Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *