#DFBPokal Kipindi cha pili kimeanza…bado hakuna bao…Je, nani anakwenda nusu fainali!!?
#DFBPokal Kipindi cha pili kimeanza...bado hakuna bao...Je, nani anakwenda nusu fainali!!? 47': Holstiel Kiel 0-0 Stuttgart LIVE #AzamSports2HD #GermanyCup #KielStuttgart #KSVVfB
BSS MEDIA TOUR | Jaji mpya wa #BSS msimu wa 16, @coy_mzungu amemshukuru Jaji Mkuu na Mkurugenzi wa Benchmark 360, @msritapaulsen…
BSS MEDIA TOUR | Jaji mpya wa #BSS msimu wa 16, @coy_mzungu amemshukuru Jaji Mkuu na Mkurugenzi wa Benchmark 360, @msritapaulsen kwa kuwapa nafasi vijana wenye vipaji vya kuchekesha kuonesha…
BSS MEDIA TOUR | Ujumbe kutoka AzamTV umewasilishwa vyema na Mkuu wa Chaneli ya Sinema Zetu, @sophiamgaz ambaye anakuambia kaa m…
BSS MEDIA TOUR | Ujumbe kutoka AzamTV umewasilishwa vyema na Mkuu wa Chaneli ya Sinema Zetu, @sophiamgaz ambaye anakuambia kaa mkao wa kufurahia burudani halisi. #BSS #BongoStarSearch (Feed generated with…
BSS MEDIA TOUR | Tulianza na makofi ya kumpongeza jaji mpya wa @bongostarsearch atakayeshughulika na eneo la komedi (ucheshi) kw…
BSS MEDIA TOUR | Tulianza na makofi ya kumpongeza jaji mpya wa @bongostarsearch atakayeshughulika na eneo la komedi (ucheshi) kwenye usili unaotarajia kuanza Februari 07 na 08 jijini Mwanza. #BSSNextLevelRevolution…
Sasa hivi anataka kuolewa na Ilbay
Sasa hivi anataka kuolewa na Ilbay (Feed generated with FetchRSS)
Wataalamu wa elimu nchini wameshauri kuzingatiwa kwa stadi zote za msingi za kujifunza lugha hususani kuzungumza na kusikiliza i…
Wataalamu wa elimu nchini wameshauri kuzingatiwa kwa stadi zote za msingi za kujifunza lugha hususani kuzungumza na kusikiliza ili kuongeza na kuimarisha ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo. Taarifa ifuatayo…
Mke wa Rais wa Uturuki amekutana na mwenzake wa Misri jijini Cairo.
Emine Erdogan amesema kuwa mazungumzo yao yalilenga masuala ya mshikamano wa kijamii yanayohusu ubinadamu kwa ujumla, huku akieleza matumaini kwamba ziara hiyo itaimarisha uhusiano wa nchi hizo mbili katika nyanja…
Sanaa na ubunifu inaendelea kukua nchini huku ubunifu wa mavazi kwa kutumia vitu vilivyotupwa ukianza kushika asi
Sanaa na ubunifu inaendelea kukua nchini huku ubunifu wa mavazi kwa kutumia vitu vilivyotupwa ukianza kushika asi. Mwenzetu Esterbella Malisa amewatembelea wasanii na wabunifu wa mavazi yatokanayo na maboksi na…
Edwin Sifuna aeleza hasira aliyohisi kuhusu waliochaguliwa kuuleta mwili wa Raila kutoka India
Edwin Sifuna anakumbuka siku waliyokwenda kuchukua mwili wa Raila Odinga na kuhoji kwa nini ujumbe huo ulikuwa wa serikali na sio chama chake cha siasa.
CAFCC: Afisa Habari wa Singida BS, Hussein Massanza anasema kikosi chao kimeanza mazoezi visiwani Zanzibar wakijiandaa kuikaribi…
CAFCC: Afisa Habari wa Singida BS, Hussein Massanza anasema kikosi chao kimeanza mazoezi visiwani Zanzibar wakijiandaa kuikaribisha CR Belouizdad Jumapili ya Februari 8, 2026. #CAFCC #KombeLaShirikishoAfrika
CAFCC: “Morali yetu imekuwa juu sana”
CAFCC: “Morali yetu imekuwa juu sana” Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe amebainisha namna walivyojipanga kuchukua alama zote sita kutoka kwa Nairobi United ambapo jambo hilo limetimia kikamilifu. Ibwe…
Serikali imeagiza Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA) kuwachukulia hatua kali za kisheria madereva na makondakta wa d…
Serikali imeagiza Mamlaka ya Udhibiti wa usafiri Ardhini (LATRA) kuwachukulia hatua kali za kisheria madereva na makondakta wa daladala watakaobainika kuwanyanyasa wanafunzi huku wazazi na walezi wakipongeza hatua hiyo. Tumie…
Nani anapaswa kuwajibika kwa madhara yanayosababishwa na matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto?
Katika nchi mbalimbali kuanzia Uturuki hadi Australia, mabadiliko mapya ya kisheria yanaonyesha mtazamo wa pamoja kwamba uangalizi wa wazazi pekee hauwezi kuzuia madhara ya mitandao ya kijamii kwa watoto.
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kimeweka mkazo mkubwa katika suala la elimu na uwajibikaji wa viongozi …
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga kimeweka mkazo mkubwa katika suala la elimu na uwajibikaji wa viongozi kama nguzo kuu za maendeleo ya jamii, wakati wa maadhimisho…
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeendelea kuleta neema ya maendeleo kwa wananchi wa mkoa wa Arusha kwa kuanza utekelezaji wa mradi wa…
Taasisi za fedha nchini zimehimizwa kufanya uwekezaji kwa wajasiriamali na wabunifu wa bicha za kidijitali ambao wamejikita kati…
Taasisi za fedha nchini zimehimizwa kufanya uwekezaji kwa wajasiriamali na wabunifu wa bicha za kidijitali ambao wamejikita katika biashara ya nishati safi ya kupikia ili kuchangia katika ufikiwaji wa ajenda…
KUTOKA ANGOLA: “Wenyeji wetu Petro wamefanya maandalizi yote yanayohitajika kikanuni”
KUTOKA ANGOLA: “Wenyeji wetu Petro wamefanya maandalizi yote yanayohitajika kikanuni” Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally anasema safari yao ya kwenda Luanda Angola, haikuwa na changamoto yoyote…
Bodi ya Mfuko wa Barabara kutumia zaidi ya Sh983 bilioni huduma za barabara
Jumla ya Sh983.9 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kufadhili miradi ya matengenezo ya barabara...
Moruwasa yalia na wezi, wachimba madini vyanzo vya maji
Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mkoa wa Morogoro (Moruwasa)...
Atoa wito wanachama kuongeza ushirikiano kuijenga CCM
'Uchaguzi umeisha sasa ni kazi'. Ni kauli ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa (MCC), Salim...
Video ya CCTV yaonyesha jamaa Eldoret akiingia mtegoni bila ufahamu 2.18am
Picha za CCTV za kutisha zinamnasa dereva wa teksi wa Eldoret akitoroka chupuchupu kwenye shambulio la majambazi kwenye pikipiki mapema saa 2 Februari, 2026.
Erdogan na Sisi waimarisha ushirikiano kati ya Uturuki na Misri wajadili Gaza na migogoro ya kikanda
Rais wa Uturuki Erdogan asema nchi yake inataka kuimarisha ushirikiano na Misri katika nyanja mbalimbali.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na mamia ya wakazi wa Tabora katika maziko ya aliyekuwa Mbunge mstaafu wa Viti Maalumu mkoani kupitia…
Ida Odinga atembelewa na Gaucho anayesherehekea bathidei yake, amlisha keki: “Ya kwanza bila Baba”
Rais wa Ghetto Calvince Gaucho ameadhimisha bathidei yake katika ofisi ya Mama Ida Odinga, huku wakila keki kwa pamoja na kutaja ni ya kwanza bila Raila Odinga.
Wakala wa Huduma za Misitu Shamba la Miti Geita – Lwamgasa wameteketeza shamba lililolimwa bangi kwa kuchanganywa na mahindi.�Ut…
Wakala wa Huduma za Misitu Shamba la Miti Geita - Lwamgasa wameteketeza shamba lililolimwa bangi kwa kuchanganywa na mahindi.�Uteketezaji huo umefanywa kwa ushirikiano na Kamati ya ulinzi na Usalama wilaya…
#LIVE:TARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU – 04/2/2026
#LIVE:TARIFA YA HABARI YA SAA MBILI USIKU - 04/2/2026
MAKALA MAALUMU: Jumatatu ya Februari 9, 2026 itakujia makala maalumu kuhusu asili na mapito ya Mbeya City
MAKALA MAALUMU: Jumatatu ya Februari 9, 2026 itakujia makala maalumu kuhusu asili na mapito ya Mbeya City. Unafahamu kuna mtu alitakiwa apelike chura mwenye mabaka…? Unafahamu kuna watu waliwapa watoto…
Kikao cha mwisho cha Jukwaa la Biashara kati ya Uturuki na Misri chafunguliwa jijini Cairo
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Rais wa Misri, Abdel Fattah el Sisi, wanatarajiwa kuhudhuria kikao cha kufunga cha jukwaa hilo.
Philip Aroko, Evans Kidero ni miongoni mwa wagombea kutoka Nyanza wanaosaka tiketi za UDA 2027
UDA ya Rais William Ruto imepata umaarufu katika eneo la Nyanza, huku viongozi kadhaa wakionyesha nia ya chama hicho huku kukiwa na migogoro ya ndani katika ODM.
Hospitali ya Mkapa yaandaliwa ubingwa matibabu ya saratani
Hii imetokana na kukubalika kwa miundombinu yake na mazingira yaliyoandaliwa kwa ajili ya...
Wenye shida ya macho waitwa kutibiwa, kupewa miwani bure
Watanzania wenye shida ya macho kama mtoto wa jicho, presha ya macho, kutokuona mbali wameitwa...
Nani anawajibika wakati wa majanga kama ya Rubaya
Baada ya mkasa wa mgodi wa madini ya coltan mjini Rubaya, mashariki mwa Kongo mamia ya familia ziko na sintofahamu. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watu 200 wamefariki. Je nani anawajibika…
TFS yateketeza shamba la bangi hifadhini
Kamati ya Ulinzi na usalama ya Wilaya ya Geita, kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu...
#SportPesaLeague: Hizi hapa ‘chuma’ zote tatu zilizofungwa kwenye mchezo kati ya Nairobi United dhidi ya APS Bomet FC
#SportPesaLeague: Hizi hapa ‘chuma’ zote tatu zilizofungwa kwenye mchezo kati ya Nairobi United dhidi ya APS Bomet FC. Magoli ya APS Bomet yamefungwa na Antony Naibei na Dickson Mwangi. Goli…
RC atoa maagizo sakata la wachimbaji, mwekezaji mgodi wa Msasa
Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ameamua kuingilia kati sakata lililokuwa likiendelea...
ACT-Wazalendo waipinga ZEC kuchoma nyaraka za uchaguzi
Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar cha ACT-Wazalendo kimepinga mpango wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, ZEC wa kuteketeza nyaraka zote za uchaguzi mkuu uliofanyika October 29, 2025 na kusema…
KESI YA UBUNGE WA BABA LEVO: Pingamizi lingine la AG, Msimamizi latupwa
Soma zaidi hapa...
DC aagiza madiwani kushirikishwa ukusanyaji wa mapato ya ndani
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya...
Maafisa 700 wa uhamiaji kupunguzwa Minnesota
Serikali ya Rais Donald Trump inapunguza idadi ya maafisa wa uhamiaji huko Minnesota baada ya jimbo hilo na maafisa wa jimbo kukubali kushirikiana kwa kuwasalimisha wahamiaji waliokamatwa.
MSHIKEMSHIKE: Azam FC, Yanga, Singida BS, kimahesabu zinaweza kufuzu robo fainali ya mashindano ya CAF msimu huu, unaiona Tanzan…
MSHIKEMSHIKE: Azam FC, Yanga, Singida BS, kimahesabu zinaweza kufuzu robo fainali ya mashindano ya CAF msimu huu, unaiona Tanzania ikipeleka timu ngapi robo fainali ya michuano hiyo? Tuandikie maoni yako…
Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nish…
Serikali imetoa wito kwa wadau kutoka sekta ya fedha nchini kuanzisha huduma na bidhaa za kifedha zitakazowezesha ajenda ya nishati safi ya kupikia kusambaa zaidi, hususan kwa kuwawezesha wajasiriamali wadogo…
Ajali yakatisha maisha ya Diwani wa Ketara, Tarime
Diwani wa Kata ya Ketara (CCM) katika Halmashauri ya Mji wa Tarime mkoani Mara, Philipo Gikaro...
#HABARI: Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Geita imefyeka ekari tatu za bangi zilizokuwa zimepandwa kwa siri ndani ya Hi…
#HABARI: Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Geita imefyeka ekari tatu za bangi zilizokuwa zimepandwa kwa siri ndani ya Hifadhi ya Msitu wa Geita-Lwamgasa. Watu wasiofahamika walivamia hifadhi…
#HABARI: Askari Polisi wa Jiji la Tanga wakiwa na silaha za moto wamelazimika kuingilia kati kufuatia taharuki za mamia ya wakaz…
#HABARI: Askari Polisi wa Jiji la Tanga wakiwa na silaha za moto wamelazimika kuingilia kati kufuatia taharuki za mamia ya wakazi wa eneo la Neema kuingia katika barabara kuu inayounganisha…
Mwana wa mrithi wa Ufalme Norway akana mashtaka ya ubakaji
Marius Borg Hoiby, mwana wa Crown Princess wa Norway, ameiambia mahakama ya Oslo kuwa hakuwabaka wanawake wanne kama inavyodaiwa, akisisitiza kuwa mahusiano yote yalikuwa ya ridhaa licha ya mashtaka mazito…
Wawekezaji Kanda ya Ziwa walalamikia kodi, miundombinu
Wawekezaji wa mikoa ya Kanda ya Ziwa wamefunguka changamoto zinazowakwamisha kuwekeza, zikiwemo...
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi. Prisca Kayombo akimwakilisha Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Anamringi Macha ametoa rai kwa Wanachi Mkoani Simiyu kuchangamkia fursa ya umeme Vitongojini wenye thamani ya…
Xi, Putin wasifu ushirikiano thabiti kati ya Urusi na China
Rais wa China Xi Jinping na mwenzake wa Urusi Vladimir Putin, wamesifu ushirikiano thabiti wa kiuchumi, kisiasa na kiusalama kati ya nchi hizo mbili wakisema unatuliza hali katika nyakati hizi…
Hizi hapa saratani 10 zinazoitafuna Dar
Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) imezitaja aina 10 za saratani zinazosumbua katika Mkoa wa...