KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…”
KUTOKA ANGOLA: “Mazoezi ya leo ndio mazoezi ya mechi kabisa…” Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally, alipozungumza jana na mwandishi wa #AzamTV @mangasore_ ambapo amebainisha kuwa mazoezi…
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Lukman Mohamed Abdallah anasema mwaka jana hakufanya vizuri kwenye mashindano ya #vishada, mwaka huu …
ZANZIBAR CUP KASKAZI 2026: Lukman Mohamed Abdallah anasema mwaka jana hakufanya vizuri kwenye mashindano ya #vishada, mwaka huu sasa amepania haswa. Uhondo unaanza kesho Februari 7. Mashindano yatakayoanza ni ya…
Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania waliomaliza muda wao wa kuhudumu katika operesheni ya kulinda amani nchini Sudan K…
Maafisa na askari wa Jeshi la Polisi Tanzania waliomaliza muda wao wa kuhudumu katika operesheni ya kulinda amani nchini Sudan Kusini wamevishwa nishani katika gwaride maalum, ikiwa ni kutambua mchango…
Huyu ni Abdulkarim Mahadhi, kijana aliyebuni mashine ya mazoezi isiyotumia umeme
Huyu ni Abdulkarim Mahadhi, kijana aliyebuni mashine ya mazoezi isiyotumia umeme. Amesema ubunifu wake wa kutengeneza mashine hiyo umetokana na changamoto alizoziona katika matumizi ya mashine za kisasa, hususan gharama…
Trump atoa wito wa mkataba mpya wa kudhibiti silaha za nyuklia badala ya kuongeza muda wa New START
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito wa mkataba mpya kufuatia kumalizika muda kwa mkataba wa kudhibiti silaha za nyuklia wa New START na Urusi.
KUTOKA MOROCCO: Mkuu wa msafara Yanga SC, Rogers Gumbo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa timu hiyo amesema maandaliz…
KUTOKA MOROCCO: Mkuu wa msafara Yanga SC, Rogers Gumbo ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa timu hiyo amesema maandalizi kuelekea mchezo wa hapo kesho dhidi ya AS…
Rais wa Jamuhuri ya Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuwasili nchini kwa ziara ya siku moja ya kikazi
Rais wa Jamuhuri ya Uganda, Yoweri Museveni anatarajia kuwasili nchini kwa ziara ya siku moja ya kikazi. Rais Museveni atawasili keaho Jumamosi Januari 7,2026 na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake,…
YANGA SC vs AS FAR: “Cha kwanza ni kujilinda…”
YANGA SC vs AS FAR: “Cha kwanza ni kujilinda…” Mchambuzi wa soka, @lilianmukulu_ amesema jambo muhimu katika mchezo wa kesho Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) kwa Yanga SC watakapokuwa wanacheza…
Vifo vinavyotokana na theluji nchini Japani vyaongezeka hadi 42
Idara ya Moto na Usimamizi wa Majanga nchini Japani inasema watu 42 wamefariki katika matukio yanayohusiana na hali mbaya za msimu wa baridi kali na theluji nyingi nchini humo tangu…
Faida ya uendeshaji ya Mitsubishi Motors na Suzuki Motor yapungua mwezi Aprili hadi Desemba
Kampuni ya magari ya Mitsubishi Motors ilipata hasara halisi ya yeni bilioni 4.4, au takriban dola milioni 28 kwa kipindi cha miezi tisa hadi mwezi Desemba mwaka jana, huku ushuru…
Maonyesho ya magari yaangaziwa zaidi Indonesia, magari ya umeme ya China ni maarufu
Maonyesho ya kimataifa ya magari yalianza Februari 5 nchini Indonesia, ambako mauzo ya magari ya umeme yanaongezeka kwa kasi na watengenezaji magari wa China wataangaziwa mno wakati wa maonyesho hayo.
India yaongeza kodi ya tumbaku, huenda ikasababisha kupotea kwa ajira
India imeongeza kodi kwenye sigara na bidhaa za tumbaku, ikiongeza kiwango cha msingi cha kodi kutoka asilimia 28 hadi asilimia 40 kuanzia mwezi huu.
Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa kufuatia mazungumzo ya pande tatu
Maafisa waandamizi kutoka Ukraine, Urusi na Marekani wamekutana kwa ajili ya awamu nyingine ya mazungumzo ya kukomesha mapigano. Wamesema walibadilishana wafungwa 157 kutoka Ukraine na 157 kutoka Urusi baada ya…
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran kufanyika nchini Oman
Maafisa waandamizi wa Marekani na Iran wanajiandaa kufanya mazungumzo nchini Oman Februari 6 kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Swali kuu ni ikiwa duru hii ya mazungumzo itasababisha kupungua kwa…
Trump kukutana na Takaichi katika Ikulu ya Marekani mwezi Machi
Rais wa Marekani Donald Trump anasema atafanya mkutano na Waziri Mkuu wa Japani Takaichi Sanae jijini Washington mwezi ujao.
Msamaria mwema ampa ardhi jamaa aliyeachiliwa kutoka jela baada ya nyanya yake kumsingizia kosa
Akiwa na umri wa miaka 19 tu, Edwin Gathigi anabadilisha maisha yake baada ya kuachiliwa huru kutoka gerezani. Gundua safari yake ya umiliki wa ardhi na matarajio
Baba Mzazi wa mchezaji wa Kakamega Homeboyz anayedaiwa kuuawa na kakake asimulia tukio la kutisha
Mchezaji wa Kakamega Homeboyz Silas Abungana alifariki kufuatia mzozo na mdogo wake. Mashabiki na familia yake wanaomboleza kifo chake na wanakumbuka kipaji chake.
Mechi za mahesabu Ligi Kuu Bara
Leo Ijumaa, kuna mechi mbili za Ligi Kuu Bara zinapigwa zikikutanisha timu ambazo hazina...
Ocean Road yajivunia mafanikio ya utoaji huduma kwa miaka 30
Mpaka sasa ORCI imeikisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake na katika maadhimisha hayo...
Araghchi: Iran inaingia kwenye mazungumzo ‘ikiwa makini’
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema Tehran inaingia katika duru mpya ya mazungmzo ya kidiplomasia na Marekani ikiwa hadhiri, makini kabisa na "kwa macho yaliyo…
Mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi hii
Mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika wikiendi hii. Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii. #CAFCL #AzamTVSports
Euro-Med Monitor: EU ni mshiriki wa mauaji ya kimbari Gaza
Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Mediteranean Human Rights Monitor (Euro-Med Monitor) lenye makao yake makuu huko Geneva, Uswisi limekosoa vikali msimamo wa Umoja wa Ulaya kwa kuweka masharti…
AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria
Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na nchi mbali mbali duniani sambamba na kutoa salamu za rambirambi, zimelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu wasiopungua 170 magharibi mwa Nigeria.
Trump apinga wito wa Putin wa kurefusha muda wa Mkataba wa New START
Rais wa Marekani, Donald Trump amepinga pendekezo la Rais wa Russia, Vladimir Putin la kuongezwa kwa khiari muda wa Mkataba wa New START, unaoweka mipaka ya silaha za nyuklia, ambao…
HRW: Hali ya haki za binadamu Kenya imeendelea kutia wasiwasi
Ripoti mpya ya shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) inaonyesha kuwa, hali ya haki za binadamu nchini Kenya ilidorora mwaka uliopita, huku serikali ikikosolewa vikali…
Wanafunzi CBE, IAA kujengewa uwezo unaokidhi soko la ajira kimataifa
Ushirikiano huo unatambua maendeleo ya Tanzania yanayohitaji wahitimu wenye uwezo wa kutumia...
Mkutano muhimu wa madini Washington: Ni mambo gani muhimu ya kuzingatia kwa DRC?
Mkutano wa mawaziri kuhusu madini muhimu na ardhi adimu ulifanyika Washington Jumatano, Februari 4. Lengo la Trump lililotajwa: kushindana na China na kupata madii hayo. Mapema wiki hii, rais wa…
Tabora yapokea vifaa vya Sh25 milioni kuboresha tathmini ya lishe kwa vijana
Serikali ya Mkoa wa Tabora imepokea vifaa vya kufanyia tathmini ya hali ya lishe kwa vijana...
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 6, 2026 kwenye
Mapitio ya #MAGAZETI leo Februari 6, 2026 kwenye #Moorning Trumpet #UTV108 #AzamTVUpdates
Sudan Kusini: Save the Children yasitisha shughuli zake mashariki mwa nchi
Baada ya Shirik la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani, Save the Children pia imesitisha shughuli zake mashariki mwa Sudan Kusini, kuanzia siku ya Alhamisi. Shirika hilo lisilo…
China yaimarisha uhusiano wa biashara na Afrika Kusini
Kutokana na sera ngumu za biashara za Marekani, Pretoria inaharakisha mpango wake kuelekea Beijing. Afrika Kusini inajiandaa kusaini makubaliano na China kutoa ufikiaji usiotozwa ushuru kwa baadhi ya bidhaa zake…
Mtwapa: CCTV yaonyesha tukio la kutisha mfanyabiashara akihangaishwa na majambazi 2:30am
Picha za CCTV zinaonyesha tukio la kutisha ambapo mfanyabiashara eneo la Mtwapa alikabiliana na majambazi wenye silaha majira ya 2:30am. Alipiga nduru.
Marekani na Iran waanza mazungumzo nchini Oman huku kukiwa na muktadha wa kisiasa wenye mvutano
Iran na Marekani zinaanza mazungumzo nchini Oman mnamo Februari 6 ambapo Tehran inataka kupunguza asilimia kidogo kwa mpango wake wa nyuklia, huku Washington ikiacha wazi tishio la hatua za kijeshi…
Mtaalamu Kuhusu nyoka ataja ishara 4 zitakazokwambia nyoka anaishi nawe kisiri ndani ya nyumba
Dk. Mark Ofua amefichua ishara nne utakazoangalia kufahamu ikiwa nyoka amejificha ndani ya nyumba yako. Hali yao ya ukimya huenda ukaishi naye muda mrefu bila kujua
KONA YA MSTAAFU: Watoto, vijana, wanawake wamepata wizara, wastaafu wamesahaulika
Miongoni mwa wizara nyingi ambazo Seri-kali yetu hii imeunda ili kuisaidia nchi kupiga hatua...
Taka za kielektroniki hatari iliyojificha kwa afya ya jamii
Utafiti wa Mwananchi umebaini kuwa jamii haina uelewa wa kutosha kuhusu madhara ya taka za...
KONA YA MSTAAFU: Watoto, vijana, wanawake wamepatawizara, wastaafu wamesahaulika
Miongoni mwa wizara nyingi ambazo Seri-kali yetu hii imeunda ili kuisaidia nchi kupiga hatua...
Fujo ODM: Ruth Odinga aashiria Oburu hana pesa, ashangaa chanzo cha fedha za kampeni ya Linda Ground
Migogoro inazidi kuongezeka katika ODM huku Ruth Odinga akitetea maoni ya Katibu Mkuu Sifuna kuhusu MoU na Ruto, akihoji vyanzo vya ufadhili wa mikutano ya chama.
Ghana: Meli za uvuvi za viwandani zinahatarisha wavuvi wa eneo hilo, kulingana na ripoti
Nchini Ghana, shughuli za meli za uvuvi, zinazoendeshwa zaidi na makampuni ya Kichina, zinahatarisha wavuvi wa jadi, kulingana na ripoti ya Wakfu wa Haki za Mazingira. Tatizo hili linatokana hasa…
Kwa nini bei Bitcoin imeporomoka tangu Trump aliporejea madarakani?
Thamani ya sarafu hiyo ilipanda kwa kiwango kikubwa huku bei yake ikiongezeka na kufikia takriban dola 122,200 Oktoba. lakini sasa bei yak e inashuka kwa kiwango cha kushangaza.
Niger: JNIM yadai kuhusika na shambulio katika mkoa wa Tillabéri
Nchini Niger, kuna shambulio lilitokea katika mkoa wa TillabĂ©ri siku ya Jumatano, Februari 4. Washambuliaji walilenga kambi ya vikosi vya ulinzi na usalama vya Niger huko Makalondi, kilomita 90 kutoka…
Burkina Faso: Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa UM akosoa kuvunjwa kwa vyama vya siasa
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imejibu kuhusu kufutwa kwa vyama vya siasa nchini Burkina Faso, uamuzi uliofanywa na utawala wa kijeshi unaotawala. Katika…
Congo-Brazzaville: Denis Sassou-Nguesso atangaza kugombea katika uchaguzi wa urais
Rais wa Congo anayemaliza muda wake Denis Sassou-Nguesso, 82, atagombea tena uchaguzi wa Machi 15. Ametangaza kugombea kwake mwenyewe siku ya Alhamisi, Februari 5, huko Bambou Mingali, yapata kilomita 60…
Mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuanza Oman
Marekani na Iran zinakutana Ijumaa mjini Muscat nchini Oman kwa mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran. Ajenda kamili ya mkutano huo haijabainika bado, lakini Iran inataka vikwazo vijadiliwe.
Paul Kagame ajibu vitisho vya vikwazo vya kimataifa dhidi ya Rwanda
Rwanda imefungua Mazungumzo yake ya kitaifa siku ya Alhamisi, Februari 5, jukwaa linalofanyika kila baada ya miaka miwili. Katika sherehe ya ufunguzi, Rais Paul Kagame, katika hotuba yake kwa taifa,…
Wagonjwa wanavyoteseka vitengo vya dharura hospitalini
Ni dakika za kuhesabu uhai. Umempeleka mgonjwa, amepata dharura au ajali, lakini wahudumu...
Siri za kiafya kwenye nywele za kwapa
Makala inajadili kwa undani faida za nywele za kwapa na kwa nini zinapaswa kutunzwa badala ya...
Tunaukaribishaje Mwezi Mtukufu wa Ramadhani?
Muislamu, ajitahidi kuukaribisha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa njia sahihi kama kuwa na nia ya...
Ujerumani kuimarisha mashirikiano ya ulinzi na nchi za Ghuba
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz ameahidi kushirikiana kwa karibu na nchi za Ghuba katika masuala ya ulinzi. Merz anaendelea na ziara yake ya kwanza katika eneo la Ghuba.