MASTER CHEF ITAANZA JANUARI PILI, 2026

Majaji wakuu wa shindano la upishi Australia wana kazi ya kuwapima, kuwachuja na wapishi bora wa nyumbani wenye shauku ya kuwa washindi kupitia shindano la upishi lenye ushindani mkubwa.

Nani kuibuka mpishi bora

Usikose kuanzia tarehe 02, 2026 saa 3:00 usiku Ijumaa hadi Jumapili kupitia #AzamONE

#AzamONEUnloacked #AzamONEWeSpeak

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *