Kujiunga na Bima ya Afya kwa Wote ni jambo la msingi kwa Watanzania wote-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.

Dkt.Mwigulu Amesema hayo wakati akijibu swali la Nancy Nyalusi, Mbunge wa Viti Maalum katika kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu.

#StarTvUpdate

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *