Mhifadhi wa Tembo Afrika Mashariki Iain Douglas-Hamilton afariki dunia
Mhifadhi huyo alizaliwa na kukulia nchini Uingereza, ingawa muda mwingi wa kazi zake, alitumia akiwa Uganda, Tanzania na Kenya ambako ndipo yalipokuwa makazi yake hadi umauti ulipomkuta.