Mhifadhi wa Tembo Afrika Mashariki Iain Douglas-Hamilton afariki dunia

Mhifadhi huyo alizaliwa na kukulia nchini Uingereza, ingawa muda mwingi wa kazi zake, alitumia akiwa Uganda, Tanzania na Kenya ambako ndipo yalipokuwa makazi yake hadi umauti ulipomkuta.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *