CCM yahitimisha kampeni Isimani, Chatanda atoa ahadi
IRINGA: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimehitimisha kampeni zake za uchaguzi mdogo wa Jimbo la Isimani kwa mkutano mkubwa wa hadhara uliofanyika Migoli, huku viongozi wa chama wakionesha imani kubwa ya…
WFP yatafuta suluhisho changamoto ya chakula, lishe Tanzania
Shindano hilo lililopewa jina la Ignite linaangazia maeneo mawili muhimu: suluhisho za matumizi...
Simba yatwaa kibabe ubingwa WPL
Simba imejihakikishia ubingwa huo baada ya kuichapa Mashujaa mabao 5-2.
Simba yatangazwa mabingwa WPL
HATIMAYE Simba Queens imeipokonya JKT Queens ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake leo baada ya kuitandika Mashujaa Queens mabao 5-2 kwenye mechi ya raundi ya 20 iliyopigwa Uwanja wa KMC…
Meli ya kwanza ya kimataifa yashusha mafuta Zanzibar
Kwa mara ya kwanza meli ya kimataifa ya mafuta kutoka Saudia Arabia imeshusha petroli, dizeli...
Kocha Serengeti Boys aanza mikwara
KOCHA wa Serengeti Boys, Elieneza Nsanganzelu, anaamini kikosi chake kina uwezo wa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya umri wa miaka 17, watakapomenyana na…
Kiwango cha Karabaka chazua vikao
KUNA taarifa za ndani za Simba kufanya mazungumzo na winga anayecheza JKT Tanzania kwa mkopo, Salehe Karabaka baada ya kuonyesha kiwango cha juu kulichoivutia klabu hiyo na kuhitaji huduma yake…
Dk Mwigulu aeleza Serikali inavyopambania soko la nje mazao ya biashara
Amesema jitihada zinaendelea kuhakikisha bei zisizidi kushuka zaidi ya viwango hadi wakulima...
UNDP itakavyoviwezesha vyuo 10 Tanzania
Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) Tanzania, limeingia makubaliano na taasisi kumi...
Tanzania’s dairy farming gains formal markets as it supports 1.3 million households
IRINGA: More smallholder dairy farmers in Tanzania are gaining access to formal markets, improved milk handling infrastructure, and better dairy services as partnerships across the sector continue to expand ahead…
Kwa nini Trump anatapatapa kati ya vitisho na makubaliano?
CNN imesema katika ripoti kwamba: "Serikali ya Marekani huchanganyikiwa linapokuja suala la nyuklia la Iran." Katika kipindi cha wiki kadhaa zilizopita, Rais Donald Trump wa Marekani amebadilisha misimamo yake mara…
Dk Samizi ahimiza wanafunzi kusaidiwa taulo za kike wasiache shule
Naibu Waziri wa Afya, Dk Florence Samizi amesema zaidi ya asilimia 27 ya watoto wa kike...
Ligi ya Wanawake kupisha kalenda ya FiIFA
LIGI Kuu ya Wanawake Tanzania Bara imesogezwa mbele ili kupisha kalenda ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye michuano ya kimataifa ya Three Nations Tournament itakayofanyika kuanzia Juni 1 hadi…
Why More African Traders Are Turning to Gold and Silver in 2026
Trading activity continues to expand across Africa, with more and more participants exploring global financial markets to explore the intricacies of income generation, portfolio diversification, and analytical skills. One clear…
JKT Queens kufumua kikosi
JKT Queens imeanza mipango ya kufanya maboresho makubwa ya kikosi kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo msimu…
UDSM- Iranian Centre gala touts for arts education in promoting cultural heritage
DAR ES SALAAM: TANZANIAN youth have been encouraged to pursue arts education as it plays a significant role in promoting the country, creating employment opportunities, and strengthening cultural relations with…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Kamanda wa cheo cha juu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) anasema Rais wa Marekani, Donald Trump, hana chaguo zuri kuhusu Iran na anapaswa kuchagua kati ya…
Hammel aona mwanga Tausi
KOCHA mkuu wa Tausi FC, Martin Hammel amesema bado ana matumaini makubwa ya timu hiyo kubaki kwenye Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu licha ya changamoto walizokutana nazo tangu mwanzoni…
Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu
Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya…
Ceasiaa ina kazi kujinasua kushuka
KOCHA mkuu wa Cesiaa FC, Sultan Juma amesema timu hiyo bado haijawa salama kwenye mbio za kusalia Ligi Kuu ya Wanawake na italazimika kupambana katika mechi mbili zilizobaki ili kujihakikishia…
Simulizi la Wall Street Journal kuhusu vita vya Marekani dhidi ya Iran: Ni ushindi wa kimaonyesho wa Trump au kushindwa halisi?
Mhariri mkuu wa Wall Street Journal amesema: "Trump analazimika kudhihirisha kushindwa kwake mbele ya Iran kama ushindi ili kulinda sura na hadhi yake."
Waziri wa Israeli Ben-Gvir amhimiza Netanyahu ‘kusawazisha vitongoji vya Beirut na ardhi’
Waziri anayejiita wa usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amemtaka Waziri Mkuu wa utawaka huo katili, Benjamin Netanyahu, kusawazisha na ardhi vitongoji vya mji mkuu wa Lebanon, Beirut huku utawala huo…
MSF yaonya: Mlipuko wa Ebola DR Congo ni wa kutisha sana
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeonya kwamba mlipuko wa Ebola katika Mkoa wa Ituri nchini Kongo DR unaenea kwa kasi kubwa zaidi kuliko juhudi za kukabiliana na ugonjwa…
AfDB, ASSA kuimarisha uwekezaji wa mifuko ya hifadhi ya jamii Afrika
Makubaliano hayo yalitiwa saini Mei 28, 2026 pembeni mwa mikutano ya mwaka ya kundi la Benki ya...
Kutana na baba mzazi wa Pep Guardiola, Valenti Guardiola
Valenti Guardiola, bapa wa Pep Guardiola, anajulikana kwa kukwepa umaarufu. Hii ni kuhusu uhusiano wao na kichocheo nyuma ya mafanikio ya Pep kwenye soka.
Kutata na baba mzazi wa Pep Guardiola, Valenti Guardiola
Valenti Guardiola, bapa wa Pep Guardiola, anajulikana kwa kukwepa umaarufu. Hii ni kuhusu uhusiano wao na kichocheo nyuma ya mafanikio ya Pep kwenye soka.
Arsenal, Man United zamuwania kiungo Mtanzania
TIMU za wanawake za Arsenal na Manchester United zimeanza kufuatilia huduma ya kiungo mshambuliaji wa RB Leipzig ya Ujerumani, Lisa Baum ambaye ana asili ya Tanzania na Ujerumani.
Mabula afunguka siri ya mitoko yake, amtaja Kounde
KAMA kuna jambo ambalo limekuwa likivutia macho ya mashabiki wa soka kila wakati wachezaji wa Timu ya Taifa, Taifa Stars wanapoingia kambini, basi ni namna kiungo wa Shamakhi FC ya…
Allarakhia amfariji Mnoga kuikosa League One
LICHA ya ndoto ya beki wa Kitanzania, Haji Mnoga ya kuipandisha Salford City kucheza League One kugonga mwamba, bado ameendelea kupata sapoti kutoka kwa nyota mwenzake wa Tanzania anayekipiga England,…
Mpanja aumizwa kuukosa ubingwa Uganda
Kiungo mshambuliaji wa Kitanzania anayekipiga katika klabu ya She Corporate FC ya Uganda, Husna Mpanja, amesema anaamini muda wake wa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini humo utafika…
Kigogo Barberian FC ala kiapo
MAKAMU Mwenyekiti wa Barberian FC, Robert Munis amesema hatoondoka katika timu hiyo hata kama itashuka daraja na kwenda kushiriki Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao, licha ya presha kubwa iliyopo…
Barnabas afichua jambo Transit Camp
KOCHA wa Transit Camp, Vicent Barnabas amesema makosa binafsi wanayoyafanya katika mechi mbalimbali ndiyo yanayochangia mwenendo usioridhisha kwa kikosi hicho cha maafande msimu huu, japo wataendelea kuonyesha ushindani kwa wapinzani…
Uzoefu waiponza Hausung FC
KOCHA Mkuu wa Hausung FC ya Njombe, Selemani Kitunda Simota 'Guardiola' amesema sababu ya timu hiyo kufanya vibaya hadi sasa katika Ligi ya Championship ni kutokana na kukosa wachezaji wazoefu,…
Tuzo za Samia Kalamu 2026 zazinduliwa, vigezo…
Dirisha la msimu wa pili wa tuzo za uandishi wa habari za 'Samia Kalamu Awards 2026'...
Ng’ondya aanza tambo Geita Gold
KIUNGO mshambuliaji wa Geita Gold, Richardson Ng'ondya amesema licha ya ushindani mkubwa wa wapinzani wao hadi sasa, ila timu hiyo ina nafasi ya kurejea Ligi Kuu, kutokana na ushirikiano wa…
Mechi tatu za kimkakati Mbeya Kwanza
KOCHA Mkuu wa Mbeya Kwanza, Maka Mwalwisi amesema mechi tatu za mwisho ndizo zitakazoamua hatima ya kikosi hicho msimu huu, japo kuna mikakati mizuri aliyoweka na wachezaji wa timu hiyo…
Zay B afariki dunia, kuzikwa leo Kinyerezi
Tasnia ya muziki nchini imepata pigo kufuatia kifo cha msanii mkongwe wa Hip Hop na Bongo...
‘Taasisi imara msingi ukuaji wa uchumi Afrika’
Hata hivyo, kupitia uwekezaji wa kimkakati na mageuzi ya muda mrefu, imekua na kuwa miongoni...
Mtoto akatwa mkono baada ya kupigwa shoti ya umeme Dodoma
Mbali na kupoteza mkono, mtoto huyo ameungua sehemu mbalimbali za mwili kuanzia miguuni hadi...
Waziri Kapinga aagiza utekelezaji kukuza Soko la Mbolea hai
Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, amezitaka taasisi zilizohusika katika utiaji...
Shule mpya Kwa Sadala kuokoa maisha ya wanafunzi, yaleta matumaini
Kukosekana kwa shule hiyo iliyogharimu zaidi ya Sh351.5 milioni, kulikuwa kukihatarisha maisha...
Tume ya Mipango yabainisha vipaumbele 12, mikakati ya utekelezaji Dira 2050
Akizungumza na vyombo vya habari, Profesa Kitila amezitaja sekta za kipaumbele ni pamoja na...
Mkasa Utumishi Girls’: DCI wawatambua wanafunzi 7 waliosababisha moto wa mauti shuleni
DCI yaripoti ufanisi katika uchunguzi wa moto wa Shule ya Wasichana ya Utumishi, ikitambua wanafunzi saba waliohusika katika tukio la kusikitisha lililowaua 16.