Pombe haramu zinavyoitafuna Tanzania
Utafiti mpya uliofanywa umebaini kuwa asilimia 61 ya pombe yote inayotumiwa nchini ni haramu...
Mbunge aliyeshindwa kuomba kura kwa kiingereza achaguliwa
Wabunge wamemaliza uchaguzi wao leo kwa kumchagua aliyepata shida ya kuzungumza lugha ya...
KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Yanga kikitoka hotelini kuelekea uwanjani kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa mchezo wa Ligi ya Mab…
KUTOKA MOROCCO: Kikosi cha Yanga kikitoka hotelini kuelekea uwanjani kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kwa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS FAR Jumamosi Februari 7, 2026.…
Wasira afunguka rushwa, amani, haki
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kuungana na kupambana na tatizo la rushwa na...
#HABARI: Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wapendanao (Valentine’s Day) kwa namna ya kipekee kupitia Shindano la Ro…
#HABARI: Mkoa wa Manyara unatarajia kuadhimisha Siku ya Wapendanao (Valentine’s Day) kwa namna ya kipekee kupitia Shindano la Royal Love Challenge. Katika shindano hilo, wapendanao wanatakiwa kupakia picha zao kwenye…
#HABARI: Baraza Kuu la Waislamu wa Kenya limeonya kwamba hali ya ukame inayoshudiwa kwa sasa katika Kaunti 23 nchini Kenya imef…
#HABARI: Baraza Kuu la Waislamu wa Kenya limeonya kwamba hali ya ukame inayoshudiwa kwa sasa katika Kaunti 23 nchini Kenya imefikia hali mbaya huku likiitaja kama dharura kamili ya kibinadamu,…
Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Cha Mapinduzi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani, Lailah…
Katika kuadhimisha miaka 49 ya Chama Cha Cha Mapinduzi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa CCM Mkoa wa Pwani, Lailah Ngozi, amewataka Wana CCM kuendelea kulinda…
TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI05 2026 SPIKA WA BUNGE AKANUSHA BAADHI YA WABUNGE KUITWA TAKURURU
TAARIFA YAHABARI SAA MBILI FEBRUARI05 2026 SPIKA WA BUNGE AKANUSHA BAADHI YA WABUNGE KUITWA TAKURURU (Feed generated with FetchRSS)
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBLI USIKU – 05/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA SAA MBLI USIKU - 05/02/2026
Nelson Havi amtoka William Ruto, ajiunga na kwaya ya DCP inayoongozwa na Rigathi Gachagua
Nelson Havi kuhamia Democracy for the Citizens Party (DCP) cha Rigathi Gachagua kunabadilisha mkondo wa siasa za Nairobi kuelekea 2027. Anasaka kiti cha Westlands
#HABARI: Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe
#HABARI: Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulidi, amewataka wananchi kupuuza chokochoko za watu wanaoishi nje ya nchi wanaolenga kuvuruga amani na utulivu uliopo nchini. Akizungumza katika…
Dk Jingu awafunda maofisa habari wa Serikali
Maofisa Habari na Mawasiliano serikalini wametakiwa kutumia majukwaa mbalimbali ikiwemo...
Naibu Gavana Homa Bay ajitupa ulingoni kusaka ugavana, asema mara hii Wanga atamtambua: “Tutalimana”
Naibu gavana wa Homa Bay Oyugi Magwanga ametangaza azma yake ya kuwagombea ugavana 2027 huku mvutano kati yake na Gavana Gladys Wanga ukipamba moto.
CCM yaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa
Chama cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania chaadhimisha miaka 49 tangu kuanzishwa kwake.
Ujerumani yataka kuimarisha mahusiano na nchi za Guba
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anataka mahusiano ya nchi yake na Saudi Arabia kuwa katika kiwango kipya, baada ya kufanya ziara ya masaa mawili na nusu mjini Riyadh na kuzungumza…
Moses Ledama Sunkuli: IEBC Yamteua kaimu Afisa Mkuu Mtendaji baada ya kujiuzulu kwa Marjan
IEBC Yamteua Moses Ledama Sunkuli kama kaimu Mkurugenzi Mtendaji kufuatia kuondoka kwa Hussein Marjan, huku tume ikianza kutafuta mkuu wa kudumu.
Nape: Tusimung’unye maneno bila utu CCM itaondoka
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ametahadharisha kuwa bila kusimamia utu, Chama cha Mapinduzi...
Vita Sudan: Njaa yatishia kuenea magharibi mwa nchi, kulingana na wataalamu walioagizwa na UM
Wataalamu walioagizwa na Umoja wa Mataifa wameonya mnamo Februari 5, 2025, kwamba njaa inatishia kuenea katika maeneo mawili mapya magharibi mwa Sudan, kufuatia El-Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kuanguka…
Johnson Muthama amlilia mwanawe kwa uchungu mwingi: “Ametuacha mapema mno”
Kamishna wa Tume ya Huduma za Bunge Johnson Muthama aliomboleza kifo cha mwanawe, Moses Nduya, na kusababisha wimbi la rambirambi kutoka kwa Wakenya.
Maofisa TFS kupewa mbinu kukomesha uvunaji haramu wa mikoko
Maofisa wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wa kanda za Kusini, Mashariki na Kaskazini...
Ufaransa: Watu wanaoshukiwa kuwa maafisa wa China wakamatwa na kufunguliwa mashitaka
Watu wanne, wakiwemo raia wawili wa China, wameshtakiwa leo Alhamisi, Februari 5, kufuatia kukamatwa kwao kusini-magharibi mwa Ufaransa. Wanashukiwa kujaribu kusambaza taarifa za kijeshi kwa mamlaka ya China. Imechapishwa: 05/02/2026…
State issues reminder on clean cooking drive
Dodoma: The government has reminded institutions that feed more than 100 people and have not yet adopted clean cooking technologies to do so immediately in order to advance the country’s…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaasa…
Miundombinu mibovu yakwamisha ujenzi wa vyoo shule za Mchinga
Wakati Serikali ikiendelea kusisitiza msimamo wake mkali juu ya uwajibikaji na uadilifu wa...
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa KMC, Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kuf…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungulia Uwanja wa KMC, Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanya marekebisho yaliyokidhi vigezo vya kikanuni na sheria za…
Sudan kusini yamteua mtu aliyefariki miaka mitano iliyopoita kwa maaandalizi ya chaguzi zijao
Mtu aliyefariki miaka mitano iliyopita ameteuliwa katika kamati iliyopewa jukumu la kuandaa uchaguzi nchini Sudan Kusini, na kusababisha kejeli nyingi kwenye mitandao ya kijamii na kuilazimisha serikali kuomba radhi. Rais…
Amri Kiemba achambua balaa la Buba Jammeh, aikumbusha haya Yanga kuepuka mtego wa Far Rabat, silaha!
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Serikali yakata rufaa kupinga hukumu ya Jerry Silaa, wenzake kulipa Sh3 bilioni
Serikali imekimbilia Mahakama ya Rufani kupinga hukumu ya Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi...
Mwili wa Ally Star waswaliwa nyumbani Kilosa, kuzikwa Mkwatani
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Je, Afrika itanufaika na kupanda kwa bei za dhahabu?
Kupanda kwa kasi kwa bei ya dhahabu duniani kumezifanya nchi nyingi barani Afrika, zinazochimba madini hayo, kujaribu kunufaika na fursa hiyo.
CAFCC: Tazama ‘kispika’ cha mashabiki wa Azam FC kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya AS Maniema
CAFCC: Tazama ‘kispika’ cha mashabiki wa Azam FC kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika (CAFCC) dhidi ya AS Maniema. Kispika kimepigwa ndani ya studio za Azam TV. Mechi hiyo…
Wasanii wapewa kibarua kutetea haki za watoto, Sauti za Busara
Hatimaye leo Februari 5,2026 pazia la tamasha la Sauti za Busara, linalokutanisha wasanii zaidi...
Strategic project drives Tanzania’s digital inclusivity agenda
DODOMA: As the National Development Vision 2050 targets having over 80 per cent of government services accessed through secure, inclusive and user-friendly digital platforms within the next 25 years, the…
Mwanawe gaddafi kuzikwa Ijumaa kusini mwa Tripoli
Seif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi atazikwa kesho Ijumaa katika mji mmoja kusini mwa Tripoli ambao bado ni mtiifu kwa familia ya Gaddafi.
Jeshi la Marekani na Urusi kuanzisha tena mawasiliano
Jeshi la Marekani limesema kuwa Washington na Moscow zimekubaliana kuanzisha tena mazungumzo ya ngazi ya juu kati ya majeshi yao.
CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja”
CAFCC: “Lazima tukaweke historia pamoja” Katibu wa Mashabiki wa Azam FC, Ahmed Jobenyo ametoa wito kwa mashabiki wa timu hiyo kuwasiliana nae ili kupata maelekezo ya namna gani wanaweza kwenda…
Ukosefu wa chakula waenea El-Fasher huku makamanda wa RSF wa
Ukosefu wa chakula unaenea katika maeneo mawili zaidi ya jimbo la Darfur Kaskazini huko Sudan.
Mazungumzo ya Abu Dhabi yaendelea kwa kusuasua
Mazungumzo ya amani kati ya Urusi na Ukraine, yanayosimamiwa na Marekani, yameendelea kwa siku ya pili leo katika mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu, Abu Dhabi.
ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian …
ZANZIBAR KASKAZI CUP 2026: Katibu Mkuu wa Wizara ya Utalii Zanzibar, Aboud Suleiman Jumbe amesema serikali imekuwa ikishirikian vema na sekta binafsi kuhakikisha inautangaza mchezo wa vishada na kuimarisha mfumo…
Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa…
Katibu wa Kamati ya Uhusiano na Uenezi wa Shirikisho la Wachimbaji wa Madini Tanzania (FEMATA), Mess Chengula, amesema mpango wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) wa kuuza sehemu ya akiba…
Upatikanaji chenji za Sh100, Sh200 kunavyowatesa wafanyabiashara
Huko mtaani kumekuwa na malalamiko kuhusu upatikanaji wa sarafu za Sh100 na Sh200, hali...
Sababu kukithiri kero ya foleni External Dar
Wananchi na madereva wanaotumia barabara eneo la External jijini Dar es Salaam wamelalamika...
Ukraine na Urusi zabadilishana wafungwa
Ukraine na Urusi zimebadilishana zaidi ya wafungwa 300 leo kufuatia mazungumzo huko Abu Dhabi.
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kw…
TANZANIA PRISONS vs MASHUJAA FC: Kocha msaidizi wa Mashujaa FC, Charles Fred amesema kikosi cha timu hiyo kinaendelea mazoezi kwa ajili ya kuikabili Tanzania Prisons kwenye mchezo wa NBC Premier…
Kansela Merz aitaka Iran iwe na nia ya kupata mwafaka Oman
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz Alhamis amepuuzilia mbali ukosoaji mkali kutoka kwa waziri wa mambo ya kigeni wa Iran, akisema hilo linaonesha wasiwasi ilionao Tehran.
Serikali kuboresha mtandao wa simu intaneti eneo la Kariakoo
Wakati wachuuzi katika soko la Kariakoo na wafanyabiashara wakipaza sauti zao kutaka maboresho...
Alfajiri Kumi- Sekta ya afya ya Iran kabla na baada ya Mapinduzi
Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu nyingine ya vipindi maalumu vinavyokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Kipindi chetu kinazungumzia…