‘Walinipiga risasi na kunitelekeza wakidhani nimekufa’ – mmoja wa mateka Tanzania aeleza kilichomkuta
Maelezo ya picha, Edgar Mwakabela alitekwa mwaka jana na kutelekezwa masituni baada ya kupigwa risasi ya kichwa Maelezo kuhusu taarifa Author, Alfred Lasteck Nafasi, BBC, Mbeya Saa 4 zilizopita Tahadhari:…