Skip to content
  • Fri. Jun 19th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce Barker: Simba must keep fighting Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii
IDHAA YA DUNIA

Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Barker: Simba must keep fighting

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge

June 19, 2026 mjombazecoder
HABARILEO

TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii

June 19, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
IDHAA YA DUNIA
Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
LTV ENGLISH NEWS
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
Barker: Simba must keep fighting
LTV ENGLISH NEWS
Barker: Simba must keep fighting
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
LTV ENGLISH NEWS
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
IDHAA YA DUNIA
Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
LTV ENGLISH NEWS
US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
Barker: Simba must keep fighting
LTV ENGLISH NEWS
Barker: Simba must keep fighting
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
LTV ENGLISH NEWS
Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
Uncategorized

Kukanusha kukaribia kusainiwa makubaliano ya usalama kati ya serikali ya mpito ya Syria na utawala wa Israel

August 28, 2025 mjombazecoder

Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya serikali ya mpito ya Syria siku ya Jumamosi ilikanusha habari iliyochapishwa kuhusu kukaribia kusainiwa kwa makubaliano ya usalama kati ya Damascus na utawala wa…

Uncategorized

Umoja wa Mataifa una wasiwasi kuhusu njaa Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Katika mkutano wa Jumatano, wanachama wa baraza hilo wameonya kwamba kutumia njaa kama silaha ya kivita ni kinyume na sheria za kimataifa za kiutu. Wameelezea tahadhari na masikitiko yao makubwa…

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA:UZINDUZI KAMPENI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU….AGOSTI 28, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA:UZINDUZI KAMPENI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU….AGOSTI 28, 2025

Uncategorized

#SWALILAKIPIMAJOTO:”Malori yanayosafirisha Makontena ya mizigo ndani na nje ya nchi

August 28, 2025 mjombazecoder

#SWALILAKIPIMAJOTO:”Malori yanayosafirisha Makontena ya mizigo ndani na nje ya nchi. Je, Mamlaka zinakagua ili kudhibiti ufungaji wa loki ipasavyo kuepusha majanga?

IDHAA YA DUNIA

Kampeni za uchaguzi mkuu Tanzania kuanza rasmi leo

August 28, 2025 mjombazecoder

Chanzo cha picha, CCM Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu zimeanza rasmi leo, kwa mujibu wa ratiba ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC). Hata hivyo, uchaguzi…

Uncategorized

Zelensky: Maafisa wa Marekani na Ukraine kukutana Ijumaa

August 28, 2025 mjombazecoder

Akilihutubia taifa kwa njia ya video Jumatano usiku, Zelensky amesema Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Ukraine, Andriy Yermak na Katibu wa Baraza la Usalama na Ulinzi wa Taifa, Rustem…

Uncategorized

🔴MAGAZETI: CCM YALIAMSHA YAANZA NA MIKOA MITATU..AGOSTI 28, 2025

August 28, 2025 mjombazecoder

🔴MAGAZETI: CCM YALIAMSHA YAANZA NA MIKOA MITATU..AGOSTI 28, 2025

Uncategorized

Watu 5 wameuawa kwenye mapigano kati ya Kongo na Wazalendo

August 28, 2025 mjombazecoder

Duru za kijeshi zimeeleza kuwa mapigano hayo yalizuka siku ya Jumanne katika mpaka wa Kavimvira, karibu na Uvira. Msemaji wa jeshi la Kongo katika jimbo la Kivu Kusini, Reagan Mbuyi…

Uncategorized

Nchi kadhaa zataka kuongezwa kikosi cha kimataifa Haiti

August 28, 2025 mjombazecoder

Kulingana na barua iliyoonekana na Shirika la Habari la Ufaransa, AFP, nchi hizo zitaunda ”kundi la washirika” kwa ajili ya kusimamia ujumbe huo ambao uliidhinishwa kwa mara ya kwanza na…

Uncategorized

Watu wenye silaha waua watu wawili na kuwateka 100 Nigeria

August 28, 2025 mjombazecoder

Maafisa na viongozi wa eneo hilo wamesema kuwa washambuliaji walikivamia kijiji cha Gamdum Mallam huko Adafka Bukkuyum siku ya Jumamosi, wakiwa wanaendesha pikipiki na kuanza kufyatua hovyo risasi. Mwenyekiti wa…

Uncategorized

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa: Ni wakati wa kuchukua hatua; tunahitaji usitishaji mapigano mara moja Gaza

August 28, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuhusiana na tangazo rasmi la mgogoro wa baa la njaa huko Gaza, kwamba anaamini…

Uncategorized

Kiongozi Muadhamu: Iran itasimama kidete dhidi ya matakwa ya Marekani

August 28, 2025 mjombazecoder

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa hili liwe tiifu kwake, lakini wananchi wa Jamhuri ya…

Uncategorized

Jaribio la Wazayuni la kumuua kigaidi Mkuu wa Majeshi ya Yemen lagonga mwamba

August 28, 2025 mjombazecoder

Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti habari ya kufeli jaribio la utawala haramu wa Israel la kumuua Mkuu wa Majeshi ya Yemen, kwa mara ya pili sasa. BONYEZA HAPA USOME…

Uncategorized

Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar

August 28, 2025 mjombazecoder

Najjat Omar28.08.202528 Agosti 2025 Soka la wanawake Zanzibar linakumbwa na changamoto kadhaa zinazozuia ukuaji wake licha ya vipaji vilivyopo visiwani humo. Hali ya uwekezaji duni imeathiri pakubwa ustawi wa wachezaji,…

Uncategorized

Mwelekeo wa magari ya umeme EVs nchini Kenya

August 28, 2025 mjombazecoder

28.08.202528 Agosti 2025 Magari ya umeme nchini Kenya yanaanza kuchukua nafasi kubwa katika sekta ya usafiri huku juhudi za serikali na kampuni binafsi zikichochea mabadiliko kuelekea nishati jadidifu. Hata hivyo…

Uncategorized

28.08.2025

August 28, 2025 mjombazecoder

SK2 / S02S28.08.202528 Agosti 2025 Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya droni na makombora yaliyoulenga mji wa Kyiv ambako takriban watu 14 wameuawa+++Rwanda na Msumbiji zimetia saini makubaliano ya “amani na…

Uncategorized

Matangazo ya Asubuhi 28.08.2025

August 28, 2025 mjombazecoder

28.08.202528 Agosti 2025 Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza // Wanasiasa wa Iraq wanalenga kufanya mageuzi ya sheria inayowahusu wanamgambo walio nje ya udhibiti…

Uncategorized

TICAD inaimarisha vipi nafasi ya Afrika katika siasa na uchumi wa dunia?

August 27, 2025 mjombazecoder

Mkutano wa 9 wa Kimataifa wa Maendeleo ya Afrika, Tokyo International Conference on African Development (TICAD), ulimalizika Ijumaa, Agosti 22 kwa kusainiwa mikataba takriban 300 ya ushirikiano kati ya taasisi…

Uncategorized

Je, kustawishwa ushirikiano wa Russia na India ni jibu kwa sera ya mashinikizo ya Trump?

August 27, 2025 mjombazecoder

Sambamba na mashinikizo ya utawala wa Trump dhidi ya India ili ipunguze uhusiano wake na Russia, Waziri wa Mambo ya Nje wa India alisafiri hadi Moscow na kukutana na kufanya…

Uncategorized

Jumatano, tarehe 27 Agosti, 2025

August 27, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatano tarehe 3 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Agosti 27 mwaka 2025. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

Ugonjwa wa kipindupindu wauwa watu 63 mashariki mwa Chad

August 27, 2025 mjombazecoder

Watu wasiopungua 63 wamepoteza maisha kwa ugonjwa wa kipindupindu katika jimbo la Ouaddai mashariki mwa Chad tangu katikati ya mwezi Julai mwaka huu. Taraifa hii imetolewa na Wizara ya Afya…

Uncategorized

Zaidi ya mabalozi 206 wa zamani wa EU wataka Israel ichukuliwe hatua kali

August 27, 2025 mjombazecoder

Zaidi ya mabalozi 200 wa zamani wa Umoja wa Ulaya na maafisa wa ngazi ya juu jana Jumanne waliituhumu Brussels kwa kushindwa kuchukua hatua za kukabiliana na hali mbaya ya…

Uncategorized

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 27, AGOSTI 2025

August 27, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 27, AGOSTI 2025

Uncategorized

Venezuela yapeleka meli za kivita, ndege zisizo na rubani pwani, wakati kikosi cha wanamaji cha Marekani kikikaribia

August 27, 2025 mjombazecoder

Venezuela imetangaza kuwa imepeleka meli za kivita na ndege zisizo na rubani kwenye eneo lake la maji na kufanya doria kwenye ufuo wa pwani ya nchi hiyo ili kukabiliana na…

Uncategorized

Hamas yakadhibisha madai ya kuuawa kigaidi Khalil al-Hayya

August 27, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imepinga madai ya utawala haramu wa Israel kwamba umemuua kigaidi Khalil al-Hayya, mmoja wa viongozi waandamizi wa kundi hilo la Muqawama. BONYEZA…

Uncategorized

#HABARI: Rais William Ruto ameongoza Wakenya katika Maadhimisho ya kwanza ya siku ya katiba, siku ambayo Wakenya walipiga kura n…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Rais William Ruto ameongoza Wakenya katika Maadhimisho ya kwanza ya siku ya katiba, siku ambayo Wakenya walipiga kura na kupitisha Katiba ya mwaka Katiba ambayo ilitambulika kama moja ya…

Uncategorized

Rais wa Sudan Kusini atuhumiwa kwa upendeleo baada ya kumteuwa binti yake katika cheo cha juu serikalini

August 27, 2025 mjombazecoder

Adut Salva Kiir, binti wa Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini ameteuliwa na baba yake kuwa Mjumbe wa Rais Anayehusika na Mipango Maalumu, kazi ambayo awali ilikuwa inafanywa na Makamu…

Uncategorized

Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel akiri kutengwa utawala huo kisiasa

August 27, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kutengwa na kuzingirwa kisiasa utawala huo katika ngazi za kimataifa. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 27, 2025 – TUME YATENGUA UTEUZI WA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO LUHAGA MPINA

August 27, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 27, 2025 – TUME YATENGUA UTEUZI WA MGOMBEA WA ACT WAZALENDO LUHAGA MPINA

Uncategorized

Abbas Araghchi: Wakaguzi wa IAEA wanaingia nchini kwa uamuzi wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa

August 27, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuingia nchini kwa wakaguzi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni uamuzi uliochukuliwa na…

Uncategorized

Sisitizo la Malaysia juu ya uungaji mkono endelevu kwa Palestina

August 27, 2025 mjombazecoder

Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Malaysia amesema kuwa, nchi hiyo itadhibiti na kusimamia vilivyo vitisho au ugaidi wowote unaohusiana na suala la uungaji mkono wa Kuala Lumpur kwa…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Kigamboni, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Haran Sanga, amechukua fomu Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Wilaya ya Kigamboni na kuomba kuteuliwa kuwania…

Uncategorized

Baa la njaa ni nini? Wataalamu wa afya wafafanua

August 27, 2025 mjombazecoder

Ripoti hiyo ya IPC iliyochapishwa Ijumaa iliyopita imesema zaidi ya watu nusu milioni huko Gaza sio tu wamenaswa kwenye baa la njaa, bali pia wanakabiliwa na mateso yatokanayo na kukosa…

Uncategorized

#HABARI: Wakulima wa Zao la Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, wametakiwa kuacha tabia ya kuchanganya maji kwenye…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Wakulima wa Zao la Tumbaku katika Wilaya ya Namtumbo, mkoani Ruvuma, wametakiwa kuacha tabia ya kuchanganya maji kwenye Tumbaku kwa lengo la kuiongezea uzito na kwamba kitendo hicho kinaharibu…

Uncategorized

Trump apingwa baada ya kudai kuvimaliza vita vya Kongo

August 27, 2025 mjombazecoder

Mnamo Jumatatu ya wiki hii, Trump alirudia madai kwamba ameumaliza mzozo huo uliodumu kwa miongo kadhaa huku akiielezea Kongo kama taifa la Afrika lililoko gizani. “Nimevimaliza vita saba, vita vilivyokuwa…

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kaskazini, mkoani Kagera, Adonis Alfred Bitegeko, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge Jimbo la Muleba Kaskazini, mkoani Kagera, Adonis Alfred Bitegeko, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa Mwaka 2025 – 2030. #ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania…

Uncategorized

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa, amewataka watumishi wapya wa NIRC kutumia maarifa na ujuzi walionao ili kufanikisha malengo ya Tume na kuzingatia…

Uncategorized

Hamas: Kitendo cha utawala wa Kizayuni kukataa kukabidhi miili ya mashahidi wa Kipalestina kinaonyesha ukatili

August 27, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeashiria kuwa, utawala ghasibu wa Israel umekataa kukabidhi maiti 726 za mashahidi wa Kipalestina na kukitaja kitendo hicho kuwa jinai na ukatili…

Uncategorized

Netanyahu ashtumiwa kwa matamshi kuhusu mauaji ya Armenia

August 27, 2025 mjombazecoder

Wizara hiyo ya mambo ya nje ya Uturuki, imesema taarifa ya Netanyahu kuhusu matukio ya mwaka 1915 ni jaribio la kutumia mikasa ya zamani kwa sababu za kisiasa. Wizara hiyo…

Uncategorized

Urusi yakataa kupelekwa kwa vikosi vya Ulaya nchini Ukraine

August 27, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov, amesema wana mtazamo mbaya kuhusu mijadala ya uwezekano wa kikosi cha kulinda amani cha Ulaya kama sehemu ya makubaliano ya kumaliza vita vya…

Uncategorized

Ubunifu kupitia taka za plastiki mtaani Kibera

August 27, 2025 mjombazecoder

27.08.202527 Agosti 2025 Mtaa wa mabanda wa Kibera ulioko mjini Nairobi umekuwa moja ya nguzo ya ubunifu barani Afrika. Katika mazingira yenye changamoto, wakaazi wa mtaa huo wamekumbatia mradi wa…

Uncategorized

Iran yasema haijarejea kikamalifu kwenye ushirikiano na IAEA

August 27, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amenukuliwa na televisheni ya taifa akisema hakuna makubaliano ya mwisho yaliyofikiwa kuhusu mfumo mpya wa ushirkiano na Shirika la Kudhibiti Nguvu…

Uncategorized

Wakimbizi 68 wa Sudan wafariki Chad kwa kipindupindu

August 27, 2025 mjombazecoder

Mkurugenzi wa mawasiliano wa wizara ya afya wa Chad, Tadjadine Mahamat Allamamine, amesema tangu kisa cha kwanza kuorodheshwa katika kambi ya wakimbizi ya Dougui watu 1,016 wameambukizwa kipindupindu na kwamba…

Uncategorized

Kenya yaadhimisha miaka 15 ya katiba yake

August 27, 2025 mjombazecoder

Kwenye hafla maalum iliyofanyika katika jumba la mikutano la kimataifa la KICC, viongozi wa ngazi ya juu walikusanyika kutathmini hali tangu katiba mpya ya Kenya ya 2010 kuanza kufanya kazi.…

Uncategorized

Papa Leo XIV atoa wito wa kusitishwa kwa vita vya Gaza

August 27, 2025 mjombazecoder

Papa Leo ameutoa wito huo siku ya Jumatano wakati akiwahutubia waumini huko Vatican akitaka kusitishwa kwa vita huko Gaza na kuachiliwa kwa mateka wa Israel ambao bado wamesalia mikononi mwa…

Uncategorized

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran: Hatuna budi ila kuwa na nguvu

August 27, 2025 mjombazecoder

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran haina chaguo jingine isipokuwa kujiimarisha kijeshi na kuwa na nguvu. BONYEZA HAPA USOME HABARI KAMILI

Uncategorized

#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya Masache Njelu Kasaka amefanikiwa kurudisha Fomu kwenye…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Lupa Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya Masache Njelu Kasaka amefanikiwa kurudisha Fomu kwenye Ofisi ya Msimamizi Msaidizi wa Tume huru ya Taifa ya…

Uncategorized

#HABARI: Zaidi ya wananchi 30 wa Mtaa wa Majengo, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, waliotoa maeneo yao ya masham…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Zaidi ya wananchi 30 wa Mtaa wa Majengo, Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni mkoani Singida, waliotoa maeneo yao ya mashamba kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Trena ya kisasa…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : AGOSTI 27, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUWEKEWA HUDUMA YA MAJI

August 27, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA TANGA : AGOSTI 27, 2025 – WANANCHI WAOMBA KUWEKEWA HUDUMA YA MAJI

Uncategorized

#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Missenyi mkoani Kagera, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Florent Laurent Kyombo, amerejesha…

August 27, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mgombea Ubunge wa Jimbo la Missenyi mkoani Kagera, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Florent Laurent Kyombo, amerejesha fomu ya kupeperusha bendela ya Jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka…

Posts pagination

1 … 979 980 981 … 990

Recent Posts

  • Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni
  • US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce
  • Barker: Simba must keep fighting
  • Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge
  • TRA Iringa kutoa elimu, shukrani kwa Jamii

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA

Tofauti za kauli kati ya Trump na Vance zamuweka Vance kikaangoni

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

US-Iran peace talks postponed, clouding prospects for lasting truce

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Barker: Simba must keep fighting

June 19, 2026 mjombazecoder
LTV ENGLISH NEWS

Dar-Seoul trade gap narrows as exports surge

June 19, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS