Shaiza/Mussa ameanza kazi rasmi lakini alipewa onyo kuhusu Radhia, mtoto mkubwa wa Mzee Maega kuwa ni jasusi pia hivyo awe makini, kijana wa watu amezimika na Radhia hataki maelekezo hapo 😅🙌

Tuendelee na hadithi tamu ya #PichaYanguSeries kila Jumatatu hadi Alhamisi saa 1:30 usiku #SinemaZetuHD

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *