Skip to content
  • Mon. Mar 2nd, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar Yanga, Simba ngoma imelala Utendaji wamng’arisha DC Mbeya Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati
MWANASPOTI

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Yanga, Simba ngoma imelala

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Utendaji wamng’arisha DC Mbeya

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati

March 1, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
MWANASPOTI
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
Yanga, Simba ngoma imelala
MWANANCHI
Yanga, Simba ngoma imelala
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
MWANANCHI
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
MWANANCHI
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
Uncategorized
Muhammad Ali kuzikwa Ijumaa ya wiki hii
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Uncategorized
Kesi ya Kabila nchini DRC: Vyama vya kiraia ninadai makumi ya mabilioni ya dola kama didia
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Uncategorized
Watu kadhaa wajeruhiwa katika ndege ya Malaysia Airlines
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Uncategorized
Niger: Mvua na mafuriko yamesababisha vifo vya watu hamsini mwaka 2025
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
MWANASPOTI
Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
Yanga, Simba ngoma imelala
MWANANCHI
Yanga, Simba ngoma imelala
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
MWANANCHI
Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
MWANANCHI
Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
MWANANCHI

Pombe haramu zinavyoitafuna Tanzania

February 5, 2026 mjombazecoder

Utafiti mpya uliofanywa umebaini kuwa asilimia 61 ya pombe yote inayotumiwa nchini ni haramu...

MWANANCHI

Mbunge aliyeshindwa kuomba kura kwa kiingereza achaguliwa

February 5, 2026 mjombazecoder

Wabunge wamemaliza uchaguzi wao leo kwa kumchagua aliyepata shida ya kuzungumza lugha ya...

TZSPORTS

KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Yanga kikitoka hotelini kuelekea uwanjani kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa mchezo wa Ligi ya Mab…

February 5, 2026 mjombazecoder

KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Yanga kikitoka hotelini kuelekea uwanjani kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS FAR Jumamosi Februari 7, 2026.…

MWANANCHI

Wasira afunguka rushwa, amani, haki

February 5, 2026 mjombazecoder

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kuungana na kupambana na tatizo la rushwa na...

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wapendanao (Valentine’s Day) kwa namna ya kipekee kupitia Shindano la Ro…

February 5, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wapendanao (Valentine’s Day) kwa namna ya kipekee kupitia Shindano la Royal Love Challenge. Katika shindano hilo, wapendanao wanatakiwa kupakia picha zao kwenye…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Baraza Kuu la Waislamu wa Kenya limeonya kwamba hali ya ukame inayoshudiwa kwa sasa katika Kaunti 23 nchini Kenya imef…

February 5, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Baraza Kuu la Waislamu wa Kenya limeonya kwamba hali ya ukame inayoshudiwa kwa sasa katika Kaunti 23 nchini Kenya imefikia hali mbaya huku likiitaja kama dharura kamili ya kibinadamu,…

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Cha Mapinduzi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani, Lailah…

February 5, 2026 mjombazecoder

Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Cha Mapinduzi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani, Lailah Ngozi, amewataka Wana CCM kuendelea kulinda…

ASTV TANZANIA ITVBONGO

TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI05 2026 SPIKA WA BUNGE AKANUSHA BAADHI YA WABUNGE KUITWA TAKURURU

February 5, 2026 mjombazecoder

TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI05 2026 SPIKA WA BUNGE AKANUSHA BAADHI YA WABUNGE KUITWA TAKURURU (Feed generated with FetchRSS)

ASTV TANZANIA

#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBLI USIKU – 05/02/2026

February 5, 2026 mjombazecoder

#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBLI USIKU - 05/02/2026

TUKO SWAHILI NEWS

Nelson Havi amtoka William Ruto, ajiunga na kwaya ya DCP inayoongozwa na Rigathi Gachagua

February 5, 2026 mjombazecoder

Nelson Havi kuhamia Democracy for the Citizens Party (DCP) cha Rigathi Gachagua kunabadilisha mkondo wa siasa za Nairobi kuelekea 2027. Anasaka kiti cha Westlands

ASTV TANZANIA ITVBONGO

#HABARI: Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe

February 5, 2026 mjombazecoder

#HABARI: Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulidi, amewataka wananchi kupuuza chokochoko za watu wanaoishi nje ya nchi wanaolenga kuvuruga amani na utulivu uliopo nchini. Akizungumza katika…

MWANANCHI

Dk Jingu awafunda maofisa habari wa Serikali

February 5, 2026 mjombazecoder

Maofisa Habari na Mawasiliano serikalini wametakiwa kutumia majukwaa mbalimbali ikiwemo...

TUKO SWAHILI NEWS

Naibu Gavana Homa Bay ajitupa ulingoni kusaka ugavana, asema mara hii Wanga atamtambua: “Tutalimana”

February 5, 2026 mjombazecoder

Naibu gavana wa Homa Bay Oyugi Magwanga ametangaza azma yake ya kuwagombea ugavana 2027 huku mvutano kati yake na Gavana Gladys Wanga ukipamba moto.

TRT SWAHILI

CCM yaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa

February 5, 2026 mjombazecoder

Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania chaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa kwake.

DW SWAHILI

Ujerumani yataka kuimarisha mahusiano na nchi za Guba

February 5, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anataka mahusiano ya nchi yake na Saudi Arabia kuwa katika kiwango kipya, baada ya kufanya ziara ya masaa mawili na nusu mjini Riyadh na kuzungumza…

TUKO SWAHILI NEWS

Moses Ledama Sunkuli: IEBC Yamteua kaimu Afisa Mkuu Mtendaji baada ya kujiuzulu kwa Marjan

February 5, 2026 mjombazecoder

IEBC Yamteua Moses Ledama Sunkuli kama kaimu Mkurugenzi Mtendaji kufuatia kuondoka kwa Hussein Marjan, huku tume ikianza kutafuta mkuu wa kudumu.

MWANANCHI

Nape: Tusimung’unye maneno bila utu CCM itaondoka

February 5, 2026 mjombazecoder

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Vita Sudan: Njaa yatishia kuenea magharibi mwa nchi, kulingana na wataalamu walioagizwa na UM

February 5, 2026 mjombazecoder

Wataalamu walioagizwa na Umoja wa Mataifa wameonya mnamo Februari 5, 2025, kwamba njaa inatishia kuenea katika maeneo mawili mapya magharibi mwa Sudan, kufuatia El-Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kuanguka…

TUKO SWAHILI NEWS

Johnson Muthama amlilia mwanawe kwa uchungu mwingi: “Ametuacha mapema mno”

February 5, 2026 mjombazecoder

Kamishna wa Tume ya Huduma za Bunge Johnson Muthama aliomboleza kifo cha mwanawe, Moses Nduya, na kusababisha wimbi la rambirambi kutoka kwa Wakenya.

MWANANCHI

Maofisa TFS kupewa mbinu kukomesha uvunaji haramu wa mikoko

February 5, 2026 mjombazecoder

Maofisa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wa kanda za Kusini, Mashariki na Kaskazini...

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Ufaransa: Watu wanaoshukiwa kuwa maafisa wa China wakamatwa na kufunguliwa mashitaka

February 5, 2026 mjombazecoder

Watu wanne, wakiwemo raia wawili wa China, wameshtakiwa leo Alhamisi, Februari 5, kufuatia kukamatwa kwao kusini-magharibi mwa Ufaransa. Wanashukiwa kujaribu kusambaza taarifa za kijeshi kwa mamlaka ya China. Imechapishwa: 05/02/2026…

LTV ENGLISH NEWS Uncategorized

State issues reminder on clean cooking drive

February 5, 2026 mjombazecoder

Dodoma: The government has reminded institutions that feed more than 100 people and have not yet adopted clean cooking technologies to do so immediately in order to advance the country’s…

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…

February 5, 2026 mjombazecoder

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaasa…

MWANANCHI

Miundombinu mibovu yakwamisha ujenzi wa vyoo shule za Mchinga

February 5, 2026 mjombazecoder

Wakati Serikali ikiendelea kusisitiza msimamo wake mkali juu ya uwajibikaji na uadilifu wa...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa KMC, Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kuf…

February 5, 2026 mjombazecoder

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa KMC, Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za…

IDHAA YA DUNIA RFI SWAHILI

Sudan kusini yamteua mtu aliyefariki miaka mitano iliyopoita kwa maaandalizi ya chaguzi zijao

February 5, 2026 mjombazecoder

Mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita ameteuliwa katika kamati iliyopewa jukumu la kuandaa uchaguzi nchini Sudan Kusini, na kusababisha kejeli nyingi kwenye mitandao ya kijamii na kuilazimisha serikali kuomba radhi. Rais…

MWANASPOTI

Amri Kiemba achambua balaa la Buba Jammeh, aikumbusha haya Yanga kuepuka mtego wa Far Rabat, silaha!

February 5, 2026 mjombazecoder

Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…

MWANANCHI

Serikali yakata rufaa kupinga hukumu ya Jerry Silaa, wenzake kulipa Sh3 bilioni

February 5, 2026 mjombazecoder

Serikali imekimbilia Mahakama ya Rufani kupinga hukumu ya Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi...

MWANASPOTI

Mwili wa Ally Star waswaliwa nyumbani Kilosa, kuzikwa Mkwatani

February 5, 2026 mjombazecoder

Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…

DW SWAHILI

Je, Afrika itanufaika na kupanda kwa bei za dhahabu?

February 5, 2026 mjombazecoder

Kupanda kwa kasi kwa bei ya dhahabu duniani kumezifanya nchi nyingi barani Afrika, zinazochimba madini hayo, kujaribu kunufaika na fursa hiyo.

TZSPORTS

CAFCC: Tazama ‘kispika’ cha mashabiki wa Azam FC kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya AS Maniema

February 5, 2026 mjombazecoder

CAFCC: Tazama ‘kispika’ cha mashabiki wa Azam FC kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya AS Maniema. Kispika kimepigwa ndani ya studio za Azam TV. Mechi hiyo…

MWANANCHI

Wasanii wapewa kibarua kutetea haki za watoto, Sauti za Busara

February 5, 2026 mjombazecoder

Hatimaye leo Februari 5,2026 pazia la tamasha la Sauti za Busara, linalokutanisha wasanii zaidi...

LTV ENGLISH NEWS

Strategic project drives Tanzania’s digital inclusivity agenda

February 5, 2026 mjombazecoder

DODOMA: As the National Development Vision 2050 targets having over 80 per cent of government services accessed through secure, inclusive and user-friendly digital platforms within the next 25 years, the…

DW SWAHILI

Mwanawe gaddafi kuzikwa Ijumaa kusini mwa Tripoli

February 5, 2026 mjombazecoder

Seif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi atazikwa kesho Ijumaa katika mji mmoja kusini mwa Tripoli ambao bado ni mtiifu kwa familia ya Gaddafi.

DW SWAHILI

Jeshi la Marekani na Urusi kuanzisha tena mawasiliano

February 5, 2026 mjombazecoder

Jeshi la Marekani limesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kuanzisha tena mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya majeshi yao.

TZSPORTS

CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja”

February 5, 2026 mjombazecoder

CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja” Katibu wa Mashabiki wa Azam FC, Ahmed Jobenyo ametoa wito kwa mashabiki wa timu hiyo kuwasiliana nae ili kupata maelekezo ya namna gani wanaweza kwenda…

DW SWAHILI

Ukosefu wa chakula waenea El-Fasher huku makamanda wa RSF wa

February 5, 2026 mjombazecoder

Ukosefu wa chakula unaenea katika maeneo mawili zaidi ya jimbo la Darfur Kaskazini huko Sudan.

MWANASPOTI

Simba kumenoga! Kiungo huyu kubaki Msimbazi au kuondoka

February 5, 2026 mjombazecoder

Soma hapa

DW SWAHILI

Mazungumzo ya Abu Dhabi yaendelea kwa kusuasua

February 5, 2026 mjombazecoder

Mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, yanayosimamiwa na Marekani, yameendelea kwa siku ya pili leo katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Abu Dhabi.

TZSPORTS

ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian …

February 5, 2026 mjombazecoder

ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian vema na sekta binafsi kuhakikisha inautangaza mchezo wa vishada na kuimarisha mfumo…

ASTV TANZANIA

Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa…

February 5, 2026 mjombazecoder

Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wa kuuza sehemu ya akiba…

MWANASPOTI

Kigogo afichua yanayoendelea Simba

February 5, 2026 mjombazecoder

Soma hapa

MWANANCHI

Upatikanaji chenji za Sh100, Sh200 kunavyowatesa wafanyabiashara

February 5, 2026 mjombazecoder

Huko mtaani kumekuwa na malalamiko kuhusu upatikanaji wa sarafu za Sh100 na Sh200, hali...

MWANANCHI

Sababu kukithiri kero ya foleni External Dar

February 5, 2026 mjombazecoder

Wananchi na madereva wanaotumia barabara eneo la External jijini Dar es Salaam wamelalamika...

MWANASPOTI

Yanga yamzuia straika wa Waarabu kucheza

February 5, 2026 mjombazecoder

Soma hapa

DW SWAHILI

Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa

February 5, 2026 mjombazecoder

Ukraine na Urusi zimebadilishana zaidi ya wafungwa 300 leo kufuatia mazungumzo huko Abu Dhabi.

TZSPORTS

TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kw…

February 5, 2026 mjombazecoder

TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kwa ajili ya kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa NBC Premier…

DW SWAHILI

Kansela Merz aitaka Iran iwe na nia ya kupata mwafaka Oman

February 5, 2026 mjombazecoder

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz Alhamis amepuuzilia mbali ukosoaji mkali kutoka kwa waziri wa mambo ya kigeni wa Iran, akisema hilo linaonesha wasiwasi ilionao Tehran.

MWANANCHI

Serikali kuboresha mtandao wa simu intaneti eneo la Kariakoo

February 5, 2026 mjombazecoder

Wakati wachuuzi katika soko la Kariakoo na wafanyabiashara wakipaza sauti zao kutaka maboresho...

HABARI ZA KIPEKEE

Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi

February 5, 2026 mjombazecoder

Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia…

Posts pagination

1 … 92 93 94 … 645

Recent Posts

  • Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar
  • Yanga, Simba ngoma imelala
  • Utendaji wamng’arisha DC Mbeya
  • Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini
  • Tanzania, Afrika itakavyoathirika na mzozo Mashariki ya Kati

Recent Comments

No comments to show.

Archives

  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

MWANASPOTI

Yanga, Simba zashindwa kutambiana Zanzibar

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Yanga, Simba ngoma imelala

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Utendaji wamng’arisha DC Mbeya

March 1, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Rais Mwinyi ahimiza amani na mshikamano nchini

March 1, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS