Trump aonya kuhusu mashambulizi zaidi ya Marekani nchini Nigeria
Rais wa Marekani Donald Trump amesema huenda kukawa na mashambulizi zaidi ya kijeshi ya Marekani nchini Nigeria iwapo Wakristo wataendelea kuuawa nchini humo, licha ya Nigeria kukana mara kwa mara madai ya kuwa Wakristo wanateswa kwa mfumo maalumu.