DW Kiswahili25 Oktoba 2025

Trump aelekea Asia kwa mazungumzo na Xi Jinping na pia kulenga kukutana na Kim++++Rubio aahidi kurejeshwa miili ya mateka wote nchini Israel++++Waziri wa Ujerumani ajificha kwenye handaki wakati wa mashambulizi ya Urusi mjini Kiev+++Viongozi wa upinzani Cameroon wakamatwa huku maandamano yakizuka juu ya matokeo ya uchaguzi.

https://p.dw.com/p/52a1L

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *