Rais William Ruto wa Kenya amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kushinda uchaguzi uliofanyika hivi karibuni nchini Tanzania, uliokumbwa na vurugu.

Kupitia taarifa iliyotolewa Jumatatu, Rais Ruto alisema kuwa Kenya na Tanzania zina dira ya pamoja ya kuwa na Afrika Mashariki yenye amani, ustawi na umoja, kutokana na uanachama wao kwenye atika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Aidha, Rais Ruto aliwahimiza Watanzania kudumisha amani katikati ya misukosuko ya kisiasa iliyozuka kufuatia uchaguzi wa Oktoba 29, ambao ulizua utata mkubwa.

Rais William Ruto wa Kenya amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kushinda uchaguzi uliofanyika hivi karibuni nchini Tanzania, uliokumbwa na vurugu.

Kupitia taarifa iliyotolewa Jumatatu, Rais Ruto alisema kuwa Kenya na Tanzania zina dira ya pamoja ya kuwa na Afrika Mashariki yenye amani, ustawi na umoja, kutokana na uanachama wao kwenye atika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Aidha, Rais Ruto aliwahimiza Watanzania kudumisha amani katikati ya misukosuko ya kisiasa iliyozuka kufuatia uchaguzi wa Oktoba 29, ambao ulizua utata mkubwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *