
Televisheni ya kitaifa ya Uturuki TRT yaadhimisha miaka 58 ya utangazaji
Takriban miongo sita baada ya kurusha matangazo yake ya kwanza , televisheni ya umma ya Uturuki inasherehekea ukuaji wake katika jukwaa la vyombo vya habari duniani kote Ulaya, Afrika na Asia.