“Uganda sio nchi ya kuchezewa” – Rais Museveni
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, tarehe 7 Desemba 2025, alihutubia viongozi wa mashinani wa chama chake cha National Resistance Movement (NRM) katika eneo la Lango, na kutoa ujumbe mkali kwa wapinzani na wananchi.