Madereva bodaboda watano wamefariki dunia baada ya kugongwa na lori lenye namba za usajili T 824 EKS, ambalo lilipata hitilafu kwenye mfumo wa breki katika eneo la Makulu, barabara inayoelekea Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM).

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *