Kiwango cha mamlaka za maji ambazo utendaji wake hauridhishi kimeongezeka kutoka asilimia mbili hadi nne kwa kipindi cha mwaka 2024/2025.

Hayo yamebainishwa katika ripoti ya utendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira kwa mwaka 2024/2025, iliyozinduliwa leo mkoani Morogoro.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *