KUTOKA ANGOLA: Unafahamu kuwa Estadio 11 de Novembro ndio uwanja ambao Lionel Messi ‘aliutwanga’ hapo akiwa na kikosi cha Argentina….?

Unafahamu kuwa Simba SC sio mgeni kukipiga katika dimba hilo…??

@mangasore_ anasimulia zaidi kutoka ndani ya dimba hilo lililopo Luanda Angola.

Simba itakuwa ugenini leo kucheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji wao Petro Atletico saa 1:00 usiku LIVE #AzamSports2HD

#CAFCL #LigiYaMabingwaAfrika #CAFChampionsLeague

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *