Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dk Tausi Mbaga Kida kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango.
Aidha, Rais Samia amemteua Dkt Fred Matola Msemwa kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Uwekezaji.
#StarTvUpdate
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dk Tausi Mbaga Kida kuwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango.
Aidha, Rais Samia amemteua Dkt Fred Matola Msemwa kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Uwekezaji.
#StarTvUpdate