Ikiwa leo yameingia katika siku ya pili, Maonesho ya Mnada wa Kimataifa wa Mifugo (Tri – Nations Livestock Expo) umetoa mafunzo kwa wafugaji kuhusu namna bora ya kutunza mifugo, kuitafutia soko, kuitangaza na kuiuza.
Taarifa ya Joseph Mpangala imeangazia kwa kina mafunzo hayo.
Mhariri @moseskwindi
(Feed generated with FetchRSS)