SK2 / S02S4 Desemba 2025

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, anaanza leo ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano, hususan katika sekta ya ulinzi+++Jeshi la Polisi nchini Tanzania limetoa taarifa likisema limebaini kile linachodai kuwa ni mbinu zinazotumiwa na baadhi ya watu wanaohamasisha maandamano yanayotarajiwa kufanyika Desemba 9.

https://p.dw.com/p/54kWw

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *