi…

MWANASPOTI

Tanzania yaomba msaada China kuboresha miundombinu ya AFCON 2027

February 7, 2026 mjombazecoder

Soma zaidi hapa!

ASTV TANZANIA

Katika hali ya kushangaza, serikali ya Uturuki imekuja na mbinu ya kupunguza ajali barabarani kwa kutumia mabaki ya magari yaliy…

February 7, 2026 mjombazecoder

Katika hali ya kushangaza, serikali ya Uturuki imekuja na mbinu ya kupunguza ajali barabarani kwa kutumia mabaki ya magari yaliyoharibika kwa kuyaweka kando ya barabara kama njia na alama ya…

TUKO SWAHILI NEWS

Mshawishi wa FB akiri anamzimia sana Edwin Sifuna: “Siwezi kuacha kumfikiria”

February 7, 2026 mjombazecoder

Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna aliamsha msisimko kwenye mitandao ya kijamii baada ya mahojiano yake na Citizen TV. Mshawishi Yvonne Kontoz alifunguka anavyomzimia.

MWANANCHI

Msaada wa baiskeli kuwakomboa wanafunzi kutembea umbali mrefu

February 7, 2026 mjombazecoder

Geita. Shule za sekondari ya Evarist iliyopo Kata ya Nyarugusu na Rwamgasa, Kata ya Rwamgasa...

MWANANCHI

Yanga, Rabat kitaumana leo kwa Azam usipime

February 7, 2026 mjombazecoder

Wikiendi hii, kazi inaendelea kwa wawakilishi wetu hao kujitupa uwanjani kusaka ushindi ambao...

ASTV TANZANIA

Wikiendi ya moto wa soka kwenye Kisimbuzi chako cha AzamTV leo Jumamosi

February 7, 2026 mjombazecoder

Wikiendi ya moto wa soka kwenye Kisimbuzi chako cha AzamTV leo Jumamosi Saa 1:00 usiku Mnyama SC na AzamFC watakuwa dimbani. Mnyama Simba SC atakuwa ugenini nchini Angola akikipiga na…

ASTV TANZANIA

Benki Kuu ya Kenya (CBK) imezuia matumizi mabaya ya fedha za noti, ikiwemo kuzikunja na kuzitumia kama mapambo mbalimbali

February 7, 2026 mjombazecoder

Benki Kuu ya Kenya (CBK) imezuia matumizi mabaya ya fedha za noti, ikiwemo kuzikunja na kuzitumia kama mapambo mbalimbali. Benki hiyo imesema tabia hiyo husababisha noti kuchakaa haraka na kulazimika…

ASTV TANZANIA

Kuelekea ufunguzi wa Soko la Kimataifa la Kariakoo unaotarajiwa kufanyika kesho na Rais Samia Suluhu Hassan, mwandishi wetu Jafa…

February 7, 2026 mjombazecoder

Kuelekea ufunguzi wa Soko la Kimataifa la Kariakoo unaotarajiwa kufanyika kesho na Rais Samia Suluhu Hassan, mwandishi wetu Jafari Mponda amefanya mahojiano na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo…aliyesema…

MWANANCHI

Ndani ya boksi: Feblove ishi ‘kituristi’ toka magetoni ‘blaza’

February 7, 2026 mjombazecoder

Kama umeamua kishi kikamaria, basi tandika mikeka sana. Mpaka Gabachori akusanye virago vyake...

ASTV TANZANIA

Inadaiwa kuwa ukuaji wa kizazi cha sasa na cha zamani unaonyesha tofauti kubwa

February 7, 2026 mjombazecoder

Inadaiwa kuwa ukuaji wa kizazi cha sasa na cha zamani unaonyesha tofauti kubwa. Kizazi kilichozaliwa kuanzia mwaka 2000 kinaonekana kuzeeka kwa haraka kimuonekano, yaani umri wao halionekani kulingana na ukubwa…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Argentina na Marekani zasaini mkataba wa biashara wa kupunguza ushuru

February 7, 2026 mjombazecoder

Argentina na Marekani zimesaini makubaliano ya biashara na uwekezaji siku ya Alhamisi, zikihalalisha makubaliano ya mfumo yaliyofikiwa mwezi Novemba, huku lengo kuu likiwa ni kupunguza ushuru wa pande zote, mamlaka…

IDHAA YA DUNIA

Kijiji ambacho kuoana mkiwa dini tofauti ni kifo

February 7, 2026 mjombazecoder

Mauaji ya wanandoa wa imani tofauti ya dini yameshtua kijiji kidogo katika jimbo la Uttar Pradesh kaskazini mwa India ambapo wakazi wameishi kwa amani kwa miaka mingi.

MWANANCHI

Mauwasa yaanza kufunga mita za maji za malipo kabla

February 7, 2026 mjombazecoder

Maswa. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Maswa (Mauwasa) imeanza kufunga mita za...

TUKO SWAHILI NEWS

‘Nunda’ aliyetumwa kumuua mwanamke aokoa maisha yake, amgawia KSh 220k alizopewa: “Nilifeki kumuua”

February 7, 2026 mjombazecoder

Peter Kibui Afichua Jinsi Alivyookoa Maisha ya Mwanamke Aliyeajiriwa Kumuua, Akishiriki Simulizi ya Kutisha ya Udanganyifu, Hatari, na Hatimaye, Ukombozi.

TZSPORTS

KUTOKA ANGOLA: Mwandishi wa habari za michezo wa nchini Angola azungumzia yale yanayosemwa na wapenda soka kuelekea mechi ya leo…

February 7, 2026 mjombazecoder

KUTOKA ANGOLA: Mwandishi wa habari za michezo wa nchini Angola azungumzia yale yanayosemwa na wapenda soka kuelekea mechi ya leo ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kati ya Petro Atletico…

LTV ENGLISH NEWS

President Samia Hosts Uganda’s President Museveni for Official Talks in Dar es Salaam

February 7, 2026 mjombazecoder

President Samia Suluhu Hassan with her guest, the President of the Republic of Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, shortly after his arrival at the State House grounds in Dar es Salaam…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Marekani: Pentagon yatangaza kuvunja uhusiano wa kielimu na Chuo Kikuu cha Harvard

February 7, 2026 mjombazecoder

Pentagon imetangaza Ijumaa, Februari 6, kwamba inavunja uhusiano wote wa kielimu na Chuo Kikuu cha Harvard, hatua zaidi katika shambulio la utawala wa Trump dhidi ya taasisi kubwa za kitaaluma…

ASTV TANZANIA

Kama una uzito mkubwa na unataka kuupunguza ili kufanya mwili wako kuwa mwepesi na wenye afya, wataalamu wa mazoezi wanashauri u…

February 7, 2026 mjombazecoder

Kama una uzito mkubwa na unataka kuupunguza ili kufanya mwili wako kuwa mwepesi na wenye afya, wataalamu wa mazoezi wanashauri ufanye mazoezi haya. #AzamTVUpdates ✍Halima Abdallah Mhariri | John Mbalamwezi

LTV ENGLISH NEWS

How Kenya’s debt crisis exposes deep governance fault lines

February 7, 2026 mjombazecoder

NAIROBI: IF you have been privileged to have the wisdom of elders in your upbringing, you will have encountered their wise words. One of the insights I gained during my…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Cuba yapitisha hatua za dharura kushughulikia mgogoro wa nishati

February 7, 2026 mjombazecoder

Serikali ya Cuba imetangaza kifurushi cha hatua za dharura siku ya Ijumaa katika nyanja za elimu, ajira, na usafiri ili kushughulikia mgogoro wa nishati ambao nchi inapitia chini ya shinikizo…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Ukraine: Gridi ya nishati yalengwa tena na shambulio kubwa la Urusi

February 7, 2026 mjombazecoder

Ukraine imelengwa leo Jumamosi asubuhi, Februari 7, na shambulio kubwa kwenye gridi yake ya nishati, na kusababisha kukatika kwa umeme katika sehemu kubwa ya nchi, shirika la umeme la Ukraine,…

TZSPORTS

MASHABIKI YANGA, SIMBA: Shabiki wa Yanga kutoka Mwembe Yanga Dar es Salaam, asema anaitaka sare tu mbele ya AS FAR katika mchezo…

February 7, 2026 mjombazecoder

MASHABIKI YANGA, SIMBA: Shabiki wa Yanga kutoka Mwembe Yanga Dar es Salaam, asema anaitaka sare tu mbele ya AS FAR katika mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL).…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Trump asifu mazungumzo ‘mazuri’ na Iran, ambayo yataendelea ‘wiki ijayo’

February 7, 2026 mjombazecoder

Iran na Marekani zimekubaliana “kuendelea na mazungumzo yao,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alisema siku ya Ijumaa baada ya duru ya kwanza ya mazungumzo yaliyofanyika Oman…

ASTV TANZANIA

🧠 Kisanyansi… binadamu anaweza kukaa siku ngapi bila ‘kwenda haja’?

February 7, 2026 mjombazecoder

🧠 Kisanyansi… binadamu anaweza kukaa siku ngapi bila ‘kwenda haja’? A. 4 B. 7 C. 14 ✍Chagua Jibu Sahihi! #AzamTVUpdates Mhariri | John Mbalamwezi

TZSPORTS

KUTOKA ANGOLA: Unafahamu kuwa Estadio 11 de Novembro ndio uwanja ambao Lionel Messi ‘aliutwanga’ hapo akiwa na kikosi cha Argent…

February 7, 2026 mjombazecoder

KUTOKA ANGOLA: Unafahamu kuwa Estadio 11 de Novembro ndio uwanja ambao Lionel Messi ‘aliutwanga’ hapo akiwa na kikosi cha Argentina….? Unafahamu kuwa Simba SC sio mgeni kukipiga katika dimba hilo…??…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Niger: ISGS yafafanua toleo lake la shambulio la uwanja wa ndege wa Niamey

February 7, 2026 mjombazecoder

Nchini Niger, wiki moja baada ya shambulio la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Niamey, Waziri wa Uchukuzi amezuru eneo hilo. Kanali-Meja Abdourahmane Amadou alienda kutahtmini mfumo wa usalama. Shambulio…

TUKO SWAHILI NEWS

Watoro 2 wa washukiwa wa wizi wa M-Pesa walionaswa kwenye CCTV wakamatwa JKIA wakitokea Zambia

February 7, 2026 mjombazecoder

Washukiwa wawili, Ali Samir Abdalla na Ajip Haisam, walikamatwa katika uwanja wa ndege wa JKIA kwa wizi wa M-Pesa, picha za CCTV zilinasa uhalifu wao.

IDHAA YA DUNIA

Marekani yasifu mazungumzo na Iran, Trump asema yameanza vyema

February 7, 2026 mjombazecoder

Marekani na Iran zilikutana jana huko Oman kufuatia kuongezeka kwa mvutano kati ya nchi hizo, huku Trump akirudia kuonya kuhusu uwezekano wa shambulio la kijeshi.

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Nigeria: Wakristo 89 waliotekwa nyara wakati wa mashambulizi ya makanisa matatu waachiliwa

February 7, 2026 mjombazecoder

Wakristo 89 wa mwisho waliotekwa nyara wakati wa shambulio la makanisa matatu na magenge ya wahalifu kaskazini mwa Nigeria wameachiliwa huru huku kukiwa na ongezeko la utekaji nyara wa watu…

HABARI ZA KIPEKEE

Guardiola ajibu mapigo dhidi ya Baraza la Wayahudi, apinga tena mauaji ya watu wasio na hatia huko Gaza

February 7, 2026 mjombazecoder

Meneja wa timu ya Manchester City, Pep Guardiola aliisisitiza jana Ijumaa kwamba atapaza sauti yake waziwazi wakati wowote "watu wasio na hatia wanapouawa" popote pale duniani, akijibu ukosoaji wa Baraza…

TUKO SWAHILI NEWS

Magazeti ya Kenya: Wakenya walioajiriwa na jeshi la Urusi kutokea Qatar wauawa Ukraine

February 7, 2026 mjombazecoder

Ujasusi wa Ulinzi wa Ukraine ulipata miili ya raia wengine wawili wa Kenya walioajiriwa na serikali ya Urusi katika jiji la Lyman katika eneo la Donetsk.

MWANANCHI

Kwa hili, Nandy haoni aibu kabisa!

February 7, 2026 mjombazecoder

Akiwa anaelekea kutimiza miaka 10 tangu amepata umaarufu kupitia muziki, Nandy amejipambanua...

MWANANCHI

Wahandisi watakiwa kutekeleza maono ya Serikali kilimo cha umwagiliaji

February 7, 2026 mjombazecoder

Iringa. Wahandisi nchini wametakiwa kutekeleza kwa vitendo maono ya Serikali katika maendeleo...

IDHAA YA DUNIA

Maisha ya wafugaji Kenya, Somalia yalivyo hatarini ukame ukizidi kusambaa

February 7, 2026 mjombazecoder

Ukame unaoendelea katika Pembe ya Afrika sasa umeenea hadi maeneo ambayo hapo awali hayakuwa yakikumbwa sana na majanga ya ukame.

HABARI ZA KIPEKEE

Al-Burhan: Hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha watu wa Sudan

February 7, 2026 mjombazecoder

Mkuu wa Baraza la Utawala nchini Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amesema kwamba hakutakuwa na amani na wale walioua, kupora na kuwafurusha makwao watu wa Sudan.

HABARI ZA KIPEKEE

Kesi ya kupinga ushindi wa Museveni yatupiliwa mbali, sababu.. gharama kubwa

February 7, 2026 mjombazecoder

Kesi iliyowasilishwa mahakamani kupinga ushindi wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda katika uchaguzi mkuu wa Januari 15 imetupiliwa mbalii.

TZSPORTS

A post from AzamSports

February 7, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Asap Rocky ajibu kuhusu ndoa na Rihanna

February 7, 2026 mjombazecoder

Rapa wa Marekani, Asap Rocky, 37, amejibu kwa ustadi swali la mwanafunzi mdogo aliyeuliza kama...

IDHAA YA DUNIA

Tetesi za Usajili Ulaya Jumamosi: Ronaldo kuuzwa kwa £43m

February 7, 2026 mjombazecoder

Ligi Kuu ya Saudi Arabia iko tayari kumuuza Cristiano Ronaldo kwa pauni milioni 43, Chelsea inawania saini ya Dusan Vlahovic ikipambana na Tottenham, huku Sergio Ramos akielekea Marseille.

HABARI ZA KIPEKEE

Trump anakabiliwa na tuhuma za ubaguzi wa rangi baada ya kuchapisha video inayomuonyesha Obama na mkewe kama nyani

February 7, 2026 mjombazecoder

Rais wa Marekani, Donald Trump, alizua hasira katika duru za kisiasa baada ya kurusha mkanda wa video kwenye jukwaa lake la "Truth Social" akitangaza nadharia za njama za uchaguzi ikiwa…

Posts pagination

1 … 85 86 87 … 645

Recent Posts

  • Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi
  • Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons
  • Kocha Laizer aweka mikakati Fountain
  • Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?
  • Iran: Alireza Arafi ateuliwa kuongoza mpito baada ya kifo cha Khamenei

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

HABARILEO

Prof Shemdoe aagiza watumishi 14 Muheza kusimamishwa kazi

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Shadrack Nsajigwa apania Tanzania Prisons

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANASPOTI

Kocha Laizer aweka mikakati Fountain

March 1, 2026 mjombazecoder
IDHAA YA DUNIA

Je, nchi za Afrika zitaathirikaje na vita vya Mashariki ya Kati?

March 1, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS