Baadhi ya nchi za Magharibi zataka Tanzania ikabidhi maiti za waliouawa baada ya uchaguzi
Balozi kadhaa zilizopo nchini Tanzania ikiwemo ile ya Uingereza, Canada, Norway, Uswizi, Denmark na jopo la Umoja wa Ulaya, zimetoa wito kwa serikali ya Tanzania kukabidhi maiti kwa ndugu zao na kuwaachia wafungwa wa kisiasa.