Umoja wa viongozi wa vyama 12 vya siasa umeonesha wasiwasi wa utekelezwaji tamko la pamoja la maridhiano wa kisiasa Zanzibar kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na ACT – Wazalendo ukidai kuna mazingira ya kuvunjwa kwa usiri wa ajenda za mazungumzo hayo.

Mtumwa Saidi anaeleza zaidi.��

Mhariri @moseskwindi
#azamtvupdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *