Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewapongeza wananchi kwa kukubali wito wa kulinda amani na utulivu na kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni nchi ya amani.
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amewapongeza wananchi kwa kukubali wito wa kulinda amani na utulivu na kuidhihirishia dunia kuwa Tanzania ni nchi ya amani.