Sudi Mnette3 Desemba 2025

Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wametupiana lawama za kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano jana Jumanne, ikiwa ni siku mbili kabla ya Ikulu ya Marekani kuandaa hafla ya kusaini makubaliano ya kumaliza mapigano mashariki mwa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/54f4w

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *