Trump amesema Marekani itachukua mafuta ya Venezuela

Rais Donald Trump alimueleze mtangazaji wa kipindi cha MS NOW, Joe Scarborough, kwamba Marekani inapanga “kuchukua mafuta,” kufuatia mashambulizi yaliyofanyika nchini Venezuela na kukamatwa kwa Nicolás Maduro.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *