Hofu yaongezeka miongoni mwa jamii ya Wasomali baada ya Trump kutuma maafisa 2,000 Minnesota
Mamlaka za serikali kuu zinaongeza uwepo wao katika jimbo la Minnesota huku utekelezaji wa sheria za uhamiaji ukiendelea, kufuatia madai yaliyoenea mtandaoni kuhusu udanganyifu katika vituo vya kulea watoto vinavyosimamiwa na Wasomali.