TAIFA CUP VOLLEYBALL | Ilikuwa ni siku ya pili ya mashindano ya mpira wa wavu kwenye viwanja vya Chinangali, Dodoma….

Mchezo wa mwisho kwa leo ulikuwa ni huu….ambao umemalizika kwa Dodoma kuwapiga Kilimanjaro seti 3-0.

Tazama highlights…

Burudani itaendelea kesho LIVE #AzamSports4HD

#VolleyballTaifaCup #TaifaCup #Volleyball #Kilimanjaro #Dodoma #KilimanjaroDodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *