Majaji nchini Ufaransa waagiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi Agathe Habyarimana
Majaji nchini Ufaransa, wamegiza kufutwa kwa uchunguzi dhidi ya Agathe Habyarimana, mke wa aliyekuwa rais wa Rwanda Juvénal Habyarimana, anayedaiwa kuhusika kwenye mauaji ya kimbari yaliyotokea mwaka 1994. Imechapishwa: 21/08/2025…