Halmashauri ya Mji Babati itakabiliwa na uhitaji wa vyumba 64 vya madarasa katika kipindi cha mwaka 2027-2028 kufuatia matarajio ya ongezeko la wanafunzi zaidi ya elfu 6,347 huku pia kwa sasa ikiwa na uhaba wa nyumba za walimu zaidi ya 400.
(Feed generated with FetchRSS)
