Macron: Mataifa 26 yako tayari kupeleka Jeshi la Ukraine
Macron alitoa kauli hiyo baada ya mkutano uliofanyika jijini Paris wa kile kinachoitwa “Muungano wa Wenye Nia”, kundi la mataifa 35 yanayoiunga mkono Ukraine. Alisema kuwa mataifa 26 kati ya…
Macron alitoa kauli hiyo baada ya mkutano uliofanyika jijini Paris wa kile kinachoitwa “Muungano wa Wenye Nia”, kundi la mataifa 35 yanayoiunga mkono Ukraine. Alisema kuwa mataifa 26 kati ya…
DIRA.BZ05.09.20255 Septemba 2025 Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema mataifa 26 washirika wa Ukraine yameahidi kupeleka wanajeshi kama “jeshi la kuhakikisha usalama” kwa taifa hilo+++Baada ya miezi kadhaa ya kuwa…
Miili zaidi ya 370 imepatikana baada ya maporomoko mabaya ya ardhi yalisababisha vifo vya karibu watu 1,000 Darfur magharibi mwa Sudan, kundi moja la Sudan lilisema siku ya Alhamisi. Ibrahim…
Mapigano ya kikabila kaskazini mwa Ghana yaliyotokea mwishoni mwa mwezi uliopita yamesababisha vifo vya watu 31 na kuwafanya karibu wengine 50,000 kuhama makazi yao,
Mamlaka ya afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imetangaza mlipuko mpya wa virusi vya Ebola, ambao tayari umesababisha vifo vya watu 15 tangu mwishoni mwa Agosti, Waziri wa…
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Israel, Oren Marmorstein, kupitia mtandao wa X amesema “Tunalaani vikali madai yasiyo na msingi yaliyotolewa na Makamu wa Rais Mtendaji wa Halmashauri…
Mlipuko wa Ebola umesababisha vifo vya watu 15, ikiwemo wafanyakazi wanne wa afya, katika eneo la Mweka mkoa wa kusini wa Kasai, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, waziri wa afya…
Inakadiriwa kuwa dola bilioni 88 za Marekani, sawa na euro 76 bilioni hutoka Afrika kila mwaka kupitia ukwepaji kodi, utakatishaji fedha na ufisadi, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa. Mwaka…
Viongozi wa Ulaya wamezungumza kwa njia ya video na rais wa Marekani Donald Trump baada ya kufanya mkutano na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kuhusu hakikisho la usalama kwa Ukraine…
Rais wa China Xi Jinping na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wamekutana mjini Beijing na kuahidi kuimarisha urafiki wa jadi na ushirikiano kati ya nchi zao. Mazungumzo hayo…
Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV amekutana hivi leo na rais wa Israel Isaac Herzog. Viongozi hao wamejadiliana kuhusu hali mbaya katika Ukanda wa Gaza. Papa Leo XIV…
Kikao hicho kiliwahusisha wapatanishi kutoka Qatar, Marekani, Togo na Kamisheni ya Umoja wa Afrika, kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani Jumatano.…
Misri an Sudan zimekubaliana kwamba bwawa la Ethiopia linakiuka sheria ya kimataifa, lina athari mbaya sana kwa nchi hizo mbili upande wa chini na linasimamia kitisho endelevu kwa uthabiti wa…
Misri an Sudan zimekubaliana kwamba bwawa la Ethiopia linakiuka sheria ya kimataifa, lina athari mbaya sana kwa nchi hizo mbili upande wa chini na linasimamia kitisho endelevu kwa uthabiti wa…
Kiongozi wa kanda wa chama cha mrengo wa kulia cha Alternative for Germany (AfD) amesema leo kwamba chama hicho hakina ushahidi kuhusu vifo visivyo vya kawaida baada ya baadhi ya…
Jeshi la anga la Nigeria limewaua wanamgambo zaidi ya 15 wenye msimamo mkali wa kidini katika shambulzi la kutokea angani lililolenga maficho yao kwenye msitu wa Sambisa katika jimbo la…
Hivi leo kiongozi wa chama mbadala kwa Ujerumani cha AfD katika jimbo la North Rhine Westphalia amesema chama chake hakina ushahidi kwamba vifo vya wagombea wake vimesababishwa na hali isiyokuwa…
Jean-Pierre Lacroix, Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Operesheni za Ulinzi wa Amani, almewasili Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Jumatano, Septemba 3, kwa ziara ya siku nyingi.…
Togo imefikia hatua ya kihistoria kwa kuwa nchi ya 22 barani Afrika kuanzisha chanjo ya malaria ya R21/Matrix-M, kuanzia Septemba 1, 2025. Nchi hiyo ni ya kwanza barani humo kufanya…
Viongozi wa Ulaya wamezungumza na rais wa Marekani Donald Trump baada ya mkutano wao wa kilele na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kuhusu dhamana za usalama kwa Kiev endapo kutakuwa…
Volker Turk, Mkuu wa Tume ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Haki za Binadamu, amelaani hatua ya uongozi wa kijeshi nchini Mali, kuahirisha uchaguzi na kuendelea kuwakamata wapinzani na viongozi wa…
Watu zaidi ya 30 wamepoteza maisha katika jimbo la Niger, nchini Nigeria, baada ya boti waliyokuwa wanasafiria kuzama kwenye mto Malale. Imechapishwa: 04/09/2025 – 16:35 Dakika 1 Wakati wa kusoma…
Akizungumza jimboni Busia Magharibi ya Kenya siku ya Jumatano, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Kipchumba Murkomen amenukuliwa na vyombo vya habari akieleza kuwa, kauli za uwepo wa majeshi…
Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na ule wa waasi wa AFC/M23, umekuwa jijini Doha kwa wiki tatu sasa kwa ajili ya mazungumzo ya amani, lakini hatua…
Nchini Uganda, ripoti ya serikali inaonesha kuwa thuluthi moja ya watumishi wa umma, walitoa rushwa ya fedha ili kupata kazi walizonazo. Imechapishwa: 04/09/2025 – 16:12Imehaririwa: 04/09/2025 – 16:53 Dakika 1…
Katika mitaa ya Sonnenallee jijini Berlin, wanaume hukaa nje ya baa za shisha na wanawake waliovalia hijab wakisukuma mikokoteni ya watoto wakipita mbele ya mikahawa na maduka ya vyakula vya…
Mgodi mkubwa zaidi wa almasi nchini Lesotho, Letšeng, umewafuta kazi wafanyakazi 240, ikiwa ni sawa na asilimia 20 ya wafanyakazi wake, huku ukipambana na bei ya chini ya vito kutokana…
Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) nchini Tanzania kimewaomba Watanzania kukipa ridhaa ya kuiongoza nchi hiyo, kwa ahadi ya kusukuma mbele vuguvugu la mabadiliko katika nchi hiyo. Akizungumza mjini Morogoro,…
Daktari wa serikali ya Kenya Richard Njoroge amesema zoezi la kitaalamu la kukusanya vijinasaba kwa miili hiyo litaanza mara baada ya kukamilika kwa vipimo vya mionzi vya X-ray kwenye miili…
Uturuki kuendelea kuongoza jitihada za amani kumaliza vita kati ya Urusi na Ukraine “Diplomasia na mazungumzo kati ya pande zinazohusika yanapaswa kupewa kipaumbele,” alisema Makamu wa Rais wa Uturuki baada…
Eneo la Nyala la Sudan ndiko kulikofanyika sherehe Agosti 31 ambayo itabadilisha muelekeo wa taifa lililokumbwa na mapigano, yaliyochochewa na mfarakano wa kisiasa kuwahi kutokeo tangu kujiondoa kwa Sudan Kusini.…
Mwanasheria Mkuu wa Uganda anasisitiza kuwa nchi hiyo imejitolea kwa makubaliano na Marekani kupokea watu waliofukuzwa kutoka nchi hiyo. Hayo yamethibitishwa Agosti, 2025.Hata hivyo, Uganda inasema makubaliano hayo yana masharti.…
Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imethibitisha kuwa wanawake watatu kutoka vyama tofauti vya siasa wamechukua fomu za uteuzi kwa kiti cha urais wa Zanzibar. Hali hii inatoa picha mpya…
Pia aliwaombea wahanga wa maporomoko ya ardhi ya hivi majuzi na kuongeza kuwa kuenea kwa kipindupindu kunatishia maisha ya maelfu ya watu ambao “tayari wamechoka.” Zaidi ya watu 1,000 walipoteza…
Mashuhuda wanasema kwa siku tatu mfululizo hakuna shughuli zozote zinazofanyika. Masoko, maduka, ofisi zimefungwa, na hata usafiri wa barabarani hakuna. Asasi za kiraia zimeshirikiana na kundi la wapiganaji wanaoitwa Wazalendo…
Msemaji wa serikali ya Taliban, Hamdullah Fitrat amesema miili zaidi bado ipo chini ya vifusi, hivyo huenda idadi ya vifo ikaongezeka. Tetemeko hilo la ukubwa wa 6.0 lilitokea Jumapili usiku…
Hatua hiyo inadhihirisha msimamo mkali zaidi wa nchi hiyo dhidi ya wahamiaji, kufuatia ongezeko la wakimbizi waliowasili eneo la mipakani kusini mwa nchi hiyo mwaka huu. Nchi hiyo ya bahari…
Viongozi wa Ulaya na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky wanakutana leo mjini Paris katika jitihada mpya za kuongeza shinikizo kwa rais wa Urusi Vladimir Putin baada ya kiongozi huyo kuapa…
Hamas imesema bado inasubiri majibu kutoka Tel Aviv juu ya pendekezo la hivi punde zaidi lililowasilishwa na wapatanishi wa kimataifa. Israel imeendelea kusisitiza masharti yake kuwa makubaliano yoyote ya kusitisha…
Jeshi la Israel limesema kombora lilivurumishwa kutokea nchini Yemen kuelekea Israel lilianguka katika eneo lililo wazi nje ya himaya ya Israel na hakuna ving’ora vilivyowashwa. Waziri wa ulinzi wa Israel…
Rais wa China Xi Jinping na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un watakutana kwa mazungumzo mjini Beijing. Hayo yamesemwa leo na serikali ya mjini Beijing wakati kiongozi huyo wa…
Viongozi wa mataifa ya Magharibi ambayo ni washirika wa Ukraine katika mzozo wake na Urusi, wanakutana Alhamisi mjini Paris Ufaransa na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, kutafuta mpango wa jinsi…
Watu wapatao 60 wamekufa baada ya boti iliyokuwa imewabeba abiria zaidi ya 100 kupinduka katika jimbo la Niger nchini Nigeria. Maafisa wa wilaya ya Malale wamesema, chombo hicho kiliondoka pwani…
Ureno inafanya maombolezo ya kitaifa ya siku moja hivi leo, baada ya ajali kutokea jana katika mji mkuu Lisbon iliyosababisha vifo vya watu 15. Mamlaka haijatoa taarifa kuhusu watu waliokufa…
Chanzo cha picha, Israel Foreign Ministry X Maelezo ya picha, Kwa mujibu wa Wizara ya Ulinzi ya Israel, satelaiti ya kijasusi ya “Horizon 19” ilirushwa angani kutoka kituo cha anga…
Chanzo cha picha, KCNA Maelezo ya picha, Kim Ju Ae (anayeonekana hapa 2023) amekuwa mtu wa kawaida katika gwaride la kijeshi huko Korea Kaskazini katika miaka michache iliyopita. 3 Septemba…
Raia wa Kenya wanaoishi karibu na mpaka na Somalia wanaishi kwa hali ya wasiwasi, kufuatia kumiminika kwa wingi kwa wapiganaji wenye silaha kutoka Somalia, wanaokimbia makabiliano baina yao na serikali…
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesisitiza kuwa Uturuki haitakaa kimya wakati Wapalestina wakiteseka chini ya mashambulizi ya Israel, akimsuta Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu. “Hatuwezi kukaa kimya kama…
Maelezo ya picha, Musa al-Sadr alitoweka tangu 1978 Maelezo kuhusu taarifa Author, Moe Shreif Nafasi, Uchunguzi wa BBC Eye 3 Septemba 2025 Tahadhari: Ina picha ambazo baadhi zinaweza kukasirisha Mwanasayansi…
Watazamaji wana jukumu kubwa katika hafla za hiragasy, wakionyesha kuridhika au kutoridhishwa kwao na talanta ya washiriki wa kikundi na ujumbe wanaotangaza kupitia shangwe, au sauti tofauti. Maneno ya maonesho…