Urusi yashambulia kwa droni vituo vya nishati vya Ukraine
Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliyeapa kulipiza kisasi kwa kuamuru mashambulizi zaidi ndani ya ardhi ya Urusi. Kampuni kubwa kabisa ya kibinafsi ya nishati nchini…
Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky aliyeapa kulipiza kisasi kwa kuamuru mashambulizi zaidi ndani ya ardhi ya Urusi. Kampuni kubwa kabisa ya kibinafsi ya nishati nchini…
Watu saba wameripotiwa kuuawa katika shambulizi lililomlenga Obeida. Hata hivyo, Hamas haijathibitisha rasmi kifo hicho na imeyataja madai hayo kuwa ni “vita vya kisaikolojia.” Muda mfupi kabla ya Katz kuthibitisha…
Uamuzi uliotangazwa baada ya kikao cha siri nyumbani kwa Rais Patrice Talon, ambaye amesisitiza hatagombea muhula wa tatu kikatiba. Muungano tawala unaundwa na vyama kadhaa, kikiwemo cha Republican Bloc –…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MBEYA : AGOSTI 31, 2025 –
“Barabara hii ni ya uchumi, ndiyo barabara ambayo kuna minada hufanyika kila Jumapili. Minada hii inaingiza kiasi kikubwa cha fedha ndani ya Halmashauri, lakini pia mifukoni mwa wafugaji na wafanyabiashara…
#HABARI: Mahakama ya Wilaya ya Manyoni, Singida, imemhukumu Juma Zakale Nyenze (68), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Chiwondo, Kijiji cha Sukamahela, kwenda jela miaka 30 baada ya kupatikana na…
Jumapili hii inatimiza miaka kumi tangu Kansela wa zamani wa Ujerumani Angela Merkel kutoa kauli yake maarufu “Wir schaffen das” — “Tutaweza” — wakati taifa hilo lilipofungua mipaka kwa wimbi…
“Kwa upande wa elimu, tunakuja kufanya majambo kwa kuongeza shule, kwa sababu tunajua watoto wetu wanakua na mahitaji ya madarasa bado yapo. Tutakuja kuongeza shule za sekondari na shule za…
#HABARI: Moto mkubwa ambao chanzo chake hakijajulikana umeibuka na kuteketeza jengo la ghorofa linaloendelea kujengwa katika eneo la Kariakoo, kwenye makutano ya Mitaa ya Aggrey na Sikukuu, majira ya saa…
“Ndugu zangu Wanakondoa, hapa tupo mafiga matatu, Kuna mimi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye ninaomba kura zenu. Lakini pia ninawaombea kura wabunge hawa wawili. Na pale tunapomimina…
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umeanza mjini Tianjin, kaskazini mwa China, ukiwaleta pamoja viongozi kutoka zaidi ya nchi 20. Huu ndiyo mkutano mkubwa zaidi tangu…
Mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umeanza mjini Tianjin, kaskazini mwa China, ukiwaleta pamoja viongozi kutoka zaidi ya nchi 20. Huu ndiyo mkutano mkubwa zaidi tangu…
#HABARI: Mahakama ya Mkoa wa Vuga, tarehe 27/08/2025 imemhukumu Mshtakiwa Nassor Seif Khamis (47) mkazi wa Nyerere Zanzibar, kutumikia adhabu ya kifungo cha miaka 13 jela kwa kosa la Unyang’anyi…
🔴TAMASHA LA MICHEZO : 31 AGOSTI 2025
Rais Vladimir Putin wa Urusi amewasili Jumapili, akiambatana na ujumbe uliowahusisha wanasiasa wandamizi na wawakilishi wa biashara. Putin anatarajiwa kufanya mazungumzo Jumatatu na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan na…
Maandamano hayo, yaliyoanza kwa kupinga marupurupu ya kifahari kwa wabunge na mishahara midogo, sasa yamegeuka vurugu, yakisababisha vifo vya watu watatu na mashambulizi dhidi ya nyumba za mawaziri na wabunge…
Maafisa wa afya wa eneo hilo wamesema mashambulizi hayo ya vifaru na makombora ya angani yameuwa karibu watu 18 Jumapili, wakiwemo 13 waliojaribu kutafuta chakula kutoka kituo kilicho karibu cha…
Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Wahouthi, Mahdi al-Mashat, alithibitisha tukio hilo, akisema watu wengine pia walijeruhiwa. Israel imesema shambulizi hilo lililenga maafisa wakuu akiwemo mkuu wa utumishi wa…
Hatua hiyo inaashiria kugawanyika kwa taifa hilo katikati ya vita vya miezi 28 kati ya Jeshi la Sudan na Kikosi cha RSF kinachoongozwa na mbabe huyo wa kivita. Wakati jeshi…
🔴: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM -KONDOA, DODOMA
🔴: MKUTANO WA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS CCM – CHEMBA 31 AGOSTI, 2025
Chanzo cha picha, gp Maelezo kuhusu taarifa Author, Na Mwandishi Wetu Nafasi, Akiripoti kutoka Dar es Salaam Dakika 18 zilizopita Rafiki yangu mmoja aliwahi kuishi jijini Doha, Qatar kwa takribani…
Chanzo cha picha, Getty Images Maelezo ya picha, Akanji Saa 2 zilizopita Tottenham Hotspur wanaongoza mbio za kumsajili beki wa Manchester City Manuel Akanji, mwenye umri wa miaka 30, wakilenga…
Chanzo cha picha, Serenity Strull/ BBC Maelezo kuhusu taarifa Author, Jessica Bradley Nafasi, Saa 1 iliyopita Wengi wetu tunafahamu kwamba kulala tukiwa tumeshiba sana kunaweza kuathiri usingizi wetu. Lakini kubadilisha…
Baada ya mvua mbaya na maporomoko ya matope katika mkoa wa Khyber Pakhtunkhwa, kaskazini mwa Pakistan, mvua kubwa inasababisha mafuriko katika mkoa wa Punjab. Katika eneo hili lenye watu wengi…
Maelfu ya watu wameandamana kote nchini Mexico kupinga hatua hafifu na dhaifu za serikali katika kukabiliana na tatizo la watu kutowekwa na kupotezwa na kulazimishwa kutoweka kwa nguvu. Ndugu na…
Katika taarifa yenye nguvu isiyo ya kawaida, Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeionya Israel siku ya Jumamosi, Agosti 30, dhidi ya kuwahamisha watu wengi kutoka mji wa Gaza.…
Baada ya kimya cha siku mbili, mamlaka ya Houthi nchini Yemen hatimaye imethibitisha siku ya Jumamosi, Agosti 30, vifo vya wanachama kadhaa wakuu wa vuguvugu lao, akiwemo mkuu wa serikali…
Katikati ya mwezi wa Agosti, serikali ya Mali ilitangaza kuwa imezuia “jaribio la kuhatarisha usalama wa taasisi za Jamhuri.” Wanajeshi kadhaa wakiwemo majenerali wawili walikamatwa. Miongoni mwa wale wanaoshutumiwa kushiriki…
🔴KUMEKUCHA:..UZAZI NA AFYA YA AKILI, AGOSTI 31, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI – AGOSTI 31, 2025
Tukio la wavuvi kupoteza maisha Ziwa Singindani kwa miaka mitano mfululizo. Je mamlaka za utafiti zinashindwa kulidhibiti lisiendele?
31.08.202531 Agosti 2025 Joto la kisiasa Tanzania linaendelea kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Rais anaetetea kiti chake, Samia Suluhu Hassan, haonekani kuwa na mtihani mkubwa sana kwa kuwa…
SK2 / S02S31.08.202531 Agosti 2025 Viongozi wa ulimwengu wawasili China kuhudhuria mkutano wa kilele wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai // Waziri Mkuu wa serikali ya Houthi nchini Yemen auawa…
DIRA.BZ31.08.202531 Agosti 2025 Israel yathibitisha kuuawa kwa msemaji wa kundi la Hamas huko Gaza // India yatangaza kuwa imedhamiria kuimarisha mahusiano na China // Na Indonesia yapunguza posho za wabunge…
#HABARI: Wizara, Taasisi na Mashirika binafsi, zimetakiwa kutekeleza utoaji wa huduma za ustawi wa Jamii kwa vitendo ili kuwa na jamii yenye uwezo wa ustahimilivu na yenye mchango wa kuleta…
🔴TAARIFA YA HABARI AGOSTI 30, 2025 – WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU
Usipitwe na kipindi bora cha burudani HAWAVUMI LAKINI WAMO kila Jumamosi saa 4 Usiku hapa ITV #hawavumilakiniwamo #kulachumahicho #zomboko
Mauaji ya spika wa zamani wa Bunge Andriy Parubiy, mtu mashuhuri katika siasa za Ukraine, “yamepangwa kwa kina,” rais Volodymyr Zelensky amesema siku ya Jumamosi, Agosti 30. Imechapishwa: 30/08/2025 –…
Luteni Kelly Ondo, muhusika wa jaribio la mapinduzi dhidi ya rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo Ondimba mnamo Januari 7, 2019, ameachiliwa Jumamosi, Agosti 30. Alikuwa akizuiliwa katika Gereza…
Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Filippo Grandi, amewasili Goma, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), siku ya Ijumaa, Agosti 29. Amewatembelea…
Mkutano wa 25 wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai utafanyika katika mji wa Tianjin nchini China, siku ya Jumapili, Agosti 31 na Jumatatu, Septemba 1. Hii ni fursa nzuri kwa…
#HABARI: Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga picha ya ‘Selfie’ na Wananchi wa Kibaigwa Mkoani Dodoma wakati wa…
#HABARI: Rais wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Bw. Vicent Minja, ameipongeza Shule ya Sekondari ya Wasichana ya John The Baptist Schools iliyoko Boko Basihaya jijini Dar…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA PWANI : AGOSTI 30, 2025
Mkutano huo unatarajiwa kufanyika mwezi Ujao mjini New York Marekani. Kallas amesema kutokana na mikataba iliyoko kati ya Umoja wa Mataifa na Marekani, taifa hilo linapaswa kufikiria upya uamuzi wake.…
Afisa huyo ambae hakutaka jina lake kutajwa kwa kuwa hakuidhinishwa kuzungumza na vyombo vya habari, aliliambia shirika la habari la The Associated Press kwamba Israel itachukua uamuzi huo ndani ya…
Inaarifiwa watu waliokuwa wamejazana katika boti hiyo walikuwa wanayakimbia mashambulizi ya watu waliojihami katika jimbo hilo. Maidamma Dankilo, Mkuu wa mji wa Birnin Magaji,amethibitisha mauaji ya watu hao 13. Watu…
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kutatua changamoto za ardhi na kuendeleza programu za…
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limesema Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linapaswa kuchukua hatua za haraka kuwalinda raia katika maeneo ya Magharibi…